Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Barca are barking up the wrong tree. Arteta ni tofauti na wahispaniola wengine, jamaa anavutiwa sana na culture ya waingereza. Kuna mazingira rafiki sana kwa familia yake.

Pia kwa Arsenal anachukuliwa kama legend kwa kuwa ndio club alocheza kwa muda mrefu na alikuwa nahodha pia.

Mpaka sasa Arteta ame gain full trust kutoka kwa mashabiki na wachezaji, ndio maana leo hii husikii mtu anapiga kelele kwamba kwanini Raya anacheza badala ya Ramsdale, kama upo mtu wa namna hiyo basi huo utakua ni mgogoro wako mwenyewe wa kinafsi.

So, even club like Barca can't buy that loyalty. Mikel is going nowhere!
Dogo amepambana sana kwa kweli. Itapendeza sana wasifu wake ukijaa makombe. Alitoka academy ya barcelona akiwa mtoto kabisa. Hatuwezi kusema ana connection nao, labda kwa kuforce kama Fabregas. Amecheza Scotland ujanani, Everton, akakubali kupunguziwa mshahara aje Arsenal. Akapanda cheo kuwa captain mpaka alipostaafu kucheza na kwenda kuwa mshauri mkuu 😃😃 wa Pep.

Sasa amekuwa manager na kwa timu yake ya kwanza anaonyesha kuwa anaelekea kumzidi maarifa Pep. Barca wamuache kwanza afanikiwe na Arsenal.
 
Tatizo halikua striker, ilikua ni kutotumia chances tunazopata
Tangu msimu unaanza tunavyocheza hamna kilichobadilika hata hizi 5+ tunazopata sasa kama tungekua clinical mapema tungekua mbali, Jmos tunakaa top afu jpil muuane tu mtajua wenyeweView attachment 2926466

Then baada ya hiyo Jumapili nawewe una safari ya kwenda Etihad kuuwana pia
 
Dogo amepambana sana kwa kweli. Itapendeza sana wasifu wake ukijaa makombe. Alitoka academy ya barcelona akiwa mtoto kabisa. Hatuwezi kusema ana connection nao, labda kwa kuforce kama Fabregas. Amecheza Scotland ujanani, Everton, akakubali kupunguziwa mshahara aje Arsenal. Akapanda cheo kuwa captain mpaka alipostaafu kucheza na kwenda kuwa mshauri mkuu 😃😃 wa Pep.

Sasa amekuwa manager na kwa timu yake ya kwanza anaonyesha kuwa anaelekea kumzidi maarifa Pep. Barca wamuache kwanza afanikiwe na Arsenal.
Wanataka wamchukue halafu wakikaa misimu miwili wakaona patupu wamtimue maana wao kusubiri hawawezi🤠🤠...watafute kipusa kingine tu kwakwli
 
Kuna kenge shabiki la Arsenali miaka ile nasoma Advance yule kenge alinichukulia demu wangu ambaye nili invest nguvu nyingi kumpata nawachukia sana arsenali wote dunia nzima
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Daaahhh we Jamaa umezingua kweli, Liverpool mzima unagongewaje na shabiki la Asani nyau?
Sisi kipindi chetu tulivyokua shule mashabiki wa Man Utd, Liverpool na Chelsea ndio tulikua tunawagongea Mashabiki wa AsaniNyau madem zao na dada zao[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Barca are barking up the wrong tree. Arteta ni tofauti na wahispaniola wengine, jamaa anavutiwa sana na culture ya waingereza. Kuna mazingira rafiki sana kwa familia yake.

Pia kwa Arsenal anachukuliwa kama legend kwa kuwa ndio club alocheza kwa muda mrefu na alikuwa nahodha pia.

Mpaka sasa Arteta ame gain full trust kutoka kwa mashabiki na wachezaji, ndio maana leo hii husikii mtu anapiga kelele kwamba kwanini Raya anacheza badala ya Ramsdale, kama upo mtu wa namna hiyo basi huo utakua ni mgogoro wako mwenyewe wa kinafsi.

So, even club like Barca can't buy that loyalty. Mikel is going nowhere!
If Xavi, undoubtedly a club legend, amekua treated hivi kwa Arteta akichokwa itakuaje?
 
Kama hizo habari ni za kweli kwamba Barca wanamtaka Arteta basi barca inaenda kupotea kwenye ramani ya soka la ulaya.
Arteta ni jamii ya kina Tony Pulis au Big sam Alladyce huko kocha wa middle table
 
Kama hizo habari ni za kweli kwamba Barca wanamtaka Arteta basi barca inaenda kupotea kwenye ramani ya soka la ulaya.
Arteta ni jamii ya kina Tony Pulis au Big sam Alladyce huko kocha wa middle table
Mnaonaje tupewe gemu nyingine turudiane kuonyeshana makali?
20240307_132459.jpg
 
Arteta on Kai Havertz:

"It shows his character how he has dealt with all those question marks.

The attitude he showed all the time when things were not that good in certain phases of the game, but he continued to work hard and that's why he's loved by everybody here."
20240307_183845.jpg
 
🚨Arteta says that Arsenal "are pretty positive" that Martinelli and Saka will be involved against Brentford, but that a decision will be taken on Friday.
20230901_092453.jpg
 
🗣 Arteta on Ramsdale playing this weekend:

“It is what it is, he is fully prepared, he trains really well every day - he is desperate to play like the rest of the boys who haven’t had that many opportunities and Saturday is a great day for him"
✍🏾"He’s been brilliant, he’s been really good, really supportive, really pushing everything in training like I expected and it’s a joy to have two top goalkeepers in the team."
20240307_184235.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom