Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Kai Havertz kwangu afunge magoli muhimu au asifunge still sio mchezaji wa kuanza mbele ya Gabriel Jesus. No fuckin way!Arteta anathibitiha msemo wa "nobody is perfect" yaani kai ndio 9 wake, kidhati kabisa kai anafaa kuanza game na kina luton huko,
Kai hana mali mguuni, hamtishi beki, kai karelax mnoo yaani hata ile spirit ya kuonesha anapambania jambo uwanjani hamna, zile dk chache za gabriel jesus unaona kabisa huyu ni mchezaji.
Sielewi na sijui kipi anakiona kwa kai, kila mtu ja jicho lake na mipango yake, kwangu kai ni big NO.
And so sad Arteta halioni hilo kwa kuwa he's so dumb and deaf, hataki kusikia chochote kuhusu Kai, kaweza kum sacrifice Martinelli kwa kumtoa mapema ila sio Kai. Alikuwa na ubora gani wa kucheza all 85 minutes?
I can't pretend this, kwangu pia Kai ni big NO!
Nitarudia huu msemo wangu anytime, if we want to win at Allianz in the 2nd leg, Kai should be on the bench first. Then we can talk football, otherwise Arteta akishindwa kuliona hili atakua hana tofauti na Ten Hag.

