Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,089
- 16,086
Barca are barking up the wrong tree. Arteta ni tofauti na wahispaniola wengine, jamaa anavutiwa sana na culture ya waingereza. Kuna mazingira rafiki sana kwa familia yake.View attachment 2926473
Tai, bundi na vultures (hivi vulture anaitwaje kwa kiswahili?) washaanza kutuwangia.
Pia kwa Arsenal anachukuliwa kama legend kwa kuwa ndio club alocheza kwa muda mrefu na alikuwa nahodha pia.
Mpaka sasa Arteta ame gain full trust kutoka kwa mashabiki na wachezaji, ndio maana leo hii husikii mtu anapiga kelele kwamba kwanini Raya anacheza badala ya Ramsdale, kama upo mtu wa namna hiyo basi huo utakua ni mgogoro wako mwenyewe wa kinafsi.
So, even club like Barca can't buy that loyalty. Mikel is going nowhere!


