fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,676
- 23,984
Na ndiomana anapoteza muda lengo wafike penaltiesSio kwa ubaya, ila huyu kipa wa Porto katika penalty 10 za mwisho dhidi yake, amesave 9, amefungwa moja.
Na ndiomana anapoteza muda lengo wafike penaltiesSio kwa ubaya, ila huyu kipa wa Porto katika penalty 10 za mwisho dhidi yake, amesave 9, amefungwa moja.
Hizi mechi zinahtaji pia kuwa na wachezaji makatili mbele ya goli sio wapaka rangiGame imekuwa nzuri. Kuna vitu ningependa kuona zaidi ila sasa tuone itaishaje.
Tukipoteza, bado tumpongeze Arteta na timu nzima kwa kufika hapa.
Hakika mkuuGame imekuwa nzuri. Kuna vitu ningependa kuona zaidi ila sasa tuone itaishaje.
Tukipoteza, bado tumpongeze Arteta na timu nzima kwa kufika hapa.