Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,512
- 9,552
Chama lipo serious sahivi.
Wikiendi mnaanza kurudi kwny nafasi zenu halisi...ya nne huko kushuka chini
kivumbi tayari jamaaa anakuwa na mawenge fulani hiviiiiiiiMechi na Brentford golini atakaa Rambo
Umeandika upuuzi mtupu. Endelea kuumia huko uliko.Humu ndani mnalishana ujinga sana.
Yaani mko nafasi ya 3 na mmezidiwa point na city pamoja na liverpool lakini mnaongea kuliko wao.
Sisi Manyumbu tunajua msimu kwetu umeisha ndio maana tunakosa nguvu ya kuwabishia ila kuweni wastaarabu kama Liverpool.
Kwa sasa mnajiaminisha mmekamilika sababu ya ushindi usiokuwa na maana wa 5+, siku ikitokea mmepigwa msianze kulalamikia VAR tena kubalini kuzidiwa kama mllivyofanywa na Porto.
Unakuja kwny jukwaa letu na kutuandikia namna ya kuishi hmu ndani...upo serious kwli mkuu???...kwni sisi tukiongelea habari ya 5+ ww inakuuma nn...kwni hzo 5 si zinapatikana kwli sio kwmba tunaongelea habari za kusadikika...vumilieni tu huu msimu unaelekea mwshoni kwhyo hamtaziona 5+ tena mpk msimu ujao ndugu zetuHumu ndani mnalishana ujinga sana.
Yaani mko nafasi ya 3 na mmezidiwa point na city pamoja na liverpool lakini mnaongea kuliko wao.
Sisi Manyumbu tunajua msimu kwetu umeisha ndio maana tunakosa nguvu ya kuwabishia ila kuweni wastaarabu kama Liverpool.
Kwa sasa mnajiaminisha mmekamilika sababu ya ushindi usiokuwa na maana wa 5+, siku ikitokea mmepigwa msianze kulalamikia VAR tena kubalini kuzidiwa kama mllivyofanywa na Porto.
Unatulaumu bure. Utakuta demu mwenyewe alikuacha kwa sababu unashabikia Liverpool. Mashabiki wa Liverpool enzi hizo walikuwa na tabia mbaya kama za mashabiki wa Manyumbu na chelkenge wa enzi hizi, mtoto akawa anatafuta pa kukimbilia muda mrefu tu. Mwamba wa Arsenal alivyotokea akamsalimia na kumshika mkono kidogo tu, ndiyo ikawa bye bye.Kuna kenge shabiki la Arsenali miaka ile nasoma Advance yule kenge alinichukulia demu wangu ambaye nili invest nguvu nyingi kumpata nawachukia sana arsenali wote dunia nzima
Arteta is nothing but a Spanish Southgate (Raya issue).
ilikuwa ni suala la muda tu Arsenal kurejea Utu wake wa Kale....
Huu msimu hata Top four hampati. Nifah Umepokeaje Kichapo hiki siku ya Leo
Hapa nilionesha dhahiri kwamba arteta hajui anachofanya. Hii ilikuwa July 2023. Anaacha kusajili watu wa kazi analeta takataka nyepesi.
Nawatakia kila la heri wale mashabiki lialia, I'm out.
Kwa mwendo wa kutokufunga chance after chance after chance, ndugu yetu hamis aambiwe kabisa hatutoboi hata 16 bora UEFA
Mtu mzima na akili zako unakaa Jukwaa hili kuamini UCHOKO wa HAMIS anavyoaminisha watu UJINGA![]()
White nae anachezaga KICHOKO,binafsi Cedrick ni mzuri kuliko hata huyu White,ARTETA aache UCHOKO kumilikisha namba wachezaji kama Ben White wakati anachomeshaga tu
Acha uoga wewe nyumbu,, sisi tushatoka uko, Yani Badoo hamuamini tu!?Humu ndani mnalishana ujinga sana.
Yaani mko nafasi ya 3 na mmezidiwa point na city pamoja na liverpool lakini mnaongea kuliko wao.
Sisi Manyumbu tunajua msimu kwetu umeisha ndio maana tunakosa nguvu ya kuwabishia ila kuweni wastaarabu kama Liverpool.
Kwa sasa mnajiaminisha mmekamilika sababu ya ushindi usiokuwa na maana wa 5+, siku ikitokea mmepigwa msianze kulalamikia VAR tena kubalini kuzidiwa kama mllivyofanywa na Porto.
Hawa mamluki wa Arsenal bado wapo humu?
Huyo yupoHawa mamluki wa Arsenal bado wapo humu?
Tatizo halikua striker, ilikua ni kutotumia chances tunazopataHawa mamluki wa Arsenal bado wapo humu?