


Asenyo kubeba Uefa labda baada ya vita kuu ya 3 ya dunia.
Kwanza leo Newcastle tunajambo letu hapohapo maghetoni kwenu, kina Gordon, Joelinton, Almiron na Guimaraes wana hasira sana na nyinyi baada kuwagongo goli moja nyumbani kwao halafu mkasingizia kua refa amewabeba.
Arsenyau wanacheza leo halafu jukwaa lao limepoa kama vile wafiwa wapo kwenye maombolezo ya mpendwa wao.
Ukiona Arsenyo inacheza halafu kina Masingeli na chawa zake
mkorea na
arsenal2004 wamelikimbia jukwaa ujue tayari wameshanusa harafu ya kipigo cha mbwa koko hivyo usijisumbue kwenda kibanda umiza bora uchungulie tu matokea kwenye live score



View attachment 2914781