Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yyyyyyyeeeeeeeaaaaahhhhhhhhhhhhhh
Kudddaaadadadadadadadeeeeeeeekkkiiiiiii

Puuumbbbaaaaavvvv nyie porto. Mmetuletea usumbufu wa kijinga mkidhani sisi hatujui kupiga penalty eeeh. Jinga sana.

Hivi huyo Raya hamkumuona ndiye yuko golini?
 
Kuna watu walifikiri tumemleta Raya kwa ajili ya distribution yake tu. Hahahhaha (nacheka kwa dharaaaauuu). Arteta aliona mbali kenge nyie. Arteta akili mingi.
 
Watoto walikuwa wanasumbua mahakama
Wajinga wale walijiaminisha kwamba watatuweza kwenye penalties. Daaah hahahaha.

Hivi hawakushtuka jinsi hatufanyi subs nyingi kama wao?

Hivi hawakudhani sisi tulijua watatafuta penalties na tulijipanga kwa hilo?

Hivi hawakuona jinsi King Kai alivyokuwa amechoka mbaya mpaka anafanya fouls za kifala lakini yumo tu uwanjani hatolewi? Hawakujiuliza kwa nini?

Warudi zao Ureno huko wakijua kuwa sikio halizidi kichwa.
 
Raya amalize mchezo sasa, hatuna sababu ya kupiga penati ya mwisho tupo nyumbani
Ulinena mkuu.

Kuna msumbufu alileta stats za kipa wa Porto na penalties. Eti anasave penalties. Kwani hizo penalties alizokuwa anapigiwa, ni ngapi zilipigwa na 'miamba ya London', almaarufu kama 'wababe wa EPL ?'
 
Back
Top Bottom