Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Denied penalty and we still did it

Kahesabu on target za liva

Nipo hapa nasubiri
 
With this victory it also means City inatakiwa tumfunge
Story ya leo ni fupi sana....zikqongezwa dk 7....wale jamaa wakafurahia🤠🤠🤠...walichokutana nacho Sasa🤠🤠...hii ligi naona kabisa City watatunyanyasa tena....majeruhi yanatu cost sana....tungekuwa na kikosi chetu chte hakyanani mwaka huu tulikuwa tunalibeba kombe....Partey anatukosea sana...Timber naye daaahh...Jesus Moloko naye trip shamba trip gereji....inasikitisha sana
 
Ukisoma wanachoandika mashabiki wa Arsenal unabaki unacheka tu. Sina uhakika kama ni mashaniki kweli au mamluki tu wanajidai mashabiki?! Tukishinda kimya hata kufurahi wanashindwa! Mashabiki viazi.
Mtusamehe majurani...hatujakulipizieni zile goli 4 wakuu....kwa minafasi tulokosa walikuwa wanakula kono la nyani Hawa walevi wa Anfield🤠🤠
 
With this victory it also means City inatakiwa tumfunge
In my side naona draw vs City Etihad kwetu ni ushindi sababu bado magiant hawajakutana for example Manchester City anaenda Anfield,Liverpool anaenda Old Trafford so anything can happen
 
Story ya leo ni fupi sana....zikqongezwa dk 7....wale jamaa wakafurahia...walichokutana nacho Sasa...hii ligi naona kabisa City watatunyanyasa tena....majeruhi yanatu cost sana....tungekuwa na kikosi chetu chte hakyanani mwaka huu tulikuwa tunalibeba kombe....Partey anatukosea sana...Timber naye daaahh...Jesus Moloko naye trip shamba trip gereji....inasikitisha sana
Partey na Jesus wameifanya Arsenal awe anagombania 2nd and 3rd position wangekuwa hawaipendi hospital tungekuwa 1st position muda huu
 
Inaboa sana aseee tunashindwa kuscore magoli mepesi tunaruhusu magoli mepesi hili ni tatizo la kukosa wachezaji wenye mentality ya ushindani huwezi mlaumu COACH hapo

Mfano yellow card ya benwhite niyakujitakia tu jitu linarusha mpira baada ya dakika1 kuanzsha faulu anataka analize dk1

TUNAHITAJI WACHEZAJI WENYE MENTALITY YA KUSHINDA MATAJI MAKUBWA NA WAO KUWA WACHEZAJI WAKUBWA
Unajiskia sasa hivi huko uliko..

Wewe ni Arsenal fan kweli?
 
Story ya leo ni fupi sana....zikqongezwa dk 7....wale jamaa wakafurahia🤠🤠🤠...walichokutana nacho Sasa🤠🤠...hii ligi naona kabisa City watatunyanyasa tena....majeruhi yanatu cost sana....tungekuwa na kikosi chetu chte hakyanani mwaka huu tulikuwa tunalibeba kombe....Partey anatukosea sana...Timber naye daaahh...Jesus Moloko naye trip shamba trip gereji....inasikitisha sana
Partey inabidi tumuuze ili asiondoke bure
 
Mmejiaandaje kwa kichapo nyie arse8?
Saint Anne wera au 🤣😆
FB_IMG_17070711765297475.jpg
 
Back
Top Bottom