Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wazee wa False hopes kwenye ubora wao.
Mmeshindwa kuwin msimu uliopita wakati mmeongoza ligi kwa siku 258 ndio mje kuwin msimu huu?

Mmeshindwa kuwin msimu ulioisha kipindi ambacho Chelsea, Liverpool, Man Utd wanachechemea huku City ikiwa tiamaji tiamaji ndio mje kuwin msimu huu Liver na City gari limewaka?

Mmeshindwa kuwin msimu ulioisha wakati zimebaki mechi 8 kumalizika ligi nyinyi mnaongoza kwa points 8 mbele ya City alie nafasi ya pili, halafu imebaki mechi moja ligi kuisha City anaongoza kwa points 8 mbele yenu ndio mje mshinde msimu huu ambao kati anaeshika nafasi ya kwanza na wapili hakutakua na gape zaidi points 3?

Kweli nimeamini kua shabiki tu wa Arsenyau tayari unakua comedian by nature, ndugu yangu Masingeli kwa kutambua IQ yenu amewaambia muanze tu kushangilia kabisa maana Uefa msimu huu tayari ni mali halali ya AsenyoView attachment 2909999
Asenyetoz ni comedians

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Wazee wa False hopes kwenye ubora wao.
Mmeshindwa kuwin msimu uliopita wakati mmeongoza ligi kwa siku 258 ndio mje kuwin msimu huu?

Mmeshindwa kuwin msimu ulioisha kipindi ambacho Chelsea, Liverpool, Man Utd wanachechemea huku City ikiwa tiamaji tiamaji ndio mje kuwin msimu huu Liver na City gari limewaka?

Mmeshindwa kuwin msimu ulioisha wakati zimebaki mechi 8 kumalizika ligi nyinyi mnaongoza kwa points 8 mbele ya City alie nafasi ya pili, halafu imebaki mechi moja ligi kuisha City anaongoza kwa points 8 mbele yenu ndio mje mshinde msimu huu ambao kati anaeshika nafasi ya kwanza na wapili hakutakua na gape zaidi points 3?

Kweli nimeamini kua shabiki tu wa Arsenyau tayari unakua comedian by nature, ndugu yangu Masingeli kwa kutambua IQ yenu amewaambia muanze tu kushangilia kabisa maana Uefa msimu huu tayari ni mali halali ya AsenyoView attachment 2909999
Hawa pimbi ndio wanakwambia mlete Madrid tumchakaze tube Ndoo ya uefa

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Porto wanatupress kwa nguvu tukiwa kwetu expecting tutafanya errors.

Timu inahitajia kua composed na kuscore ili kuwafanya waache hii tabia
Mashabiki wa asenyetoz huwa mna mkkwara utadhani mnaa kikosi cha kutisha cha magalacticos kumbe kikundi cha waigizaji wa futuhi

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Tunapaswa kujitahidi kushinda mechi ijayo tumtoe Porto. Arteta aelewe kuwa huku bongo hali si shwari kwetu mashabiki tukifungwa. Nyigu kibao wanatushambulia. Bora tushinde sisi tupige domo kuliko kupigwa na kusikilizia mashambulizi ya kina Saint Anne na Flano . Zinaudhi hizi kima acha kabisa
Hizi nyumbu na liverpunda dawa yao inachemka
 
Tunapaswa kujitahidi kushinda mechi ijayo tumtoe Porto. Arteta aelewe kuwa huku bongo hali si shwari kwetu mashabiki tukifungwa. Nyigu kibao wanatushambulia. Bora tushinde sisi tupige domo kuliko kupigwa na kusikilizia mashambulizi ya kina Saint Anne na Flano . Zinaudhi hizi kima acha kabisa
Alafu sasa nyie mashabiki wa Arsenyeto ndio wenye domo zaidi kuliko mashabiki wote duniani
 
Alafu sasa nyie mashabiki wa Arsenyeto ndio wenye domo zaidi kuliko mashabiki wote duniani
😀😀😀 Haujakosea mkuu. Unaona kabisa tuko katika 'kutesa kwa zamu na hii ni zamu yetu' mode. Miaka ya nyuma tulikuwa wanyonge sana na tuliteswa sana na maneno ya wengine. Ila sasa tumeanza kuona ka nuru kidogo, nasie tunawakera wenzetu. 😁😁
 
😀😀😀 Haujakosea mkuu. Unaona kabisa tuko katika 'kutesa kwa zamu na hii ni zamu yetu' mode. Miaka ya nyuma tulikuwa wanyonge sana na tuliteswa sana na maneno ya wengine. Ila sasa tumeanza kuona ka nuru kidogo, nasie tunawakera wenzetu. 😁😁
OLE GUNNER SOLSKJAER alipokuwa united alishika 2nd EPL na finalist kibao aliingia, tulikuwa tunashinda mpaka 9:1 EPL, 6:0 huko UEFA bado comeback za kibabe dhidi ya giants, man city, liverpool, arsenal, Chelsea wote tulikuwa tunawafunga vizuri,
Lkn yako wapi??


Polite reminder ARTETA ni muhuni kama wahuni wengine, sema nyie mlioko ndani hamuwezi kujua hili, wa nje tunaona kwa akili, nyie mnaona kwa hisia.

Nyie bado sana

Kushinda EPL, UEFA au finalist wa michuano mikubwa
Sema nyani haoni kundule

Chelsea na man United zitakaa sawa kabla yenu na zitashinda makombe makubwa kabla yenu.
Title contenfer, Overload, aerial duo won bila KOMBE ni takataka tu.

Weka hisia pembeni, tumia akili
Then utajua nyie bado sana

Odergaad ni bora kuliko KDB= hizi zilikuw ni hisia ukitumia akili huwez andika hii takataka
 
Unataka kutuaminisha nini kaka,
Binafsi sipendi itokee ila arteta na michuano ya ulaya ni mafuta na maji....bado inamsumbua sana.
Jana kazidiwa na hizi wiki mbili kabla marudio asipo kuwa kajifunza kitu matokeo atakayopata hayatavuka hapa 1-0,1-1,2-1....
Kwan Arteta ameshiriki mara ngapi hiyo michuano ya ulaya mpaka useme ni mafuta na maji?
 
Kale kagoli kamoja kanawadanganya watu....Second leg tunawafunga kirahisi tu wale....watakuja kupaki basi na hyo dawa tunayo...sasa hv mambo ya goli la ugenini hakuna....kwahyo wasahau kututoa
Ndio unavyojidanganya si ndio ?
Unadhani Porto ni Sheffield au Burnley au sio ?
Ile ni uefa na sio kombe la cha ndimu au ligi , hizo False hopes zenu futa kabisa
Mtagongwa na kuchakaa na hamtaamini

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Arsenyetoz ninyi bado sana ,UEFA sio level zenu
Acheni kujitutumua
Screenshot_20240223-205335.jpg


Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom