verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Mbona wewe umekesha usiku umeacha ndoaš
Mbona wewe umekesha usiku umeacha ndoaš
Brentford wangetuuzia tu huyu ninja aloo acha kabisaBig big save, big big smile, arsenal are through to the quarter final.
šš¤£
šššššKuna arsenal hii halafu kuna arsenal inayocheza midomoni mwa hamis77 na genge lake, ni vitu viwili tofauti kabisa.
Kiko wapi sasa šNaangalia mazoezi ya Pepe hapa jamaa anaruka hewani kama nyani. Yani porto wakipata kona mmeisha
Kama hujasoma mchezo Arsenal anaenda kucheza fainali mkuu, we are the GunnersOmbeni mcheze japo na Barcelona
Nje na hapo,hakuna timu mtakayoiweza.
Sasa subiri utaona kati yangu na wewe nani ambaye hajasoma mchezošKama hujasoma mchezo Arsenal anaenda kucheza fainali mkuu, we are the Gunners
Unadhani Kuna timu utaifunga hapo?Kwa Arsenal hii aje yoyote, sioni timu ya kututisha tena hizo timu zinazopenda mpira wa kupishana tutapiga tuue
Refa wa jana alikuwa fair sana, kwa maana alikuwa hovyo kwa timu zote, ingawa alizidisha kupendelea Porto. Jamaa alikuwa hataki kutoa kadi hovyo kabisa. Angekuwa mtoa kadi mechi ingechezwa na wachezaji 9 kila timu.Halafu refa alikua anamlea sana Havertz sijaamini kama amemaliza dakika zote 120 bila kula umeme wakati tayari alikua na kadi ya njano.
We match za arsenal unaangaliaga kweli ? Manake mi hapa msimu huu sijaacha hata moja naijua hii timu kiundani sana kuna kitu kinaenda kutokeaSasa subiri utaona kati yangu na wewe nani ambaye hajasoma mchezoš
Unadhani Kuna timu utaifunga hapo?
Ndio maana nawaambia ombea hata mpewe Barca,japo naye hamtaweza kumfunga.
We match za arsenal unaangaliaga kweli ? Manake mi hapa msimu huu sijaacha hata moja naijua hii timu kiundani sana kuna kitu kinaenda kutokea
Mpaka level hii hakuna timu kibonde, tupewe yeyote tuu hamna shida nyie endeleeni kuteseka.
Mimi mwenyewe nimemkubali sana, sijaona refa yoyote wa Epl yuko fair kama huyo mshkaji, kuna baadhi ya faulo alikua anazipotezea tu, yule jamaa hata kwa wachezaji alikua very friendly muda wote anatabasamu.Refa wa jana alikuwa fair sana, kwa maana alikuwa hovyo kwa timu zote, ingawa alizidisha kupendelea Porto. Jamaa alikuwa hataki kutoa kadi hovyo kabisa. Angekuwa mtoa kadi mechi ingechezwa na wachezaji 9 kila timu.
Tafuta kiporo cha makande ule daku hapo lindoni...una ujinga mwingi sana ww bwege![]()




Mawazo Kama haya shangazi ukizeeka unakua mchawiOmbeni mcheze japo na Barcelona
Nje na hapo,hakuna timu mtakayoiweza.