arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Nyani haoni ku......malizieni wakuu🤠🤠ðŸ¤Nyie ndani ya miaka 35 mna epl moja lakini...
Nyani haoni ku......malizieni wakuu🤠🤠ðŸ¤Nyie ndani ya miaka 35 mna epl moja lakini...
Tuna jambo letu na Manunu...hakika hiki kikombe cha hamsa hawatakiepuka🤠ðŸ¤Hizi zenu sifa sasa kwani kushinda 2 hamujui? Yani muna goal deference nyingi kuliko points za Manure au munataka mufike goal deference 100? 😂😂
Itabidi Man City awapunguze kasi manake sioni Mwengine wa kuwafunga 😂
Huyu jamaa ile attitude yake ndiyo ilimuondoa ila nilikua naona ana shida hizi hapaGuendouzi anakichafua na Bayern hapa
. . .Trossard amerudi.
Odegaard yupo pia.
Vieira is good tactically ila mechi ikihitaji physique anakua bullied mno, ananikumbusha Guendouz he had a desire na fighting spirit ila alikua hovyo kwa kila kitu
. . .Zaidi ya moyo wa kupambana alionao Guendouz sioni sifa yake nyingine.
Hana nguvu, pace wala skills. Anapoteza mipira hovyo na anashindwa duels nyingi mno.
...Emery ndiye alimvumbua Rabiot naamini kuna kitu kakiona kwa Guendouz isipokua yeye hayupo serious. High fighting spirit, height but lacks stamina, power, speed and skills.
Siamini kama ana thamani ya pesa hiyo.
Relief Mirzska


Humu watu wako serious kwelikweli, laiti wangejua mwisho wa msimu jinsi mambo yatavyokua


Nadhani tunaweza kumrudia mchezaji 'exceptional'. Tatizo ni baadhi tuliowatafuta walikuwa 'one season wonders' waliokuwa na moto msimu huo tuliowatafuta kwenye timu zao, halafu baada ya kutukataa wakawa chini ya kiwango. Tukatafuta mbadala ndani ama nje, maisha yakaendelea.Raphinha alitakwa na Arsenal.
Chelsea akaingilia kati kukubaliana na Leeds moja kwa moja.
Broke Barcelona ikaja.
Raphinha akasema kama haendi Arsenal basi ni Barca.
Akaenda Barca.
Maisha yake ya mpira yamekuaje?
Kisha kuna ripoti zinasema Barca inalazimika kuendana na FFP so inabidi iuze.
Inataka kumuuza nani?
Raphinha. Na baadhi ya media zinasema Arsenal inataka kumrudia.
Hii sasa itakua ni recent case study ya jinsi gani Arsenal hua haimrudii mchezaji aliyewahi kutakiwa ila akaopt kwenda kwingine.
Ukiniuliza mm kati ya Raya na Onana nani amefanya makubwa mpk Sasa ntakuambia Onana...yule jamaa anapitia misukosuko sana ...kumaliza mechi unapelekewa michomo Kila saa sio mchezo ujue🤠🤠ðŸ¤View attachment 2925900
Stats zingine huwa najitahidi kutozichukulia serious sana. Raya utakuta kuna mechi zingine hata shots 3 kumfikia mechi nzima ni ngumu. Halafu kuna kina Onana wanaopokea shots kila dk. 5 kila game...
This look is not good...Hawa jamaa wanatisha kuanzia kwny tunnel mpk uwanjani....siku hzi huwa naona wakianza kufunga goli hawashangilii sana wanaitana kati waanze upya....sasahyo sio dalili nzuri kwa opponentView attachment 2925889
Wewe ni timu pinzani umepanga foleni kwenye tunnel kabla ya kick-off. Mpizani wako anakukata jicho la namna hii. Na hapo unajua wenzako kama wanne hivi kabla yako wamelishwa 5-0 au 6-0....
Uko sahihi kabisa bro. Onana angekuwa kwetu kwa namna tunayocheza na Raya akawa kwao, nahisi Onana angekuwa na namba kama za Raya.Ukiniuliza mm kati ya Raya na Onana nani amefanya makubwa mpk Sasa ntakuambia Onana...yule jamaa anapitia misukosuko sana ...kumaliza mechi unapelekewa michomo Kila saa sio mchezo ujue🤠🤠ðŸ¤