Charlz ze son conscious
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 563
- 856
utoto raha sanaMkuu uefa ni michezo ya mkakati na bahati pia. Tukulie uefa kwa Porto tuna mkanda 5, hii ndio standard yetu kwa Sasa
Kwaio wakija home hatutawekeza nguvu kubwa, Hadi robo huko
Robo tubahatike kukutana na city, Madrid, Bayern au Barca ili kazi iwe nyepesi
Nusu final then Final yenyewe.
Ni kuweka mikakati sawa tu, huku upande wa uefa
Ligi ni marathon, huku ndio kazi ipo
Uefa tuwekeze nguvu 40%, tunaanza na Porto. Hii tumeshafudhu hapa
Ligi tuweke nguvu 60%
