unatafuta bwana humu enh!!!hatuhitaji makalio yaoOneni aibu basi,timu ina beki wa miaka 43 bado mnashindwa kupenya ukuta wake halafu mnakuja na kelele kama mmebeba CL
Tumecheza hii mechi kwa heshima ya huyo beki bro. Alitamani kufika penalties, na sisi tumempa alichotaka. Sasa akastaafu kwa furaha na amani.Oneni aibu basi,timu ina beki wa miaka 43 bado mnashindwa kupenya ukuta wake halafu mnakuja na kelele kama mmebeba CL
Kuna wakati toa appreciation kwa opponent wakoNot sure if arteta had enough preparation for this match
Waulize man u kwann walishindwa kufuzu kundi lenye galatasaray na copenhagen...sasa ulitata tupenye vipi hujaona goli leo auOneni aibu basi,timu ina beki wa miaka 43 bado mnashindwa kupenya ukuta wake halafu mnakuja na kelele kama mmebeba CL
Raya kafanya kitu safi sana. Penalties zao alizipangua, siyo wao wamepaisha au kugonga mwamba.Aliyescore nje ya 18 amekosa ndani ya boksi.
Mwaka jana tunatolewa na Sporting kwa matuta langoni yupo Ramsdale. Leo ingejirudia ingeniuma sana
Rekodi yake kwenye penalties unayo lakini? Sio Ramsdale uyoWasifike Penalty...Raya ni mweupe kabisa...yule kipa wa Porto ni mzuri kwa Penalt
Na leo?Sio kwa ubaya, ila huyu kipa wa Porto katika penalty 10 za mwisho dhidi yake, amesave 9, amefungwa moja.
Walimwengu ndo walivyo...yaani wao Kila kitu ni kibaya kwao🤠🤠...sisi tunachojua tupo robo fainali...hayo mengine tuachane nayo...kuna tofauti kubwa sana kati ya wao na sisiWaulize man u kwann walishindwa kufuzu kundi lenye galatasaray na copenhagen...sasa ulitata tupenye vipi hujaona goli leo au


Kimasihara masihara Asaninyau nae akibeba Uefa tutamtania nani mwingine kuhusu Uefa? Sikuwa nayo mkuu🤠🤠...Flano atafutwe apigwe marungu ya visigino..yule jamaa ni msumbufu sana...kampata na mjinga mwenzie Labyrinth 84..basi wanalishana ujinga tu🤠🤠...waje humu tu discuss sasahv kwmba nani kaenda quarter finalRekodi yake kwenye penalties unayo lakini? Sio Ramsdale uyo
Tafuta kiporo cha makande ule daku hapo lindoni...una ujinga mwingi sana ww bwege🤠🤠Kimasihara masihara Asaninyau nae akibeba Uefa tutamtania nani mwingine kuhusu Uefa?
Eeeehh Mungu tuepushe na hii fedheha walakini si kwa mapenzi yetu bali yako yatendeke.
Kesho Masingeli kabla hata ya kupiga mswaki lazima aje atukandie humu utafikiri Porto ndio timu yetu wakati sisi ni friends tu of Porto.
Kwa msimu huu kwenye swala la penati tangu tumfunge city community shield sina wasiwasiAliyescore nje ya 18 amekosa ndani ya boksi.
Mwaka jana tunatolewa na Sporting kwa matuta langoni yupo Ramsdale. Leo ingejirudia ingeniuma sana
Arsenal second half waliegemea sana upande wa kulia. Upande wa kushoto wa Trossard ulipoa sana. Tungekuwa tunampelekea Trossard mipira edge of the box upande wake angefanya mauaji sana.Hata hivyo Arteta awaassign watu wawili kazi ya kushut nje ya boksi.
Porto wana defense nzuri nafikirini vile tu Arsenal tunakua wazuri Emirates.
Halafu refa alikua anamlea sana Havertz sijaamini kama amemaliza dakika zote 120 bila kula umeme wakati tayari alikua na kadi ya njano.Wajinga wale walijiaminisha kwamba watatuweza kwenye penalties. Daaah hahahaha.
Hivi hawakushtuka jinsi hatufanyi subs nyingi kama wao?
Hivi hawakudhani sisi tulijua watatafuta penalties na tulijipanga kwa hilo?
Hivi hawakuona jinsi King Kai alivyokuwa amechoka mbaya mpaka anafanya fouls za kifala lakini yumo tu uwanjani hatolewi? Hawakujiuliza kwa nini?
Warudi zao Ureno huko wakijua kuwa sikio halizidi kichwa.
Wale Porto wanaujua mpira aisee...ingawa na refa alikuwa upande wao ila tumewatoa...jamaa Wana faulo za kisirisiri sana...halafu sisi tukiguswa hatuanguki hovyohovyo na hata tukianguka refa anakausha tu ila wao ukivigusa tu tyri vinakaa chini kabisa🤠🤠🤠....ila all in all(in Baba Levo's voice)...tumewatoa....wakaendelee kurukaruka huko kwny ligi yaoArsenal second half waliegemea sana upande wa kulia. Upande wa kushoto wa Trossard ulipoa sana. Tungekuwa tunampelekea Trossard mipira edge of the box upande wake angefanya mauaji sana.
Nenda kampe ww hyo kadi🤠🤠...Halafu refa alikua anamlea sana Havertz sijaamini kama amemaliza dakika zote 120 bila kula umeme wakati tayari alikua na kadi ya njano.