Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yule dogo Cozier Dubery kapelekwa wapi siku hizi??
Saka anahitaji mapumziko ili tupate potential tuliyomzoea
 
Aisee kwahiyo leo unaona ile ni performance ya kuifurahia. Tumeshinda na hilo ni jambo zuri lakini bado tuko dhaifu sana kwenye kutumia nafasi.

Kama arsenal ingekuwa ile ya hatari sasa hivi tulitakiwa tuwe point 15 tukiongoza ligi. Mnafurahia mediocre team. Bado safari ni ndefu sana.
Arsenal ya hatari ni ipi hiyo?! Hata chelsea/Man U ingekua ile ya hatari ingekuwaje?
 
Wajuaji wengi sana ,mtu analaumu Kai ,wakati Kai Leo kawanyanyasa sana VVD NA KONATE , KONATE kala umeme Kwa sababu ya Kai ,

Kai kawin mipira mingi sana ya juu ,

Siku hizi nimepunguza kuja humu nabishana bori na kina ambangile ,
Na ukiangalia wote wanao laumu Flano ka like post zao! Flano akilike post yako lazima urudie kuisoma tena na ufirie kwa kina. Mtu anamlaumu kocha wakati mpira unaendelea, tunashinda anaanza kumlaumu Partey. Inabidi ucheke.
 
In my side naona draw vs City Etihad kwetu ni ushindi sababu bado magiant hawajakutana for example Manchester City anaenda Anfield,Liverpool anaenda Old Trafford so anything can happen
Pale Old Trafford wewe ukiona unahitaji points 3, nenda tu pale ukajichukulie. Wanazigawa pale kama biskuti za mabasi ya kaskazini.
 
Jurgen Klopp kakubali walizidiwa

: “Arsenal deserve the three points, there is no doubt about that. They scored three and we had one shot on target, so that's obviously the one stat that shows the most.View attachment 2894695
Vijana wako vizuri,kikosi cha Arsenal sasa hivi kinatisha,ila yale masihara yao ya kucheza pasi golini kwao huwa siyapendi sana...
 


Takehiro Tomiyasu has now agreed to sign a new contract at the Emirates Stadium. The agreement is now in place, everything is ready, and an announcement is imminent.
It’s just time to complete the paperwork, but Tomiyasu is going to be the next important player to sign a new deal at Arsenal, following on from others like Martin Odegaard, Bukayo Saka and William Saliba in recent months.

(@FabrizioRomano )
 


Takehiro Tomiyasu has now agreed to sign a new contract at the Emirates Stadium. The agreement is now in place, everything is ready, and an announcement is imminent.
It’s just time to complete the paperwork, but Tomiyasu is going to be the next important player to sign a new deal at Arsenal, following on from others like Martin Odegaard, Bukayo Saka and William Saliba in recent months.

(@FabrizioRomano )
kumbe upo
 
Kukosekana kwa jesus arteta amekuwa sahihi kumpanga Kai . Kwa sababu hakuna mchezaji mwingine yoyote angeeeza ku battle na kina Van .. kwenye mipira yote ya juu
Na hii ina expose weakness ya Arteta, kwahiyo 65M kwa ajili ya kushinda mipira ya hewani tu?

Trossard kaingia na instant impact, ni mara Mia LCM achieve Zinchenko huko LB achieve Kiwior. Huyu Havertz is bullshit.
 
Joginho ni holding mzuri Sana

Rice na joginho wapo dimba la chini. Hapo kiungo kinakua solid sana

Dimba la juu yupo odegard
Domination of midfielders,
lazima uwaweke joginho na Rice

Accelerated wings
Saka na martinel, hakuna timu inapenda iwakute wapo form

Sasa hivi Nina kazi ya kushabikia na kazi ya kufundisha soka
 
Back
Top Bottom