mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,225
Wewe mwenyewe hayo maneno uliyoyaandika unayaamini,?Porto wanawatoa amini maneno yangu.
Wewe mwenyewe hayo maneno uliyoyaandika unayaamini,?Porto wanawatoa amini maneno yangu.
Msimu huu matatizo yamejitokeza randomly. Tutumaini kuwa yamepita na sasa ni muda wa mema tuMatatizo yetu uwa yanajitokeza March- April, if we survive that period (pasiwepo na majeruhi au red card) tutapambana
Wahesabu maumivu....kipindi cha kumuuza kilikuwa January...kama umepita huo mda wasahau...nachoona sasahv timu inqyojengwa kule nyuma wanakaa watu wte futi 6 kwnda juu na wenye physique hasa....Sasa kumuuza ni ngumu...Zinchenko ana kazi ya kufanya akirudi...the guy is too soft linapokuja suala la ku defendKiwior kuna timu kadhaa Italia na hispania wanamtaka sana
Raha ya Kiwior hakuna aliyejua tunamtaka. Kabla Boehly hajavamia mtu keshatinga jezi ya Ze Gunners.Kiwior kuna timu kadhaa Italia na hispania wanamtaka sana
Exactly.Mkuu uefa ni michezo ya mkakati na bahati pia. Tukulie uefa kwa Porto tuna mkanda 5, hii ndio standard yetu kwa Sasa
Kwaio wakija home hatutawekeza nguvu kubwa, Hadi robo huko
Robo tubahatike kukutana na city, Madrid, Bayern au Barca ili kazi iwe nyepesi
Nusu final then Final yenyewe.
Ni kuweka mikakati sawa tu, huku upande wa uefa
Ligi ni marathon, huku ndio kazi ipo
Uefa tuwekeze nguvu 40%, tunaanza na Porto. Hii tumeshafudhu hapa
Ligi tuweke nguvu 60%
Siyo wabaya ila sidhani kama Arsenal inatakiwa kuogopaPorto wanawatoa amini maneno yangu.
Mmegundua haya yote yamekuja baada ya Saka kuacha ule utumbo wa nywele?
Mtaamini ninachosema kila siku?
Bado ana hitajika, sometimes Hawa viumbe Wana lose confidenceNi kweli bado tunahitaji straiker ama yalikuwa yanahitajika mabadiliko kidogo tu ya kiuchezaji?
View attachment 2907869
Sema njia ya sir GOD ni ya ajabu, mudryk njia ilikua nyeupe kuja arsenal.Porto huko walipo wanajiuliza watawazuia vipi saka, martianeli, Kai na odegard?
Na kinachowaumiza zaidi watatoboa vipi ukuta wa arsenal?
View attachment 2908062
Imedhaminiwa na umoja wa Nyumbu na Kenge
Mudryk ni mchezaji mzuri Sana, tatizo yupo wrong place. Kitu ambacho Kenge hawawezi kukubaliSema njia ya sir GOD ni ya ajabu, mudryk njia ilikua nyeupe kuja arsenal.
Sasa hivi trosard ana heshima kubwa Sana.

Binafsi namkubali zaidi trosard, Ni zaidi ya striker.(false 9).Mudryk ni mchezaji mzuri Sana, tatizo yupo wrong place. Kitu ambacho Kenge hawawezi kukubali
Mudryk anatamani muda urudi nyuma afanye maamuzi na upya
Ilikua simple tu, hamniuzi kwenda arsenal Basi nitaondoka as free agent
Pale ukengeni Kuna wachezaji wengi watu wataenda kujibeba kwa Bei ya boss kalewa![]()
😀😀😀 kwa hiyo tano ndo standard yetu kwa sasa? 😄😄😄Mkuu uefa ni michezo ya mkakati na bahati pia. Tukulie uefa kwa Porto tuna mkanda 5, hii ndio standard yetu kwa Sasa
Kwaio wakija home hatutawekeza nguvu kubwa, Hadi robo huko
Robo tubahatike kukutana na city, Madrid, Bayern au Barca ili kazi iwe nyepesi
Nusu final then Final yenyewe.
Ni kuweka mikakati sawa tu, huku upande wa uefa
Ligi ni marathon, huku ndio kazi ipo
Uefa tuwekeze nguvu 40%, tunaanza na Porto. Hii tumeshafudhu hapa
Ligi tuweke nguvu 60%
Yes napenda Sana akicheza false 9, ata hamis77 ameliona hili utulivu wakeBinafsi namkubali zaidi trosard, Ni zaidi ya striker.(false 9).
Goli ana lijua, hata style ya magoli yake ni nzuri.
Yaani tukishinda goli 3 kushuka chini inabidi tuwaombe radhi wahudhuriaji maana sio kawaida yetu🤠🤠😀😀😀 kwa hiyo tano ndo standard yetu kwa sasa? 😄😄😄
HahahahaMmegundua haya yote yamekuja baada ya Saka kuacha ule utumbo wa nywele?
Mtaamini ninachosema kila siku?
InawezekanaMmegundua haya yote yamekuja baada ya Saka kuacha ule utumbo wa nywele?
Mtaamini ninachosema kila siku?