Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hizi zenu sifa sasa kwani kushinda 2 hamujui? Yani muna goal deference nyingi kuliko points za Manure au munataka mufike goal deference 100? 😂😂

Itabidi Man City awapunguze kasi manake sioni Mwengine wa kuwafunga 😂
Tuna jambo letu na Manunu...hakika hiki kikombe cha hamsa hawatakiepuka🤠🤠
 
Trossard amerudi.

Odegaard yupo pia.

Vieira is good tactically ila mechi ikihitaji physique anakua bullied mno, ananikumbusha Guendouz he had a desire na fighting spirit ila alikua hovyo kwa kila kitu
. . .
 
Humu watu wako serious kwelikweli, laiti wangejua mwisho wa msimu jinsi mambo yatavyokua
Masingeli kitu anafanya humu inaitwa Proxy war, halafu mwisho wa msimu anajifungia chooni anawacheka mpaka anaanguka chini, dirisha la usajili likifungiliwa anarudi tena humu kuanza kuwachota na zile tetesi zake za usajili maana anajua mashabiki wengi wa arsenyo wana akili kisoda hua wanasahau haraka sana.
tapatalk_-1956244963_488x640.jpg
 
Raphinha alitakwa na Arsenal.

Chelsea akaingilia kati kukubaliana na Leeds moja kwa moja.

Broke Barcelona ikaja.

Raphinha akasema kama haendi Arsenal basi ni Barca.

Akaenda Barca.

Maisha yake ya mpira yamekuaje?

Kisha kuna ripoti zinasema Barca inalazimika kuendana na FFP so inabidi iuze.

Inataka kumuuza nani?

Raphinha. Na baadhi ya media zinasema Arsenal inataka kumrudia.

Hii sasa itakua ni recent case study ya jinsi gani Arsenal hua haimrudii mchezaji aliyewahi kutakiwa ila akaopt kwenda kwingine.
 
Raphinha alitakwa na Arsenal.

Chelsea akaingilia kati kukubaliana na Leeds moja kwa moja.

Broke Barcelona ikaja.

Raphinha akasema kama haendi Arsenal basi ni Barca.

Akaenda Barca.

Maisha yake ya mpira yamekuaje?

Kisha kuna ripoti zinasema Barca inalazimika kuendana na FFP so inabidi iuze.

Inataka kumuuza nani?

Raphinha. Na baadhi ya media zinasema Arsenal inataka kumrudia.

Hii sasa itakua ni recent case study ya jinsi gani Arsenal hua haimrudii mchezaji aliyewahi kutakiwa ila akaopt kwenda kwingine.
Nadhani tunaweza kumrudia mchezaji 'exceptional'. Tatizo ni baadhi tuliowatafuta walikuwa 'one season wonders' waliokuwa na moto msimu huo tuliowatafuta kwenye timu zao, halafu baada ya kutukataa wakawa chini ya kiwango. Tukatafuta mbadala ndani ama nje, maisha yakaendelea.

Mpaka leo siamini kama ile form ya mwisho wa msimu ya Nketiah ilitufanya tusinunue striker bali tumuongezee mkataba Eddie na kumpa #14.
 
1709719616052.png


10,000 goals!

Natamani kusema hatukuwaongezea magoli Sheffield ili tuache hiyo 10000 goals mark ibaki. Tukikutana na wengine tunaanza safari ya magoli 10000 mengine.
 
View attachment 2925900

Stats zingine huwa najitahidi kutozichukulia serious sana. Raya utakuta kuna mechi zingine hata shots 3 kumfikia mechi nzima ni ngumu. Halafu kuna kina Onana wanaopokea shots kila dk. 5 kila game...
Ukiniuliza mm kati ya Raya na Onana nani amefanya makubwa mpk Sasa ntakuambia Onana...yule jamaa anapitia misukosuko sana ...kumaliza mechi unapelekewa michomo Kila saa sio mchezo ujue🤠🤠🤠
 
View attachment 2925889
Wewe ni timu pinzani umepanga foleni kwenye tunnel kabla ya kick-off. Mpizani wako anakukata jicho la namna hii. Na hapo unajua wenzako kama wanne hivi kabla yako wamelishwa 5-0 au 6-0....
This look is not good...Hawa jamaa wanatisha kuanzia kwny tunnel mpk uwanjani....siku hzi huwa naona wakianza kufunga goli hawashangilii sana wanaitana kati waanze upya....sasahyo sio dalili nzuri kwa opponent
 
Ukiniuliza mm kati ya Raya na Onana nani amefanya makubwa mpk Sasa ntakuambia Onana...yule jamaa anapitia misukosuko sana ...kumaliza mechi unapelekewa michomo Kila saa sio mchezo ujue🤠🤠🤠
Uko sahihi kabisa bro. Onana angekuwa kwetu kwa namna tunayocheza na Raya akawa kwao, nahisi Onana angekuwa na namba kama za Raya.
 
Back
Top Bottom