Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 6,978
- 10,367
Kuna mijitu sio Asernali lakini inashinda humu kama imeibiwa Chupi
False 9 anacheza King KaiMartinelli kumkosa ni pengo kubwa sana,athari za kumkosa tuliziona juzi dhidi ya brentford.Ninachokiona hapa Jesus acheze nafasi ya Marti ya winger kwa sababu ya kasi yake anaweza tusaidia then Trossad acheze false no 9.
Maelezo mengi yasiyo na maana, jiandae kusafirisha msiba wa shangazi yako portoFc Porto ana Uefa 2 ana uzoefu mkubwa kwenye Uefa na wanazijua chocho zote za CL, halafu hawa kima hawana hata Conference League na tayari washagongwa goli moja lakini wana mdomo utafikiri wana Uefa 7+
Ukiwasikiliza kina Masingeli wanakwambia wao wanamtaka Madrid unabaki mdomo wazi tu.
Leo humu baada ya mechi yao na Porto kuisha kuna watu watajipiga Ban wenyewe humu halafu watasingizia wameibiwa simu hivyo wanakosa access ya kuingia JF![]()
Brighton yupi au ndo yule tuliempiga msako wa mbwa mwizi had kocha wao akasema hajawahi kutan na total dominance ya hali ile akiwa brightonSio 4 kwenye mechi 10 mna game 7 zote ngumu City, Spurs, Utd, Chelsea Villa, Brighton na Luton.
Kwenye hizi mechi 7 mna kila dalili ya kupoteza mechi 3 na draw 1.
Arsenyo kuhusu makombe bado mtasubiri sana mpaka mfike phase 7.


Kama hujaona utofauti ya arsenal wa msimu uliopita na msimu huu inabidi ule vyakula vitakavyosaidia kuongeza akili ya utambuzi na uchanganuzi wa mambo..Shida ya Arsenyo ni kushikilia bomba kwenye mechi za presha, msimu ulioisha mechi za mwisho za ligi mlikua mnapoteza kwa timu ambazo hata hufikirii kua hii mechi Arsenyau atapigika.
Kwa uzoefu wangu kati hizo mechi 7 Arsenyo akishapigika mechi moja basi tegemea draw au kupigika kwa mechi zinazofata.
Msimu uliosha zimebaki mechi 8 kumaliza ligi Arsenyo alikua anaongoza ligi kwa points 8 dhidi ya City aliekua nafasi ya pili, inabaki mechi moja ligi kuisha City anaongoza kwa points 8 dhidi yenuView attachment 2931190
Umeeleza kipuuzi sana asee yaan vila ampe tough game arsenal pekee wakt anamechi na timu zote zilizo juu yake na anahitahi walau kumpiku spurs kuitafuta top4 sasa nikwambie tu villa anaweza mshikilia mtu yetote yule anaemfata hasa home kwakeLiverpool kabakiza game ngumu mbili (Technically moja) Game ya old trafford itakuwa ngumu sana maana nyumbu wako tayari kufia uwanjani kuliko kuruhusu Liverpool abebe ndoo awafikie idadi ya makombe ya ligi. Game ya Goodson park pia itakuwa ngumu sababu Everton hawapo tayari Liverpool abebe lakini Everton ni wabovu tu watachelewesha mahakama ila watapigwa.
Man city kabakiza game ngumu moja tu vs Arsenal zilizobaki zote ana uhakika wa kushinda asilimia 100.
Sasa nyie kenge mnaoshangilia ubingwa mpaka mmeanza maandalizi ya sherehe, Mna game ngumu vs Man city(Ambaye kwa vyovyote hawezi kubali kufungwa home and away na arsenali), Mna game ngumu vs Spurs ambao kwa vyovyote wapo tayari kufia uwanjani kuliko kuon mkibeba ndoo, Mna game ngumu vs Aston Villa ugumu wake sababu Unai anataka awa prove wrong, mna game ngumu vs manyumbu hawawezi kubali mbebe ndoo kirahisi, mna game ngumu vs chelsea (Though uwezo wa kushinda mnao), Mwisho mna game ngumu vs Everton ugumu wa game ya Everton na ile ya manyumbu ni kutokana na kuwa hizi game ndio za mwisho na huenda zikaamua kama Everton anabaki ligi kuu au vipi na Manyumbu wanamaliza top 4 au vipi. Kwa kifupi Mpaka sasa mwenye njia nzuri zaidi ya kubeba ndoo kutokana na ratiba ilivyobaki ni Mancity nyie kenge punguzeni mdomo ndio maana mnajinyonga.
View attachment 2931579
Hyu anatapatapa...sisi anatupangia kabisa atakayetufunga halafu yy kajipangia hakuna wa kumzuia🤠🤠..hzi akili sijui za wapiUmeeleza kipuuzi sana asee yaan vila ampe tough game arsenal pekee wakt anamechi na timu zote zilizo juu yake na anahitahi walau kumpiku spurs kuitafuta top4 sasa nikwambie tu villa anaweza mshikilia mtu yetote yule anaemfata hasa home kwake
De Zerbi alilalamika sana siku ile...na kuanzia pale ndo mambo yake yakaanza kumuendea mrama🤠🤠Brighton yupi au ndo yule tuliempiga msako wa mbwa mwizi had kocha wao akasema hajawahi kutan na total dominance ya hali ile akiwa brighton![]()
Mtu mwenye wake watatu upweke anautolea wapi?
Upweke mnao nyinyi vijana mnaotegemea huruma za single mother![]()
"lakini sasahiv timu imegain momentum game za mwisho"Kama hujaona utofauti ya arsenal wa msimu uliopita na msimu huu inabidi ule vyakula vitakavyosaidia kuongeza akili ya utambuzi na uchanganuzi wa mambo..
Msimu ulioisha timu ililoss momentum game za mwisho lakini sasahiv timu imegain momentum game za mwisho.
Msimu ulioisha timu zilizoweza kutudominate zilishinda au kutoa sare dhidi yetu msimu huu hakuna mjinga anaelogwa kutudominate wengi waliopata walau sare msimu huu ni msaada wa marefa wa VAR kwa magoli ya mipira iliyokwisha toka
Atamreplace nani sasa? 😂Chelsea are ready to sell 15 players this summer as they admit defeat in their disastrous transfer policy.
Tunaenda kumchukua Mudryk kwa mkopo
Suffering from success"lakini sasahiv timu imegain momentum game za mwisho"
Game za mwisho zipi unazozizungumzia wewe?
Mmegain momentum ipi kweny hizo game za mwisho wakati hizo game za mwisho bado hazijaanza kuchezwa?
Tunaposema game za mwisho tunamaanisha zile game 10 za kumaliza ligi ambazo mtaanza nazo kwa kucheza na Mancity.
Msimu ulioisha hizo game 10 mwisho ndio mlianza kudondosha points mfululizo mpaka City akawapiga bao.
Hata akiwa golikipa namba 3 sio mbayaAtamreplace nani sasa? 😂