Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Ninyi bado underdog kwenye uefa
 
Ngoja tukusaidie kutag🔥😂
 
wapi mkorea
ili jukwaa ni la comedy sana inabidi wasafi iwe inakuja kuchukua vipaji hapa kuvipeleka kwenye cheka tu.
 
Nikikumbuka wakati pinga pinga fans niliposema Porto anaweza kutuletea matatizo wakawa wanakuja na maelezo ya mambo ya system ya uchezaji huku wanabisha kuwa timu tishio UCL ni Real Madrid and Manchester City naishia kucheka tu anyway we still have 90 minutes pale Emirates za kucheza sema Arsenal ataingia na presha ya kutaka results na Porto atakuwa anacheza counter attack sijui itakuwaje?but lazima game tuiangalie COYG!

La kuongeza ni kuwa kuna fan alisema Odegaard kwake ni bora kuliko KDB nataka kumwambia kuwa game kama hizi za Champions league (big games)ndizo zinaoneshaga who is who
 
Pingapinga akina Mkorea wanakwambia tunashinda tu
Walevi wa matokeo
 
Ndio maana tunawaita FALSE HOPES F.C
Hapa unaonyesha ni jinsi gani nyinyi KONDOO ni VICHWA VYA PANZI. Msimu ulopita na SPORTING LISBON mshasahau kabisa.

Porto anaweza kuja kwenu hapo, na kufanya defensive work kama ya first hapa, na shughuli ikaishia hapo.
 
Kwa nilichoona jana

Brighton
Westham
Liva
City

Zote zikicheza kama Porto alivyocheza zinaweza kuchukua points.

Against Liva au City hua wanaacha beki wawili nyuma wakiwa wanapiga kona au set piece yoyote. Porto alikua anaacha wanne na kiungo mmoja. Hupigi counter.

Saka anakutana na beki anamkaba traditional na nyuma ya huyo beki kuna mabeki wawili huku kiungo anakuja kucommit na pressing.

Mbele haendi akitoa sidewaypasi yule kiungo kafika.

Sasa Porto aliamua kupaki basi, kumsusia mpira ili afunguke ngumu ana watu wana pace si mchezo. Jorginho kwakua anagawa mipira vizuri ilibidi aingie mapema, Trossard asitoke, Jorginho afocus na kusambaza mipira ulinzi afanye Rice.

I honestly think walichotuzidi Porto ni nidhamu ya defense, roho mbaya, kumdanganya refa and then basi. That's it
 
La kuongeza ni kuwa kuna fan alisema Odegaard kwake ni bora kuliko KDB nataka kumwambia kuwa game kama hizi za Champions league (big games)ndizo zinaoneshaga who is who
KDB yupo kwenye level nyingine, kuna vitu inabidi uweke ushabiki pembeni ili uone uhalisia wa vitu. Siyo Bruno wala Ø anafikia uwezo alionao KDB.
 
Vijana wangu mlioanza kushabikia arsenal miaka ya 2010s msiache kuwa mnasoma hii post. Itakuwa inawasaidia from time to time.

Aina yetu ya mpira kamwe hatuwezi kubeba makombe makubwa. Kaeni chini msikilize tunachowaambia maana tumeshabikia arsenal kwa karibu miaka 30 sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…