Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

arteta.. home leg dhidi ya porto ,asimuache nje ya XI mchezaji kama jorginho mana UCL licha ya quality kuamua mechi.. wkt mwingine maturity pia ya wachezaji inachangia kwa kiasi kikubwa.

timu ya arsenal bado haina wachezaji wengi wenye uzoefu mkubwa UCL hasa kwenye hatua ya mechi za mtoano.

NB ;group stage games uchezaji wake ni tofauti na kwenye knockout phase!
 
Arsenyetoz ninyi bado sana ,UEFA sio level zenu
Acheni kujitutumuachelView attachment 2913746

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Kinachonoudhi hapa ni liverpool nimeshuhudia wakibeba mara 2, manyumbu nimewashuhudia mara mbili, chelkenge nao na mancity makombe yote yao ni ya kizazi hiki hiki. Kwa hiyo hamu ya kuona arsenali inanyanyua hii kitu kabla ya kupata wajukuu ni kubwa.
 
Kinachonoudhi hapa ni liverpool nimeshuhudia wakibeba mara 2, manyumbu nimewashuhudia mara mbili, chelkenge nao na mancity makombe yote yao ni ya kizazi hiki hiki. Kwa hiyo hamu ya kuona arsenali inanyanyua hii kitu kabla ya kupata wajukuu ni kubwa.
Asenyo kubeba Uefa labda baada ya vita kuu ya 3 ya dunia.
Kwanza leo Newcastle tunajambo letu hapohapo maghetoni kwenu, kina Gordon, Joelinton, Almiron na Guimaraes wana hasira sana na nyinyi baada kuwagongo goli moja nyumbani kwao halafu mkasingizia kua refa amewabeba.
Arsenyau wanacheza leo halafu jukwaa lao limepoa kama vile wafiwa wapo kwenye maombolezo ya mpendwa wao.
Ukiona Arsenyo inacheza halafu kina Masingeli na chawa zake mkorea na arsenal2004 wamelikimbia jukwaa ujue tayari wameshanusa harafu ya kipigo cha mbwa koko hivyo usijisumbue kwenda kibanda umiza bora uchungulie tu matokea kwenye live score


1708779025626.jpg
 
Asenyo kubeba Uefa labda baada ya vita kuu ya 3 ya dunia.
Kwanza leo Newcastle tunajambo letu hapohapo maghetoni kwenu, kina Gordon, Joelinton, Almiron na Guimaraes wana hasira sana na nyinyi baada kuwagongo goli moja nyumbani kwao halafu mkasingizia kua refa amewabeba.
Arsenyau wanacheza leo halafu jukwaa lao limepoa kama vile wafiwa wapo kwenye maombolezo ya mpendwa wao.
Ukiona Arsenyo inacheza halafu kina Masingeli na chawa zake mkorea na arsenal2004 wamelikimbia jukwaa ujue tayari wameshanusa harafu ya kipigo cha mbwa koko hivyo usijisumbue kwenda kibanda umiza bora uchungulie tu matokea kwenye live score


View attachment 2914781
Nikimbie wakati nilikuwa bize kuangalia namna Baba Ubaya anavyocheza pira makande🤣🤣🤣...Sasa pigeni kambi hmu leo saa Tano usiku tuna jambo letu
 
Newcastle wakichezana sisi hua wanapaki basi na kucheza faulo za hovyo.

Ni kama Porto ya Uingereza.

Nikiangalia kikosi naona Jorginho yupo nafikiri ni attempt ya Arteta kuona ikiwa Jorginho ataweza kuona runs zote ambazo Odegaard hakuzioma siku ile.

Ikiwa hiki kikosi kitatoa majibu chanya naamini ndicho tutakiona tena na Porto.
Ila a fact kwamba anafanya majaribio hii inamaanisha focus haipo kwenye ligi ipo kwenye CL.
 
Voda wana vifurushi bei ila wana network slow vibaya mno.

Na nina 5G
 
Asenyo kubeba Uefa labda baada ya vita kuu ya 3 ya dunia.
Kwanza leo Newcastle tunajambo letu hapohapo maghetoni kwenu, kina Gordon, Joelinton, Almiron na Guimaraes wana hasira sana na nyinyi baada kuwagongo goli moja nyumbani kwao halafu mkasingizia kua refa amewabeba.
Arsenyau wanacheza leo halafu jukwaa lao limepoa kama vile wafiwa wapo kwenye maombolezo ya mpendwa wao.
Ukiona Arsenyo inacheza halafu kina Masingeli na chawa zake mkorea na arsenal2004 wamelikimbia jukwaa ujue tayari wameshanusa harafu ya kipigo cha mbwa koko hivyo usijisumbue kwenda kibanda umiza bora uchungulie tu matokea kwenye live score


View attachment 2914781
Game ya leo WATAPIGWA TU ata refa awe isak,

3+
 
Nikimbie wakati nilikuwa bize kuangalia namna Baba Ubaya anavyocheza pira makande...Sasa pigeni kambi hmu leo saa Tano usiku tuna jambo letu
Ila nilichogundua Masingeli ni plastic fan wa Arsenyau, anaonekana humu timu inapofanya vizuri tu, yaani jamaa ni kama vile anawadangia
Akiona pochi limejaa hakauki humu ila akianza kusikia vi coins vinagongana mfukoni anakula zake kona anashinda kwenye jukwaa la mapishi au jukwaa la urembo.
tapatalk_-1258466040_433x540.jpg
 
Ila nilichogundua Masingeli ni plastic fan wa Arsenyau, anaonekana humu timu inapofanya vizuri tu, yaani jamaa ni kama vile anawadangia
Akiona pochi limejaa hakauki humu ila akianza kusikia vi coins vinagongana mfukoni anakula zake kona anashinda kwenye jukwaa la mapishi au jukwaa la urembo. View attachment 2915239
Mpo vizuri watani zetu
IMG-20240224-WA0004.jpg
 
Back
Top Bottom