Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1709748204810.png


Tai, bundi na vultures (hivi vulture anaitwaje kwa kiswahili?) washaanza kutuwangia.
 
View attachment 2926473

Tai, bundi na vultures (hivi vulture anaitwaje kwa kiswahili?) washaanza kutuwangia.
Barca are barking up the wrong tree. Arteta ni tofauti na wahispaniola wengine, jamaa anavutiwa sana na culture ya waingereza. Kuna mazingira rafiki sana kwa familia yake.

Pia kwa Arsenal anachukuliwa kama legend kwa kuwa ndio club alocheza kwa muda mrefu na alikuwa nahodha pia.

Mpaka sasa Arteta ame gain full trust kutoka kwa mashabiki na wachezaji, ndio maana leo hii husikii mtu anapiga kelele kwamba kwanini Raya anacheza badala ya Ramsdale, kama upo mtu wa namna hiyo basi huo utakua ni mgogoro wako mwenyewe wa kinafsi.

So, even club like Barca can't buy that loyalty. Mikel is going nowhere!
 
Barca are barking up the wrong tree. Arteta ni tofauti na wahispaniola wengine, jamaa anavutiwa sana na culture ya waingereza. Kuna mazingira rafiki sana kwa familia yake.

Pia kwa Arsenal anachukuliwa kama legend kwa kuwa ndio club alocheza kwa muda mrefu na alikuwa nahodha pia.

Mpaka sasa Arteta ame gain full trust kutoka kwa mashabiki na wachezaji, ndio maana leo hii husikii mtu anapiga kelele kwamba kwanini Raya anacheza badala ya Ramsdale, kama upo mtu wa namna hiyo basi huo utakua ni mgogoro wako mwenyewe wa kinafsi.

So, even club like Barca can't buy that loyalty. Mikel is going nowhere!
Dogo amepambana sana kwa kweli. Itapendeza sana wasifu wake ukijaa makombe. Alitoka academy ya barcelona akiwa mtoto kabisa. Hatuwezi kusema ana connection nao, labda kwa kuforce kama Fabregas. Amecheza Scotland ujanani, Everton, akakubali kupunguziwa mshahara aje Arsenal. Akapanda cheo kuwa captain mpaka alipostaafu kucheza na kwenda kuwa mshauri mkuu 😃😃 wa Pep.

Sasa amekuwa manager na kwa timu yake ya kwanza anaonyesha kuwa anaelekea kumzidi maarifa Pep. Barca wamuache kwanza afanikiwe na Arsenal.
 
Tatizo halikua striker, ilikua ni kutotumia chances tunazopata
Tangu msimu unaanza tunavyocheza hamna kilichobadilika hata hizi 5+ tunazopata sasa kama tungekua clinical mapema tungekua mbali, Jmos tunakaa top afu jpil muuane tu mtajua wenyeweView attachment 2926466

Then baada ya hiyo Jumapili nawewe una safari ya kwenda Etihad kuuwana pia
 
Dogo amepambana sana kwa kweli. Itapendeza sana wasifu wake ukijaa makombe. Alitoka academy ya barcelona akiwa mtoto kabisa. Hatuwezi kusema ana connection nao, labda kwa kuforce kama Fabregas. Amecheza Scotland ujanani, Everton, akakubali kupunguziwa mshahara aje Arsenal. Akapanda cheo kuwa captain mpaka alipostaafu kucheza na kwenda kuwa mshauri mkuu 😃😃 wa Pep.

Sasa amekuwa manager na kwa timu yake ya kwanza anaonyesha kuwa anaelekea kumzidi maarifa Pep. Barca wamuache kwanza afanikiwe na Arsenal.
Wanataka wamchukue halafu wakikaa misimu miwili wakaona patupu wamtimue maana wao kusubiri hawawezi🤠🤠...watafute kipusa kingine tu kwakwli
 
Kuna kenge shabiki la Arsenali miaka ile nasoma Advance yule kenge alinichukulia demu wangu ambaye nili invest nguvu nyingi kumpata nawachukia sana arsenali wote dunia nzima
Daaahhh we Jamaa umezingua kweli, Liverpool mzima unagongewaje na shabiki la Asani nyau?
Sisi kipindi chetu tulivyokua shule mashabiki wa Man Utd, Liverpool na Chelsea ndio tulikua tunawagongea Mashabiki wa AsaniNyau madem zao na dada zao
 
Barca are barking up the wrong tree. Arteta ni tofauti na wahispaniola wengine, jamaa anavutiwa sana na culture ya waingereza. Kuna mazingira rafiki sana kwa familia yake.

Pia kwa Arsenal anachukuliwa kama legend kwa kuwa ndio club alocheza kwa muda mrefu na alikuwa nahodha pia.

Mpaka sasa Arteta ame gain full trust kutoka kwa mashabiki na wachezaji, ndio maana leo hii husikii mtu anapiga kelele kwamba kwanini Raya anacheza badala ya Ramsdale, kama upo mtu wa namna hiyo basi huo utakua ni mgogoro wako mwenyewe wa kinafsi.

So, even club like Barca can't buy that loyalty. Mikel is going nowhere!
If Xavi, undoubtedly a club legend, amekua treated hivi kwa Arteta akichokwa itakuaje?
 
Kama hizo habari ni za kweli kwamba Barca wanamtaka Arteta basi barca inaenda kupotea kwenye ramani ya soka la ulaya.
Arteta ni jamii ya kina Tony Pulis au Big sam Alladyce huko kocha wa middle table
 
Back
Top Bottom