Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,392
United walikuwa na bahati, Luton had a bad dayNotice kwamba Arsenal hawazii kushinda mechi moja.
Unawaza utokwe jasho ili umfunge Luton Arsenal anawaza anapataje CL na ligi.
Kama hauna stori zaidi ya kutuonyesha timu yako iko hovyo kaa kimya ujifunze
