mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Mtafuteni mwingine mnaemuamini mleteniMasingeli huyo, anasubiri timu yake ishinde ndio atoke mafichoni.
Bahati mbaya kwake leo Nyau ndio siku yake ya mwisho kushiriki CL tukutane tena msimu ujao![]()
Mtafuteni mwingine mnaemuamini mleteniMasingeli huyo, anasubiri timu yake ishinde ndio atoke mafichoni.
Bahati mbaya kwake leo Nyau ndio siku yake ya mwisho kushiriki CL tukutane tena msimu ujao![]()
Mtafuteni mwingine mnaemuamini, mleteni
Huyu wetu, tunalipa dirisha hili kubwa.Brentford wangetuuzia tu huyu ninja aloo acha kabisa
Siku hizi hata tukishinda na mpira mbovu pia tunasemwa. Tukishinda chini ya goli 3 tunaambiwa uwezo umeshuka.Ukiachana na haters kutuwekea standards za kutotakiwa kutoa sare ukiachilia kufungwa, Kuna standard mpya wameanza kutuwekea ya tushinde kwa style ya kumpa mbinyo mpinzani hadi ashindwe kupumua
Ujue tuko matawi sasa.Siku hizi hata tukishinda na mpira mbovu pia tunasemwa. Tukishinda chini ya goli 3 tunaambiwa uwezo umeshuka.
False hopers sina neno, hongera kwa kufika 1/4 after 14 years.Mtafute na yule kiherehere mwnzio Labyrinth 84 aje kuanza kutupa habari za false hopes na stats za wachezaji wake kina Gordon na Almiron
Haters wanazidi kuwa msaada kwetu, wametuwekea standard ambayo ata timu zao haijawai fika hizo standardUkiachana na haters kutuwekea standards za kutotakiwa kutoa sare ukiachilia kufungwa, Kuna standard mpya wameanza kutuwekea ya tushinde kwa style ya kumpa mbinyo mpinzani hadi ashindwe kupumua
Me nimesema baada ya misimu kama 4, watu watakuja kusema KDB hamuwezi Odegard.Odegard sana kaiva, muda mrefu saaana nilikua sijamuona kwenye game ngumu na big games anaichukua timu mabegani anaamua vitu vitokee ile pasi ya goli na ile penalty ya kwanza kabisa vimeamua mchezo wa jana na ndo maana kuna nilikua nabishana na watu mpaka kufa kuhusu kumuweka kundi moja na KDB, ila angalau kwa sasa unaweza kumuweka Nyuma ya KDB.
Ni kweli bro. Mimi mwenyewe siku hizi nikiona hatujampiga mtu mkono naona kama hatujacheza mpira 😄Ukiachana na haters kutuwekea standards za kutotakiwa kutoa sare ukiachilia kufungwa, Kuna standard mpya wameanza kutuwekea ya tushinde kwa style ya kumpa mbinyo mpinzani hadi ashindwe kupumua
😂😂😂 Asante kwa maombi yako.Kimasihara masihara Asaninyau nae akibeba Uefa tutamtania nani mwingine kuhusu Uefa?
Eeeehh Mungu tuepushe na hii fedheha walakini si kwa mapenzi yetu bali yako yatendeke.
Kesho Masingeli kabla hata ya kupiga mswaki lazima aje atukandie humu utafikiri Porto ndio timu yetu wakati sisi ni friends tu of Porto.
Bora iwe ivyo maanaHuyu wetu, tunalipa dirisha hili kubwa.
Endelea kuota🤠🤠...bolu litembee kwanza halafu ushindi uje....sio ushindi uje kwa vurugu...hyo hatutaki...endelea kushabiki wafanya vuruguFalse hopers sina neno, hongera kwa kufika 1/4 after 14 years.
Sisi tunasubiri na tunajua mnatoka empty hands ni suala la muda tu. Tamba wewe kwa sasa.
Huwezi kusema hivyo we mpira hujui ndugu yangu, unasimuliwa wewe, sisi mpira ndio mambo yetu, Arsenal anaenda kucheza fainaliSiangalii zote ila ninachojua UEFA hamuiwezi
Tyri tulisha activate kipengele cha kumnunua...ndo maana katulia sana maana anajua yy ndo namba mojaBora iwe ivyo maana
Yes iko hivyo. Dili ni la 30m ila structure yake ni 3m loan ya mwaka mmoja then tunamalizia 27m majira ya kiangaziBora iwe ivyo maana