Bachelor OG
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 1,196
- 1,463
MIMI KAMA MDAU WA MICHEZO NASEMA ARSENALS BINGWA
Njoo hapa utuelezee vizuri. Kijana mdogo unajifunza uganga!Huo ulinzi shirikishi Porto wataufanya hapo Emirates FT 0 - 0, mechi imeshaisha Ureno.
Halafu ukiangalia hii misumari wanayotupiga hawajawahi kupigana wao kwny mechi za Ulaya huko...shida ni sisi tu kujaribu kusonga mbele...Njoo hapa utuelezee vizuri. Kijana mdogo unajifunza uganga!
Ni kweli bro. Mimi mwenyewe siku hizi nikiona hatujampiga mtu mkono naona kama hatujacheza mpira![]()



Haka ka-feeling kapo kabisa mkuu.We jamaa jana ulileta matapishi sana humu ndani. Yani kama tungekuwa wote sehemu moja, ulikuwa unachezea mbata za maana!!!!!!!MIMI KAMA MDAU WA MICHEZO NASEMA ARSENALS BINGWA
Hapa wanakwambia tumecheza ovyo sanaUkiachana na haters kutuwekea standards za kutotakiwa kutoa sare ukiachilia kufungwa, Kuna standard mpya wameanza kutuwekea ya tushinde kwa style ya kumpa mbinyo mpinzani hadi ashindwe kupumua
Wewe kenge msimbufu sana,Masingeli huyo, anasubiri timu yake ishinde ndio atoke mafichoni.
Bahati mbaya kwake leo Nyau ndio siku yake ya mwisho kushiriki CL tukutane tena msimu ujao![]()
Draw ya robo inachezwa lini?
Mbona sioni Picha za wachezaji wa timu yako?
kuna inter milan au atletico umewahi kuwacheki na kuwaelewa namna wanavyojilinda? uefa ni michuano ya mabingwa ina namna yake ya kucheza tofauti na ligi.....arteta bado ni mwanafunzi kwenye hili.........Katika gemu ngumu me naiona ya porto ilikuwa ngumu sana kwa arteta. Ukizingatia na upana wa kikosi alichokuwa nacho. Kama amepita jana namtabiria mema. Na nahisi ndo ilikuwa target yake kubwa kupita kweta rrobo. Kuvunja miiko kwanza. Ila urejeo wa wachezaji wake muhimu. Hakuna timu yoyote itakayomsumbua hasa ukizingatia uwepo wa wachezaji Kama timber, tomiyasu, partey, martinel, jesus, yan Ana wigo mpana wa wachezaji walirejea
Tupangwe na Hawa tu test mitambo...to be the best you have to beat the best ...ize tu
Kama umeangalia ile mechi jana Arsenal walicheza kwa discipline kubwa sana ndo maana kuna kipindi Porto walikuwa na possession kubwa ya mpira Arsenal wakawa wanavizia counter na hata goli walilofunga ndo ilikuwa the first shot on target...kwhyo watu wanajifunza kutokana na makosa...mechi ya ugenini tulitawala mechi ila tukafungwa....jana tulipokezana umiliki ila hatukuruhusu goli...msiishi kwa kukaririkuna inter milan au atletico umewahi kuwacheki na kuwaelewa namna wanavyojilinda? uefa ni michuano ya mabingwa ina namna yake ya kucheza tofauti na ligi.....arteta bado ni mwanafunzi kwenye hili.........
Google.. Ishu ndogo unakuja lia lia hapaNaomba kuuliza Arsenal mara ya mwisho kubeba uefa ilikuwa mwaka gani wakuu
Ndo mana nikasema katika timu zilizobaki atletico na inter ndo timu zinazopaki Basi na ndo zinaweza kumsumbua artetakuna inter milan au atletico umewahi kuwacheki na kuwaelewa namna wanavyojilinda? uefa ni michuano ya mabingwa ina namna yake ya kucheza tofauti na ligi.....arteta bado ni mwanafunzi kwenye hili.........
Kuku mwendo wameumalizaIn four of the past five seasons, the team Wolves have faced on the final day have finished 2nd 👀View attachment 2933421
Uyo muhuni alitukimbia kipindi tupo matopeni, legend aliesimama nasi ni Ian Wright tuNapenda jinsi Thierry Henry, kila anapozungumzia Arsenal, anasema 'we.' 'We won," "we played very well..."