Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

As I thought Porto hawatokaa nyuma ila wascore kwanza kisha ndiyo wakae nyuma. Tungeenda half time bila bila second half Porto wangerudi kupaki basi.

Hata hivyo Arsenal ana pressure ya kufuzu kuliko wao, wanaweza wakapaki basi kusubiri matuta pia. I hope hili holi litawafanya wacheze mpira
 
As I thought Porto hawatokaa nyuma ila wascore kwanza kisha ndiyo wakae nyuma. Tungeenda half time bila bila second half Porto wangerudi kupaki basi.

Hata hivyo Arsenal ana pressure ya kufuzu kuliko wao, wanaweza wakapaki basi kusubiri matuta pia. I hope hili holi litawafanya wacheze mpira
Wakitaka kututesa, watumie wing yao ya kulia. Trossard hana ile energy ya Martinelli kuwafukuzia wachezaji wao pale wanapomnyang'anya mpira na kuanza kutushambulia kwa kasi. Gap la Kiwior na Trossard naliona ni kubwa na Havertz leo hajadrop sana kujaza numbers hapo maeneo ya LCM.
 
Nimependa tahadhari aliyoingia nayo Arteta. Game ya leo haihitaji mistake ata kidogo

Porto wangepata goal Tena kabla yetu au wakija kupata goal game inaenda kuwa ngumu Sana upande wetu

I just wish nimuone partey pale Kati Kama yupo na fitness nzuri
 
Zinchenko
Partey
Jesus

Hizi sub muhimu Sana, coz Porto wanacheza Sana kwao na Kati Kati ya uwanja
 
Back
Top Bottom