mkale
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 1,737
- 1,987
arteta.. home leg dhidi ya porto ,asimuache nje ya XI mchezaji kama jorginho mana UCL licha ya quality kuamua mechi.. wkt mwingine maturity pia ya wachezaji inachangia kwa kiasi kikubwa.
timu ya arsenal bado haina wachezaji wengi wenye uzoefu mkubwa UCL hasa kwenye hatua ya mechi za mtoano.
NB ;group stage games uchezaji wake ni tofauti na kwenye knockout phase!
timu ya arsenal bado haina wachezaji wengi wenye uzoefu mkubwa UCL hasa kwenye hatua ya mechi za mtoano.
NB ;group stage games uchezaji wake ni tofauti na kwenye knockout phase!



