Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
kumfunga city Anfield ni jambo jepesi sana. ingekuwa Etihad haiwezekani.If we beat City we win the league.
kumfunga city Anfield ni jambo jepesi sana. ingekuwa Etihad haiwezekani.If we beat City we win the league.
Ili kushinda kombe lazima tutumie tough way ya kupiga viongozi wote ..With this victory it also means City inatakiwa tumfunge
Story ya leo ni fupi sana....zikqongezwa dk 7....wale jamaa wakafurahia🤠🤠🤠...walichokutana nacho Sasa🤠🤠...hii ligi naona kabisa City watatunyanyasa tena....majeruhi yanatu cost sana....tungekuwa na kikosi chetu chte hakyanani mwaka huu tulikuwa tunalibeba kombe....Partey anatukosea sana...Timber naye daaahh...Jesus Moloko naye trip shamba trip gereji....inasikitisha sanaWith this victory it also means City inatakiwa tumfunge
Mtusamehe majurani...hatujakulipizieni zile goli 4 wakuu....kwa minafasi tulokosa walikuwa wanakula kono la nyani Hawa walevi wa Anfield🤠🤠Ukisoma wanachoandika mashabiki wa Arsenal unabaki unacheka tu. Sina uhakika kama ni mashaniki kweli au mamluki tu wanajidai mashabiki?! Tukishinda kimya hata kufurahi wanashindwa! Mashabiki viazi.
In my side naona draw vs City Etihad kwetu ni ushindi sababu bado magiant hawajakutana for example Manchester City anaenda Anfield,Liverpool anaenda Old Trafford so anything can happenWith this victory it also means City inatakiwa tumfunge
Trossard angewaweza kina konate mipira ya juu au..?Kocha wa kulaumiwa ndio, sasa Trossard ni wazi ana winning mentality unamuacha bench alafu unaenda muanzisha havertz unatarajia nini?
Arteta is killing the team kwa ujuaji mwingi.
Partey na Jesus wameifanya Arsenal awe anagombania 2nd and 3rd position wangekuwa hawaipendi hospitalStory ya leo ni fupi sana....zikqongezwa dk 7....wale jamaa wakafurahia...walichokutana nacho Sasa
...hii ligi naona kabisa City watatunyanyasa tena....majeruhi yanatu cost sana....tungekuwa na kikosi chetu chte hakyanani mwaka huu tulikuwa tunalibeba kombe....Partey anatukosea sana...Timber naye daaahh...Jesus Moloko naye trip shamba trip gereji....inasikitisha sana
tungekuwa 1st position muda huuUnajiskia sasa hivi huko uliko..Inaboa sana aseee tunashindwa kuscore magoli mepesi tunaruhusu magoli mepesi hili ni tatizo la kukosa wachezaji wenye mentality ya ushindani huwezi mlaumu COACH hapo
Mfano yellow card ya benwhite niyakujitakia tu jitu linarusha mpira baada ya dakika1 kuanzsha faulu anataka analize dk1
TUNAHITAJI WACHEZAJI WENYE MENTALITY YA KUSHINDA MATAJI MAKUBWA NA WAO KUWA WACHEZAJI WAKUBWA![]()
Kabisa yaani....mpk Sasa tungekuwa tumeshafungua gepu la point za kutosha...inasikitisha kwakwliPartey na Jesus wameifanya Arsenal awe anagombania 2nd and 3rd position wangekuwa hawaipendi hospitaltungekuwa 1st position muda huu
Partey inabidi tumuuze ili asiondoke bureStory ya leo ni fupi sana....zikqongezwa dk 7....wale jamaa wakafurahia🤠🤠🤠...walichokutana nacho Sasa🤠🤠...hii ligi naona kabisa City watatunyanyasa tena....majeruhi yanatu cost sana....tungekuwa na kikosi chetu chte hakyanani mwaka huu tulikuwa tunalibeba kombe....Partey anatukosea sana...Timber naye daaahh...Jesus Moloko naye trip shamba trip gereji....inasikitisha sana
Also mtihani upo kuhakikisha hatufungwi huku wenzetu wanafungwaIn my side naona draw vs City Etihad kwetu ni ushindi sababu bado magiant hawajakutana for example Manchester City anaenda Anfield,Liverpool anaenda Old Trafford so anything can happen
Wametunyanyasa sana hawa vyapombe manina zaoMtusamehe majurani...hatujakulipizieni zile goli 4 wakuu....kwa minafasi tulokosa walikuwa wanakula kono la nyani Hawa walevi wa Anfield![]()
Nijibu nivimbe dadaMmejiaandaje kwa kichapo nyie arse8?
Hello ooo darlin Nunez🤣😆, maana sio darwinBaadaye msikimbie![]()