Waugwadu
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 520
- 922
Akishashiba zake kande anakuja kujamba jamba hapa(joke)😁.Huyu jamaa ni TAHIRA sana
Akishashiba zake kande anakuja kujamba jamba hapa(joke)😁.Huyu jamaa ni TAHIRA sana
Ewaaa umeliona hilo😂😂😂😂...licha ya kukosa nafasi kadhaa za kufunga lakini timu imekuwa predictable mno kwa namna inavocheza.
flow ya mpira hakuna timu pinzani isiyoijua.. ni same build up kila game hasa namna saka na ø wanavopasiana ata kama haileti matokeo.
arteta kazini kwake kuna kazi kweli!
arudi kusajili winger na CF proven ndio timu at least itaanza kusogea tartbu.
Masingeli banaaa
Haya tumeshakiona kipigo cha mbwa koko.
Tumejitoa kwenye kombe la FA ili tufocus kwenye PL na Uefa(false hopes Fc)
Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app
Hlf kuna kigenge chake hapa cha Hamas kinamuunga mkono.. Yan kwl unafiki hautakaa uishe dunian mkuu.Mlevi yule, alipoanza kusema Mardid, bayern ni timu za kawaida. Pia Halland ni mchezaji wakawaida.Anakwambia Halland na Jesus anachukua Jesus hapa ndio nilianza kumuona kichwani hayupo sawa.
Mlioliwa ela na muhindi poleni sana
Kaka hamis Aaron uje usikimbie jukwaa, maana wewe timu ikifungwa tu ndo unabanwa na majukumu yanakua mengi





Muzee ya Magrafu upo !!??...... Leo tuletee magrafu ya Arteta mwenyewe maan haya ya Wachezaji tumeyachokaLiverpool Leo anatakiwa apigwe kipigo Cha mbwa Koko
Hatutoki tuko hapa wiki nzima, maanina.Mkishamaliza kututukana/kutudhihaki mtupishe kidogo tuna kikao cha kifamilia
Kweli kabisa, very predictable. Mpira ule ule shwain.licha ya kukosa nafasi kadhaa za kufunga lakini timu imekuwa predictable mno kwa namna inavocheza.
flow ya mpira hakuna timu pinzani isiyoijua.. ni same build up kila game hasa namna saka na ø wanavopasiana ata kama haileti matokeo.
arteta kazini kwake kuna kazi kweli!
arudi kusajili winger na CF proven ndio timu at least itaanza kusogea tartbu.
Wazee tuongezeeni angalau pesa kidogo kwa KAI na JOG acheni ubahili basi.





Li supa kompyuta linasema hivi:-Mwaka jana wakati tunapiga kelele hamtochukua ubingwa, tulikuwa tunaandika huku tunaogopa kutokana na form yenu. Mlikuwa mnaupiga kweli, ball la maana. Ila mwaka huu hata yakiulizwa mawe, yatajibu hambebi kitu. Tunawakumbusha chini hapa
1. Carabao cup : ❌❌❌❌
2:EPL loading : ❌❌❌❌
3: UEFA loading: FALSE HOPE🔞
4: FA Cup : FALSE HOPE🔞