ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,782
- 36,015
Nyie jamaa mpewe timu mfundisheKocha wa kulaumiwa ndio, sasa Trossard ni wazi ana winning mentality unamuacha bench alafu unaenda muanzisha havertz unatarajia nini?
Arteta is killing the team kwa ujuaji mwingi.
Kuna na hawa wengine 👇Nyie jamaa mpewe timu mfundishe
Jorginho huwa anastuck sasa kwa kasi ya liverpool lazima tulie. Huyo Odegaard umewahi kumuona lini akifanya cha maana kwenye mechi kubwa?
Mnasahau Arteta ndio anakaa nao, anakaa mpaka na familia zao. Tupunguze ujuaji Arsenal fans!Sijajua kocha ana mpango gani, ila confidence yangu ya game imepungua baada ya kuiona hii starting lineup. Wacha niangalie match, huenda kocha ataniprove wrong kwenye kile nnahisi kinaweza kutupata.
Vijana hamjawahi kuziona glorious days za arsenal ndio maana mnafurahia mediocrity. Leo tumeshinda kwasababu liverpool wamekuwa na siku mbaya.Ukisoma wanachoandika mashabiki wa Arsenal unabaki unacheka tu. Sina uhakika kama ni mashaniki kweli au mamluki tu wanajidai mashabiki?! Tukishinda kimya hata kufurahi wanashindwa! Mashabiki viazi.
Dah kaka humu wajuaji wengi sana aisee ,Kuna na hawa wengine
Mnasahau Arteta ndio anakaa nao, anakaa mpaka na familia zao. Tupunguze ujuaji Arsenal fans!
Kwan kusema ukweli au kutoa maoni na ushabiki vinahusian vipi nliyoeleza hujayaonaUnajiskia sasa hivi huko uliko..
Wewe ni Arsenal fan kweli?
Aisee kwahiyo leo unaona ile ni performance ya kuifurahia. Tumeshinda na hilo ni jambo zuri lakini bado tuko dhaifu sana kwenye kutumia nafasi.Kuna na hawa wengine 👇
Mnasahau Arteta ndio anakaa nao, anakaa mpaka na familia zao. Tupunguze ujuaji Arsenal fans!
Wajuaji wengi sana ,mtu analaumu Kai ,wakati Kai Leo kawanyanyasa sana VVD NA KONATE , KONATE kala umeme Kwa sababu ya Kai ,Ukisoma wanachoandika mashabiki wa Arsenal unabaki unacheka tu. Sina uhakika kama ni mashaniki kweli au mamluki tu wanajidai mashabiki?! Tukishinda kimya hata kufurahi wanashindwa! Mashabiki viazi.
Masingeli usilitelekeze sana hili jukwaa, bila uwepo wako aiseee humu ndani kunakosa hata mvuto kwa kweli, ingawa hua tunakupondea ile kiushabiki lakini unamchango mkubwa sana katika kuleta uhai kwenye majukwaa yote ya sports humu JF.Nipo sana Twitter ,huku wajuaji wengi
Kuna Fans humu utadhani ni Makocha wenye uzoefu wa kufundisha Mpira wa kiwango cha Wenger. Full ujuajiKuna na hawa wengine
Mnasahau Arteta ndio anakaa nao, anakaa mpaka na familia zao. Tupunguze ujuaji Arsenal fans!
Kwahiyo kwa hii misimu miwili kila Liver akikutana na Arsenal ndo anakuwa na siku mbaya? Huu ni msimu wa pili Liverpool hajapata matokeo ya ushindi dhidi ya Arsenal. Je tuendelee kuamini maneno yako kwamba liver alikuwa na siku mbaya????Vijana hamjawahi kuziona glorious days za arsenal ndio maana mnafurahia mediocrity. Leo tumeshinda kwasababu liverpool wamekuwa na siku mbaya.
Kama arsenal yetu ile iliyokuwa lethal leo mpaka half time tulipaswa kuwa na goli nne. Liverpool wangekuwa kwenye fomu tungeumizwa leo.
Hawakuwa kwenye form kwa kuwa walizidiwa. Jua hilo pia. Wengine tuna miaka 60 siyo wote ni Vijana.Vijana hamjawahi kuziona glorious days za arsenal ndio maana mnafurahia mediocrity. Leo tumeshinda kwasababu liverpool wamekuwa na siku mbaya.
Kama arsenal yetu ile iliyokuwa lethal leo mpaka half time tulipaswa kuwa na goli nne. Liverpool wangekuwa kwenye fomu tungeumizwa leo.