Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Halafu refa alikua anamlea sana Havertz sijaamini kama amemaliza dakika zote 120 bila kula umeme wakati tayari alikua na kadi ya njano.
Mtafute na yule kiherehere mwnzio Labyrinth 84 aje kuanza kutupa habari za false hopes na stats za wachezaji wake kina Gordon na Almiron
 
Mtafute na yule kiherehere mwnzio Labyrinth 84 aje kuanza kutupa habari za false hopes na stats za wachezaji wake kina Gordon na Almiron
Kiukweli sijafurahi kabisa kupoteza usingizi wangu kwa kuangalia ushindi wa penalties.
 
Wale Porto wanaujua mpira aisee...ingawa na refa alikuwa upande wao ila tumewatoa...jamaa Wana faulo za kisirisiri sana...halafu sisi tukiguswa hatuanguki hovyohovyo na hata tukianguka refa anakausha tu ila wao ukivigusa tu tyri vinakaa chini kabisa🤠🤠🤠....ila all in all(in Baba Levo's voice)...tumewatoa....wakaendelee kurukaruka huko kwny ligi yao
Yaani jamaa wahuni kabisa. Ukiwagusa kidogo tu hata kwa pumzi wanajiangusha ili wapoteze muda. Tukianzisha shambulio, wanatupiga foul.

Hawakushtuka kuwa sisi hatukupanick bali tuliendelea kuwapigia pira biriani huku tukicoserve energy yetu kama tunacheza kompa vile. Walipaswa washtuke
 
Kimasihara masihara Asaninyau nae akibeba Uefa tutamtania nani mwingine kuhusu Uefa?
Eeeehh Mungu tuepushe na hii fedheha walakini si kwa mapenzi yetu bali yako yatendeke.
Kesho Masingeli kabla hata ya kupiga mswaki lazima aje atukandie humu utafikiri Porto ndio timu yetu wakati sisi ni friends tu of Porto.
Mwanitesa utd usilie Sasa😄😂
FB_IMG_17101512808160037.jpg
 
Yule Zinchenko defending ndo shida...ile winger Yao ya kule Ina usumbufu sana...sidhani kama ataiweza
Arteta anaaangalia kudominate zaidi na anajitahid defence yake ianzie ndo maana unaon sikuizi mpaka wakina ode wanakata umeme
 
Kiukweli sijafurahi kabisa kupoteza usingizi wangu kwa kuangalia ushindi wa penalties.
Raha ya mechi Bao..na Bao lilipatikana🤠🤠...tumewaonesha upande WA pili pia...mkituchezea pira vurugu mkataka kwnda Penalties na sisi bado sio salama kwenu...tutawafunga tu...hatukwepeki kiufupi..kituo kinachofata ni kwa Kipara...yule lazima tumtie ngeta moja matata sana
 
Raha ya mechi Bao..na Bao lilipatikana🤠🤠...tumewaonesha upande WA pili pia...mkituchezea pira vurugu mkataka kwnda Penalties na sisi bado sio salama kwenu...tutawafunga tu...hatukwepeki kiufupi..kituo kinachofata ni kwa Kipara...yule lazima tumtie ngeta moja matata sana
Halafu si tuliwaahidi watu kuwa kono la nyani litahusika?

Open play goals = 1
AET Penalty goals = 4

Kihunihuni hapa tunasema technically tumempiga mtu kono la nyani...
 
Back
Top Bottom