Bachelor OG
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 1,195
- 1,467
A woman should be the one asking for a relationship
Never the man.
Never the man.
@hamis77 natumai umeona mziki wa Champions league nilikukatalia ile siku wakati fixtures zinapangwa kuwa team Porto ni team ndogo ona sasa tunabana kende tu muda huu anything can happen Arteta still bado Uefa competition zinamsumbua (katika last 5 fixtures za home katika Uefa zote tumetolewa home)I don't know why kwa kweli imagine hii ni Porto then bado kuna hizo Real Madrid na wengineo si itakuwa balaa hata tukifuzu kwenda quarter final kwa shida still bado naona giza tu mbeleniNot sure if arteta had enough preparation for this match
Tulipopangwa na Porto kina Hamis walihesabu tutapita kirahisi,nakumbuka niliandika humu kwamba PORTO WASICHUKULIWE POA@hamis77 natumai umeona mziki wa Champions league nilikukatalia ile siku wakati fixtures zinapangwa kuwa team Porto ni team ndogo ona sasa tunabana kende tu muda huu anything can happen Arteta still bado Uefa competition zinamsumbua (katika last 5 fixtures za home katika Uefa zote tumetolewa home)I don't know why kwa kweli imagine hii ni Porto then bado kuna hizo Real Madrid na wengineo si itakuwa balaa hata tukifuzu kwenda quarter final kwa shida still bado naona giza tu mbeleni
Hii game tutashindaGame kweli nzuri hii. Tukiwa na energy ya kuwachezea nusu uwanja hivi na kudhibiti counters zao, tunashinda hii.
Wasifike Penalty...Raya ni mweupe kabisa...yule kipa wa Porto ni mzuri kwa PenaltHii game tutashinda
IdTulipopangwa na Porto kina Hamis walihesabu tutapita kirahisi,nakumbuka niliandika humu kwamba PORTO WASICHUKULIWE POA
Basi, basi, msamehe. Na man city atafanya mapemaSub ya Jesus ilikua ni ya mapema sana. Sometimes Arteta ana over think.