Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Humu ndani mnalishana ujinga sana.
Yaani mko nafasi ya 3 na mmezidiwa point na city pamoja na liverpool lakini mnaongea kuliko wao.

Sisi Manyumbu tunajua msimu kwetu umeisha ndio maana tunakosa nguvu ya kuwabishia ila kuweni wastaarabu kama Liverpool.

Kwa sasa mnajiaminisha mmekamilika sababu ya ushindi usiokuwa na maana wa 5+, siku ikitokea mmepigwa msianze kulalamikia VAR tena kubalini kuzidiwa kama mllivyofanywa na Porto.
 
Humu ndani mnalishana ujinga sana.
Yaani mko nafasi ya 3 na mmezidiwa point na city pamoja na liverpool lakini mnaongea kuliko wao.

Sisi Manyumbu tunajua msimu kwetu umeisha ndio maana tunakosa nguvu ya kuwabishia ila kuweni wastaarabu kama Liverpool.

Kwa sasa mnajiaminisha mmekamilika sababu ya ushindi usiokuwa na maana wa 5+, siku ikitokea mmepigwa msianze kulalamikia VAR tena kubalini kuzidiwa kama mllivyofanywa na Porto.
Umeandika upuuzi mtupu. Endelea kuumia huko uliko.
 
Humu ndani mnalishana ujinga sana.
Yaani mko nafasi ya 3 na mmezidiwa point na city pamoja na liverpool lakini mnaongea kuliko wao.

Sisi Manyumbu tunajua msimu kwetu umeisha ndio maana tunakosa nguvu ya kuwabishia ila kuweni wastaarabu kama Liverpool.

Kwa sasa mnajiaminisha mmekamilika sababu ya ushindi usiokuwa na maana wa 5+, siku ikitokea mmepigwa msianze kulalamikia VAR tena kubalini kuzidiwa kama mllivyofanywa na Porto.
Unakuja kwny jukwaa letu na kutuandikia namna ya kuishi hmu ndani...upo serious kwli mkuu???...kwni sisi tukiongelea habari ya 5+ ww inakuuma nn...kwni hzo 5 si zinapatikana kwli sio kwmba tunaongelea habari za kusadikika...vumilieni tu huu msimu unaelekea mwshoni kwhyo hamtaziona 5+ tena mpk msimu ujao ndugu zetu
 
Kuna kenge shabiki la Arsenali miaka ile nasoma Advance yule kenge alinichukulia demu wangu ambaye nili invest nguvu nyingi kumpata nawachukia sana arsenali wote dunia nzima
Unatulaumu bure. Utakuta demu mwenyewe alikuacha kwa sababu unashabikia Liverpool. Mashabiki wa Liverpool enzi hizo walikuwa na tabia mbaya kama za mashabiki wa Manyumbu na chelkenge wa enzi hizi, mtoto akawa anatafuta pa kukimbilia muda mrefu tu. Mwamba wa Arsenal alivyotokea akamsalimia na kumshika mkono kidogo tu, ndiyo ikawa bye bye.
 
Hapa nilionesha dhahiri kwamba arteta hajui anachofanya. Hii ilikuwa July 2023. Anaacha kusajili watu wa kazi analeta takataka nyepesi.

Nawatakia kila la heri wale mashabiki lialia, I'm out.

Hawa mamluki wa Arsenal bado wapo humu?
 
Humu ndani mnalishana ujinga sana.
Yaani mko nafasi ya 3 na mmezidiwa point na city pamoja na liverpool lakini mnaongea kuliko wao.

Sisi Manyumbu tunajua msimu kwetu umeisha ndio maana tunakosa nguvu ya kuwabishia ila kuweni wastaarabu kama Liverpool.

Kwa sasa mnajiaminisha mmekamilika sababu ya ushindi usiokuwa na maana wa 5+, siku ikitokea mmepigwa msianze kulalamikia VAR tena kubalini kuzidiwa kama mllivyofanywa na Porto.
Acha uoga wewe nyumbu,, sisi tushatoka uko, Yani Badoo hamuamini tu!?
 
Hawa mamluki wa Arsenal bado wapo humu?
20240225_162845.jpg
 
Hawa mamluki wa Arsenal bado wapo humu?
Tatizo halikua striker, ilikua ni kutotumia chances tunazopata
Tangu msimu unaanza tunavyocheza hamna kilichobadilika hata hizi 5+ tunazopata sasa kama tungekua clinical mapema tungekua mbali, Jmos tunakaa top afu jpil muuane tu mtajua wenyewe
20231212_150016.jpg
 
Back
Top Bottom