Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wazee hii michuano ya knockout ni migumu mno, na experience ndio kitu cha msingi, jana nimegundua kwamba olympiacos na sporting lisbon walitutoa kihalali, kwanza kipindi kile hatukuwa na quality depth pili hatukuwa na experience.

Timu ya kuiogopa nahisi itakuwa Intermilan, sababu KO ni transition based games, control haimake sense sana hapa, teams play on the break, lakini italian are more defensive + clinic, yote kabisa inzaghi is a tactical genius. Naomba intermilan wapite ili tupate the real taste of Champions league.
 
Ukiachana na haters kutuwekea standards za kutotakiwa kutoa sare ukiachilia kufungwa, Kuna standard mpya wameanza kutuwekea ya tushinde kwa style ya kumpa mbinyo mpinzani hadi ashindwe kupumua
Hapa wanakwambia tumecheza ovyo sana
20240313_114849.jpg
 
Katika gemu ngumu me naiona ya porto ilikuwa ngumu sana kwa arteta. Ukizingatia na upana wa kikosi alichokuwa nacho. Kama amepita jana namtabiria mema. Na nahisi ndo ilikuwa target yake kubwa kupita kweta rrobo. Kuvunja miiko kwanza. Ila urejeo wa wachezaji wake muhimu. Hakuna timu yoyote itakayomsumbua hasa ukizingatia uwepo wa wachezaji Kama timber, tomiyasu, partey, martinel, jesus, yan Ana wigo mpana wa wachezaji walirejea
kuna inter milan au atletico umewahi kuwacheki na kuwaelewa namna wanavyojilinda? uefa ni michuano ya mabingwa ina namna yake ya kucheza tofauti na ligi.....arteta bado ni mwanafunzi kwenye hili.........
 
kuna inter milan au atletico umewahi kuwacheki na kuwaelewa namna wanavyojilinda? uefa ni michuano ya mabingwa ina namna yake ya kucheza tofauti na ligi.....arteta bado ni mwanafunzi kwenye hili.........
Kama umeangalia ile mechi jana Arsenal walicheza kwa discipline kubwa sana ndo maana kuna kipindi Porto walikuwa na possession kubwa ya mpira Arsenal wakawa wanavizia counter na hata goli walilofunga ndo ilikuwa the first shot on target...kwhyo watu wanajifunza kutokana na makosa...mechi ya ugenini tulitawala mechi ila tukafungwa....jana tulipokezana umiliki ila hatukuruhusu goli...msiishi kwa kukariri
 
kuna inter milan au atletico umewahi kuwacheki na kuwaelewa namna wanavyojilinda? uefa ni michuano ya mabingwa ina namna yake ya kucheza tofauti na ligi.....arteta bado ni mwanafunzi kwenye hili.........
Ndo mana nikasema katika timu zilizobaki atletico na inter ndo timu zinazopaki Basi na ndo zinaweza kumsumbua arteta
 
Back
Top Bottom