Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie jamaa mpewe timu mfundishe
Kuna na hawa wengine 👇
Jorginho huwa anastuck sasa kwa kasi ya liverpool lazima tulie. Huyo Odegaard umewahi kumuona lini akifanya cha maana kwenye mechi kubwa?
Sijajua kocha ana mpango gani, ila confidence yangu ya game imepungua baada ya kuiona hii starting lineup. Wacha niangalie match, huenda kocha ataniprove wrong kwenye kile nnahisi kinaweza kutupata.
Mnasahau Arteta ndio anakaa nao, anakaa mpaka na familia zao. Tupunguze ujuaji Arsenal fans!
 
Leo Jorginho kaubonda!
IMG_20240204_224133_710.jpg
 
Ukisoma wanachoandika mashabiki wa Arsenal unabaki unacheka tu. Sina uhakika kama ni mashaniki kweli au mamluki tu wanajidai mashabiki?! Tukishinda kimya hata kufurahi wanashindwa! Mashabiki viazi.
Vijana hamjawahi kuziona glorious days za arsenal ndio maana mnafurahia mediocrity. Leo tumeshinda kwasababu liverpool wamekuwa na siku mbaya.

Kama arsenal yetu ile iliyokuwa lethal leo mpaka half time tulipaswa kuwa na goli nne. Liverpool wangekuwa kwenye fomu tungeumizwa leo.
 
Hii mechi tungeshinda from the beginning ningeona tumeimarika lakini naona bado kuna umbugilambugila wa kuridhika na kujisahau ambao unaweza kutugharimu hata kujikuta kuwa nje ya top4 msimu huu sabb timu zote alama zinakarbiana ukipoteza mechi2 tu unajikuta nafasi ya 5...tar14 dhidi ya city
#Coyg
 
Kuna na hawa wengine 👇


Mnasahau Arteta ndio anakaa nao, anakaa mpaka na familia zao. Tupunguze ujuaji Arsenal fans!
Aisee kwahiyo leo unaona ile ni performance ya kuifurahia. Tumeshinda na hilo ni jambo zuri lakini bado tuko dhaifu sana kwenye kutumia nafasi.

Kama arsenal ingekuwa ile ya hatari sasa hivi tulitakiwa tuwe point 15 tukiongoza ligi. Mnafurahia mediocre team. Bado safari ni ndefu sana.
 
Ukisoma wanachoandika mashabiki wa Arsenal unabaki unacheka tu. Sina uhakika kama ni mashaniki kweli au mamluki tu wanajidai mashabiki?! Tukishinda kimya hata kufurahi wanashindwa! Mashabiki viazi.
Wajuaji wengi sana ,mtu analaumu Kai ,wakati Kai Leo kawanyanyasa sana VVD NA KONATE , KONATE kala umeme Kwa sababu ya Kai ,

Kai kawin mipira mingi sana ya juu ,

Siku hizi nimepunguza kuja humu nabishana bori na kina ambangile ,
 
Napenda kuona good comments kuhusu Kai Havertz, muda unaendelea kutujibu.

Anasifiwa humu ,

Njoo JF Sasa ,unajiuliza nilikuwa naangalia mpira tofaut

#YaGunnersYa
Screenshot_20240204-230818.jpg
 
Nipo sana Twitter ,huku wajuaji wengi
Masingeli usilitelekeze sana hili jukwaa, bila uwepo wako aiseee humu ndani kunakosa hata mvuto kwa kweli, ingawa hua tunakupondea ile kiushabiki lakini unamchango mkubwa sana katika kuleta uhai kwenye majukwaa yote ya sports humu JF.
Usione tabu kuja na kule kwetu unyumbuni ukawapopoe kina 7eggs na Masebene wake.
Naona ndugu yako Sancho anaubonda kwelikweli huko ujerumani.
 
Kuna watu wamekalili maisha. Arsenal akishinda, utasikia timu pinzani hakuwa kwenye form, hawataki kukubali Arteta Kwa tactics zake kasababisha timu pinzani ionrkane ya kawaida.

Wengine timu ikikosa magoli wanamlaumu Arteta, sasa unataka Arteta awe anaingia uwanjani akafunge mwenyewe au??

Arsenal tumetoka mbali, trust the process, usikalili maisha.
 
Vijana hamjawahi kuziona glorious days za arsenal ndio maana mnafurahia mediocrity. Leo tumeshinda kwasababu liverpool wamekuwa na siku mbaya.

Kama arsenal yetu ile iliyokuwa lethal leo mpaka half time tulipaswa kuwa na goli nne. Liverpool wangekuwa kwenye fomu tungeumizwa leo.
Kwahiyo kwa hii misimu miwili kila Liver akikutana na Arsenal ndo anakuwa na siku mbaya? Huu ni msimu wa pili Liverpool hajapata matokeo ya ushindi dhidi ya Arsenal. Je tuendelee kuamini maneno yako kwamba liver alikuwa na siku mbaya????
 
Vijana hamjawahi kuziona glorious days za arsenal ndio maana mnafurahia mediocrity. Leo tumeshinda kwasababu liverpool wamekuwa na siku mbaya.

Kama arsenal yetu ile iliyokuwa lethal leo mpaka half time tulipaswa kuwa na goli nne. Liverpool wangekuwa kwenye fomu tungeumizwa leo.
Hawakuwa kwenye form kwa kuwa walizidiwa. Jua hilo pia. Wengine tuna miaka 60 siyo wote ni Vijana.
 
Back
Top Bottom