arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Sawa mkuu🤠🤠...ni migumu kwli ndo maana vitimu vyenu havipo hii hatua...vilipigwa mitama viko chaliKwa taaaaaaabu na huyu ni porto mnako elekea ndio mwisho michuano hii ni migumu kwenu.
Sawa mkuu🤠🤠...ni migumu kwli ndo maana vitimu vyenu havipo hii hatua...vilipigwa mitama viko chaliKwa taaaaaaabu na huyu ni porto mnako elekea ndio mwisho michuano hii ni migumu kwenu.
kiukweli kama Porto tu inawatoa jasho hivi mtaenda kututia aibu sana huko mbele sioni umuhim wenu wa kusogea hatua nyingine kama hadi Porto mnaitaji matuta kuwatoa.Wanangu acheni Mimi nilale, nitakuja hapa kukipambazuka
KENGE na NYUMBU get ready
.
.
#COYG![]()
Umeumia eeehkiukweli kama Porto tu inawatoa jasho hivi mtaenda kututia aibu sana huko mbele sioni umuhim wenu wa kusogea hatua nyingine kama hadi Porto mnaitaji matuta kuwatoa.
poor asenyani.
Timu ya mwisho kutolewa na Porto Uingereza ni nyumbukiukweli kama Porto tu inawatoa jasho hivi mtaenda kututia aibu sana huko mbele sioni umuhim wenu wa kusogea hatua nyingine kama hadi Porto mnaitaji matuta kuwatoa.
poor asenyani.
Sawa sawaSio kwa ubaya, ila huyu kipa wa Porto katika penalty 10 za mwisho dhidi yake, amesave 9, amefungwa moja.
Ombeni mcheze japo na BarcelonaTunasema hivi, robo tunamtaka yeyote!View attachment 2933104
Wewe unaeziweza izo timu upo wapi?Ombeni mcheze japo na Barcelona
Nje na hapo,hakuna timu mtakayoiweza.
Haya ni mawazo duni sana kimpira labda kama umeyazungumza kiushabiki. Katika timu zote zilizopita hakuna timu yoyote Arsenal anaweza kushindwa kupata matokeo. Man city probably ndio timu bora kuliko zote zilizopita lakini hivi karibuni Arsenal ameonesha resilience na kupata matokeo so sioni timu yoyote wa kuifanya Arsenal kuogopa kukutana nayo. Siyo aibu kwasasa kukili Arsenal sio Inferior timu tena. Wakati mwingine kukinzana na ukweli moyoni ni kujipa stress na kutafuta uzee kabla ya muda.Ombeni mcheze japo na Barcelona
Nje na hapo,hakuna timu mtakayoiweza.
Uefa siyo ya timu ndogo kama Arse8Wewe unaeziweza izo timu upo wapi?
Haya ni mawazo duni sana kimpira labda kama umeyazungumza kiushabiki. Katika timu zote zilizopita hakuna timu yoyote Arsenal anaweza kushindwa kupata matokeo. Man city probably ndio timu bora kuliko zote zilizopita lakini hivi karibuni Arsenal ameonesha resilience na kupata matokeo so sioni timu yoyote wa kuifanya Arsenal kuogopa kukutana nayo. Siyo aibu kwasasa kukili Arsenal sio Inferior timu tena. Wakati mwingine kukinzana na ukweli moyoni ni kujipa stress na kutafuta uzee kabla ya muda.
Mbona wewe umekesha usiku umeacha ndoa😁Kupitia sofascore au Livescore?😂😂😂
Badala uhudumie ndoa unaleta nuksi tu uku kiumeni
Haya mambo ya kushauriana yameshamiri sana sasahv...mnajifanya mnatupeeenda kumbe ni unafiki tu...mmeanza kule kwny ligi kutushauri vs Man City Sasa kule tumeamua hatupeleki timu uwanjani...sasahv mmehamia huku UEFA...na huku nako tutapiga maombi tumpate Madrid kabisa tumfumue Ili hzi kelele za msiombee mkutane na Fulani ziisheOmbeni mcheze japo na Barcelona
Nje na hapo,hakuna timu mtakayoiweza.
Raya Like your comentWasifike Penalty...Raya ni mweupe kabisa...yule kipa wa Porto ni mzuri kwa Penalt
usije ukaponzwa na timu za midomoni mashabiki wengi huongeza chumvi aiseeee😀Kuna arsenal hii halafu kuna arsenal inayocheza midomoni mwa hamis77 na genge lake, ni vitu viwili tofauti kabisa.
Sio kwa ubaya, ila huyu kipa wa Porto katika penalty 10 za mwisho dhidi yake, amesave 9, amefungwa moja.

Kwa Arsenal hii aje yoyote, sioni timu ya kututisha tena hizo timu zinazopenda mpira wa kupishana tutapiga tuueOmbeni mcheze japo na Barcelona
Nje na hapo,hakuna timu mtakayoiweza.