Bro mimi nadhani watubadilishie kidogo ratiba. Arsenal iwe inacheza na Man City, Liverpool na Tottenham tu, hata mechi sita sita. Hao wengine waendelee wenyewe kwa wenyewe maana kuwalazimisha kukutana na sisi ni kututafutia lawama za makusudi. Tunachukiwa sana huko ulimwenguni na huku mitandaoni wakati siyo kosa letu. Sisi hatujui kufunga mtu chini ya tano.One-way Arsenal traffic
Ushawahi kukaa foleni buguruni halafu yanaruhusiwa malori ya upande mmoja tu?😂
View attachment 2925262
Sasa Arteta si ndiye manager wetu?Kwani hili limegeuka jukwaa la Arsenal au mimi ndiyo sielewi. Mbona Arteta zimekua nyingi?
Yani Chelsea na Man U tutajitafuta na kujipata, tutachukua makombe, hawa madogo tutawakuta wapo hapa hapa kuzidi kujazana upepoArsenyo kama timu haijawahi kua serious na kombe ila mashabiki wa Arsenyo wao ndio wako serious kwelikweli na ubingwa
View attachment 2925199
Kila mtu sasa anataka kutufunga sisi tu. Kila mtu anatukamia. Kila mtu ameboresha kiwango chake ili atufunge sisi.Nimetoka youtube kuangalia live training ya brentford aloo Jumamosi hamtoki yani hata sare hampati
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Hakuna goli la ugenini safari hii....wale Porto watatueleza vzuri siku ile walitufungaje....sisi habari ya ngekewa hatuna sasahv...tunakupiga 5+ kwnda juu...yakitokea mengine yakakataliwa humohumo hesabu inakuwa kubwa bdo🤠🤠...mtaarifu Pepe ajiandaeNyie kuanzia wiki ijayo tu Fc Porto akiwatoa Uefa molari yote inashuka mnaanza kupoteana mazima kwenye Epl.
Nusura yenu labda mpate ngekewa tu ya kumfunga Porto.
Anzeni kufanya kazi muondoe GD ya -ve kwanza...uzuri ni kwmba bdo tuna mechi na hao vilaza wte...wacha tukutane tuoneshane makali🤠🤠Yani Chelsea na Man U tutajitafuta na kujipata, tutachukua makombe, hawa madogo tutawakuta wapo hapa hapa kuzidi kujazana upepo
Nenda kalale braza🤠🤠🤠
Be back...
Kingereza kigumu mkuu? Washakuandikia wenye takwimu zao kuwa hakuna team ingine yenye wachezaji wa5 wenye 10+ goals contributionNdio mnagundua leo. Liverpool tunao watano pia wana 10 + goals contribution
Nyie ndani ya miaka 35 mna epl moja lakini...Kabisa mtu anaamua kushabikia arsenali yani ni vituko 🤣🤣
Unaanzaje kushabikia timu ina miaka 20 bila epl mi nisingeweza asee
Hapa bhana ndo unakuja kuona kuna kipindi ni ukuda tuu. Mtu anaona hii ni 2 lakini anasema 1.Nyie ndani ya miaka 35 mna epl moja lakini...