Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kiwior kuna timu kadhaa Italia na hispania wanamtaka sana
Raha ya Kiwior hakuna aliyejua tunamtaka. Kabla Boehly hajavamia mtu keshatinga jezi ya Ze Gunners.

Naomba tuendelee kuwa na signings za namna hii ambazo hakuna anayejua halafu zilete matunda. Kama ilivyokuwa kwa Tomiyasu.
 
Mkuu uefa ni michezo ya mkakati na bahati pia. Tukulie uefa kwa Porto tuna mkanda 5, hii ndio standard yetu kwa Sasa
Kwaio wakija home hatutawekeza nguvu kubwa, Hadi robo huko
Robo tubahatike kukutana na city, Madrid, Bayern au Barca ili kazi iwe nyepesi
Nusu final then Final yenyewe.
Ni kuweka mikakati sawa tu, huku upande wa uefa

Ligi ni marathon, huku ndio kazi ipo

Uefa tuwekeze nguvu 40%, tunaanza na Porto. Hii tumeshafudhu hapa

Ligi tuweke nguvu 60%
Exactly.

Michuano ya muda mfupi bahati ina mkono wake
 

Attachments

  • IMG-20240218-WA0040.jpg
    IMG-20240218-WA0040.jpg
    32.6 KB · Views: 19
Porto huko walipo wanajiuliza watawazuia vipi saka, martianeli, Kai na odegard?

Na kinachowaumiza zaidi watatoboa vipi ukuta wa arsenal?
View attachment 2908062

Imedhaminiwa na umoja wa Nyumbu na Kenge
Sema njia ya sir GOD ni ya ajabu, mudryk njia ilikua nyeupe kuja arsenal.
👉Sasa hivi trosard ana heshima kubwa Sana.
 
Sema njia ya sir GOD ni ya ajabu, mudryk njia ilikua nyeupe kuja arsenal.
[emoji117]Sasa hivi trosard ana heshima kubwa Sana.
Mudryk ni mchezaji mzuri Sana, tatizo yupo wrong place. Kitu ambacho Kenge hawawezi kukubali

Mudryk anatamani muda urudi nyuma afanye maamuzi na upya
Ilikua simple tu, hamniuzi kwenda arsenal Basi nitaondoka as free agent

Pale ukengeni Kuna wachezaji wengi watu wataenda kujibeba kwa Bei ya boss kalewa[emoji1]
 
Mudryk ni mchezaji mzuri Sana, tatizo yupo wrong place. Kitu ambacho Kenge hawawezi kukubali

Mudryk anatamani muda urudi nyuma afanye maamuzi na upya
Ilikua simple tu, hamniuzi kwenda arsenal Basi nitaondoka as free agent

Pale ukengeni Kuna wachezaji wengi watu wataenda kujibeba kwa Bei ya boss kalewa[emoji1]
Binafsi namkubali zaidi trosard, Ni zaidi ya striker.(false 9).
👉Goli ana lijua, hata style ya magoli yake ni nzuri.
 
Mkuu uefa ni michezo ya mkakati na bahati pia. Tukulie uefa kwa Porto tuna mkanda 5, hii ndio standard yetu kwa Sasa
Kwaio wakija home hatutawekeza nguvu kubwa, Hadi robo huko
Robo tubahatike kukutana na city, Madrid, Bayern au Barca ili kazi iwe nyepesi
Nusu final then Final yenyewe.
Ni kuweka mikakati sawa tu, huku upande wa uefa

Ligi ni marathon, huku ndio kazi ipo

Uefa tuwekeze nguvu 40%, tunaanza na Porto. Hii tumeshafudhu hapa

Ligi tuweke nguvu 60%
😀😀😀 kwa hiyo tano ndo standard yetu kwa sasa? 😄😄😄
 
Binafsi namkubali zaidi trosard, Ni zaidi ya striker.(false 9).
[emoji117]Goli ana lijua, hata style ya magoli yake ni nzuri.
Yes napenda Sana akicheza false 9, ata hamis77 ameliona hili utulivu wake

Ila winger ya kukimbiza, beki zisipande au ukipigwa counter attack Hadi dakika hii tunae martinel.
Hapo ilibidi tumpate mudryk Kama sub ya martinel
 
KDB alichomzidi Odegard ni uzoefu TU, ndo mana nasema miaka kama 4 ijayo, wakati Odegard atakapokuwa mzoefu kama KDB, ukiwalinganisha KDB atakuwa kaachwa mbali sana

Odegard ana vitu vingi kamzidi KDB. KDB alikuwa anafanya nini katika umri wa Odegard. Kumbuka Odegard anagombaniwa na Madrid kipindi hata miaka 15 sijui kama alifikisha.

Sioni anachosifiwa KDB, Odegard ashindwe kufanya, ila Kuna vitu Odegard anafanya KDB hawezi kufanya, mnaishia kusema modern footballer hautakiwi uwe na mambo mengi
Kweli apendaye chongo huita kengeza
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hii sasa ndio ile kwenye bible inaitwa kula kwa jasho wakati ndugu zetu Asenyo wenyewe ikitimia miezi 9 ya ligi huwa wanazaa kwa uchungu.
1708281216814.jpg
 
Hii marathon ya ubingwa ni ya mtu che,

After 5 games Kuna uwezekano, klop akatema bungo,

Pep msimu huu yupo vibaya mno msimu huu, tatizo lake ni mbishi sana.

Kuna uwezekano mkubwa nyumbu wakitupigia makofi. Yani mchezo miwili kabla ya kumaliza ligi NDOO itakua imetua EmiratesView attachment 2907967
Hapo Arse8 anaweza kukata moto mechi 5 mfululizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom