Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wana Arsenali wenzangu Jana tumeona jinsi gabriel na saliba walivyopoteana. Goli la kwanza kaunguza gabriel goli la pili kaumguza saliba yaani mtu ana dribble karibu yard 30 bila kukabwa. Hii inaonesha EPL saliba na gabriel wanaonekana bora sababu wanakutana na timu dhaifu sana.
Tufafanulie jana Livakuku kwnn mmechana mikeka yetu...sio kuja kutupigia kelele hmu ndani tukipata Draw...nyny mmefumuliwa kabisa...Klopp mshenzi sana kapita na mkeka wangu
 
Ila mashabiki sijui tuna usahaulifu wa haraka

Juzi tu hapa Raya alikua shujaa wa penati against Portonina maana, mpiga penalty mzuri, akiweza kumsoma Raya, ana udhaifu eneo hilo.

Ila mashabiki sijui tuna usahaulifu wa haraka

Juzi tu hapa Raya alikua shujaa wa penati against Porto
Nina maana kwamba, kwa mpiga penalty mzuri, akim-study vizuri Raya, huo ndio udhaifu wake
 
🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

✍🏾 Mikel Arteta ni Kocha ambae mpaka sasa kaonesha Potential kubwa, pengine kupambana kimbinu na Makocha ambao ni elite.

✍🏾 Lakini Arteta bado anajifunza, Arteta anaweza kukosea vile vile kukosea ndio kunamfanya awe bora zaidi kujirekebisha ambapo ana kasoro.

✍🏾 Kuna kuna kitu nataka kuzungumza hapa Kocha unaweza kumkosoa kwenye nyanja mbili uwanjani na mimi nataka kuzungumzia ili.

✍🏾 Kuna Technical plan, na Tactical Plan. hapa ndipo unaweza kuona maeneo gani kocha anakosea kwa muktadha wa Match husika, kumbuka ili uwe bora lazima vitu viwili vyote pamoja vifanyike kwa ufasaha kukosekana kimoja wapo ni udhaifu.

✍🏾 Nianze Technical plan : hapa nazungumzia uwezo wa mchezaji binafsi, au uwezo wa team kuweza kufanya vizuri uwanjani. kimsingi ni mafanikio uchezaji na skills za mchezaji binafsi kipindi anacheza au team inacheza, mfano ukokotaji mpira, kucontrol mpira, kasi nk

✍🏾 Hapa naweza kusema kuna baadhi ya squad selection kocha uwa inatuminya technical ability fulani sababu aina fulani wachezaji walio anza kutokuwa bora kwenye skills hizo kimchezo na Match inahitaji, mfano Tunahitaji mtu ambae atatupa Ball controll then unamuingiza Elneny ni profile tofauti, lakini pia Mara nyingi anafanya vizuri mfano sub jesus UCL dhidi bayern technically ilikuwa sahihi sababu skills Jesus na mahitaji kimchezo

✍🏾 Tactical Plan: Hapa sasa tunazungumza tabia za mchezaji binafsi au team nzima kiujumla kwa pamoja kuwa na uwezo wa kusoma mchezo kulingana na msingi uliopo kiuchezaji na mahitaji yake vitu kama vision, awereness, effectiveness, response time, mental , Stamina nk.

✍🏾 Au Kwa lugha nyingine kiufupi niseme ni uwezo mchezaji au team kumanage mikimbio binafsi, muda, na nafasi kulingana na maelezo kocha.

✍🏾 Kuna terms muda fulani pengine kocha anaenda Wrong, unaona kabisa mbinu imeshindwa kumzuia mpinzani kulingana alivyo kuja, mfano game Porto away, unaweza kuona failure ya mbinu yetu sababu ubora mpinzani.

✍🏾Kwenye mbinu jambo kujua ni unafocus na mpinzani namna gani nimkabili ili nifanikiwe iwe plan A au B.

✍🏾 Maeneo hayo mawili yanahusisha ata aina sub pia kocha aweza kwenda Wrong.

✍🏾 Na maeneo hayo baadhi nyakati ata Arteta anakosea, na nacho shukuru kocha anajifunza na kufanyia kazi madhaifu.

Note: hii haina maana Arteta sio kocha, ni moja kati kocha mzuri sana kizazi cha sasa, ambae anaendelea kuwa bora wazungu usema bado ana undergo deformation kwenye coaching ability na career yake, tupo tulipo sababu Mikel

Amigos
FB_IMG_1712905415506.jpg
 
Kuna waimba singeli humu walisema eti wanamtaka yeyote

Tukawaambia ombeni basi hata Barcelona,wanasema Bayern mwepesi 😂😂😂😂
Vipi pale Anfield na Atalanta? Twende UEFA tuwaombe tubadilishane? Mimi nikupe Bayern na wewe unipe Atalanta tupambane nao? Wewe ukimpiga Bayern utoke Europa uje uchukue nafasi yangu nusu fainali ya UCL. Mimi nikifungwa na Atalanta nirudi zangu London...
 
Vipi pale Anfield na Atalanta? Twende UEFA tuwaombe tubadilishane? Mimi nikupe Bayern na wewe unipe Atalanta tupambane nao? Wewe ukimpiga Bayern utoke Europa uje uchukue nafasi yangu nusu fainali ya UCL. Mimi nikifungwa na Atalanta nirudi zangu London...
baada ya wao kupigwa na atalanta wamepungua umu, Aseee arsenal tumepga hatua mpka kufikia hatua ya watu kutucheka kutoa sare na man cty na bayern
 
Mi nachoshangaa Hawa wenzetu hawana vifua kabisa vya kujibu hoja mambo yakienda kombo...ila sisi hata tukipata matokeo sio tunakuja na kuongea humu...wao wanakwama wapi.... ImMrLiverpool unakwama wapi mkuu 🤠🤠...njoo utueleze hmu mnachukua kombe gani mpk sasa
baada ya wao kupigwa na atalanta wamepungua umu, Aseee arsenal tumepga hatua mpka kufikia hatua ya watu kutucheka kutoa sare na man cty na bayern
 
Utaratibu wa kufanya mazoezi Emirates siku moja kabla ya game uko mwanzo haukuepo au mimi ndo nimechelewa kuufahamu mapema?
 
Back
Top Bottom