mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Kai aliimaliza game kwa kusababisha wawe pungufuGame plane klop amezidiwa na Arteta
Kama unafatilia mpira utagundua Arteta ni master plan mzuri Sana
Uhakikaliverpunda anakufa hii game
Sub ya trossad kwa Kai, Leo naona Kai amepoa Sana. Na ndio mtu ambae anatakiwa aimalize hii game
#COYG

Sub niliyopendekeza imelipa, Trossad

Arteta ni technician mzuri Sana, ndio maana pep alimvuta afanye nae kazi, Respect that
Kai vs Trossard, Neli vs Trossard.
Unacheza na liverpoll beki Konate na VVD wote futi sita zaidi, option ya Trossard inafeli mara moja kuanza. Utahitaji mtu atakaehold mipira mirefu na kushindana nao physique, Kai ametick.
Nelli vs Trossard. Liverpool wana Trent na mbele yake ni Nunez/Jota, utahitaji mtu atakaewapunguza kwenda mbele kwa speed yake pia awe anakaba, Martinelli anawin mbele ya Trossard.
Unaongoza mbili utahitaji mtu anaehold mipira na accuracy ya goli ni Trossard supersub.
Unategemea Liverpool kipindi cha pili watarudi na moto kama kawaida yao, toa Zinny weka beki halisi Kiwior.
Jana Arteta tactical alimzidi Klop


liverpunda anakufa hii game
Well, sababu sio Jorginho , kwamba uwepo wa namba 6 wawili Jorginho na Rice ndio ulifanya Zinny asiwe na sababu yoyote ya kuingia ndani kuwa kama kiungo ... la hasha , bali sababu ilikuwa :- MUUNDO WA PRESSING WA LIVERPOOL ( 4-1-4-1 ) . Kivipi ? 
