Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Game plane klop amezidiwa na Arteta
Kama unafatilia mpira utagundua Arteta ni master plan mzuri Sana

Uhakika liverpunda anakufa hii game

Sub ya trossad kwa Kai, Leo naona Kai amepoa Sana. Na ndio mtu ambae anatakiwa aimalize hii game

#COYG
Kai aliimaliza game kwa kusababisha wawe pungufu

Sub niliyopendekeza imelipa, Trossad

Arteta ni technician mzuri Sana, ndio maana pep alimvuta afanye nae kazi, Respect that

Kai vs Trossard, Neli vs Trossard.
Unacheza na liverpoll beki Konate na VVD wote futi sita zaidi, option ya Trossard inafeli mara moja kuanza. Utahitaji mtu atakaehold mipira mirefu na kushindana nao physique, Kai ametick.

Nelli vs Trossard. Liverpool wana Trent na mbele yake ni Nunez/Jota, utahitaji mtu atakaewapunguza kwenda mbele kwa speed yake pia awe anakaba, Martinelli anawin mbele ya Trossard.

Unaongoza mbili utahitaji mtu anaehold mipira na accuracy ya goli ni Trossard supersub.
Unategemea Liverpool kipindi cha pili watarudi na moto kama kawaida yao, toa Zinny weka beki halisi Kiwior.

Jana Arteta tactical alimzidi Klop
 
Good morning Gunners

Game Nzuri ya Jana
Jorginho, &Rice Pivot kitu sijawahi ona Kama kile walitisha Sana

Saliba mistake ila lawama wanatupiwa wengine
Ukweli wilo alizingua ile goal luckly uwanjani Wana umoja.. awe Makini Sasa maana tutanza kuwa Maadui wenyewe kwenye lango letu

Kai had a good game against Liverpool defenders
Vvd and konate couldn't handle him kwa presha alizokuwa anawapa ,ila jana link up yake na wenzie Yani Huoni pengo la Jesus

Saka pocket Gomez Alikuwa hapandi kabisa

Martinel pocket TAA couldn't Link na wenzake, mchezo ulikuwa mzuri Sana
Benjamin White Jana alikua na game poa Sana Diaz hakufurukuta kabisa

Kiwior hakutaka masiara kabisa

Raya with distribution Ni monster...

Second half tupia mipira mirefu Kai chukua Mali . Kuna ka Haram ball kalitembea
Trossard always anakupa chochote akiingia uwanjani

Hii momentum tutaenda kushinda mechi nyingi Sana.

Tomiyasu is back
Timber on the way
Partey on the way

ARSENAL FOREVER
20240204_223205.jpg
 
Hapa kwa Partey hapa🤠🤠...fanya kama hyo jamaa alishauzwa..ni mchezaji nnayemkubali kuliko wte pale Arsenal ila tyri imeshakuwa flat tyre tena yenye kipara....hyu Hana msaaada wwte kwasasa...usajili ujao tulete Fofana mtu kazi pale kati
Good morning Gunners

Game Nzuri ya Jana
Jorginho, &Rice Pivot kitu sijawahi ona Kama kile walitisha Sana

Saliba mistake ila lawama wanatupiwa wengine
Ukweli wilo alizingua ile goal luckly uwanjani Wana umoja.. awe Makini Sasa maana tutanza kuwa Maadui wenyewe kwenye lango letu

Kai had a good game against Liverpool defenders
Vvd and konate couldn't handle him kwa presha alizokuwa anawapa ,ila jana link up yake na wenzie Yani Huoni pengo la Jesus

Saka pocket Gomez Alikuwa hapandi kabisa

Martinel pocket TAA couldn't Link na wenzake, mchezo ulikuwa mzuri Sana
Benjamin White Jana alikua na game poa Sana Diaz hakufurukuta kabisa

Kiwior hakutaka masiara kabisa

Raya with distribution Ni monster...

Second half tupia mipira mirefu Kai chukua Mali . Kuna ka Haram ball kalitembea
Trossard always anakupa chochote akiingia uwanjani

Hii momentum tutaenda kushinda mechi nyingi Sana.

Tomiyasu is back
Timber on the way
Partey on the way

ARSENAL FOREVERView attachment 2894852
 
Na hii ina expose weakness ya Arteta, kwahiyo 65M kwa ajili ya kushinda mipira ya hewani tu?

Trossard kaingia na instant impact, ni mara Mia LCM achieve Zinchenko huko LB achieve Kiwior. Huyu Havertz is bullshit.
Hiki tunachokipigia kelele kila siku kua Zinny acheze LCM na Arteta hana hata wazo hilo ndo hiki hiki mashabiki wengi wa Liverpool wanatamani klopp amuweke TAA kwenye kiungo na klopp hana hata muda huo ni kwanza sisi tunawaza zaid kuliko wao au ni kua impact kwenye nafasi zao wanazocheza ni kubwa kuliko ambapo tunapowafililia sisi kwenye nafasi za kiungo?
 
Unataka kujua kwanini Jana Zinchenko hakuwa anaingia ndani kama ilivyozoeleka kwa Arsenal ( Inverted FB ) kuwa karibu na kiungo wa ulinzi Declan Rice ?

Well, sababu sio Jorginho , kwamba uwepo wa namba 6 wawili Jorginho na Rice ndio ulifanya Zinny asiwe na sababu yoyote ya kuingia ndani kuwa kama kiungo ... la hasha , bali sababu ilikuwa :- MUUNDO WA PRESSING WA LIVERPOOL ( 4-1-4-1 ) . Kivipi ?

Hapo maana yake Liverpool watakuwa wanakabia juu kwa kutumia wachezaji watano ( Straika na viungo washambuliaji wanne nyuma yake ) : sasa kwanini huu muundo ufanye Arteta abadilishe build up structure yake ?

Muundo wao Arsenal mara nyingi ni 3-2 ( mabeki watatu wa nyuma White Saliba na Gabriel ) huku mbele yao ni Rice na Zinny ) kama wangefanya hivi maana yake ingekuwa 5v5 kwasababu Arsenal nyuma wangekuwa watano kitu ambacho ni risk .

KWAHIYO : Arteta akaamua kubadilisha build up structure yake kutoka 3-2 kuwa 4-2 ( White Saliba Gabriel na Zinny ) huku mbele yao ni Rice na Jorginho kwahiyo hapo inakuwa 6v5 , faida ya mchezaji mmoja ( hapo wanakuwa wametengeneza overload ) . Angalia goli la kwanza la Arsenal .

NOTE

Kwenye huo muundo juu walikuwa na namba 10 wawili Kai na Odegaard lakini sio mstari mmoja bali Kai alikuwa pembeni juu kidogo ya Odegaard ... kwanini ? Ili kushambulia space baina ya TAA na Konate .!

AMBANGILE
FB_IMG_1707136585544.jpg
 
Unataka kujua kwanini Jana Zinchenko hakuwa anaingia ndani kama ilivyozoeleka kwa Arsenal ( Inverted FB ) kuwa karibu na kiungo wa ulinzi Declan Rice ?

Well, sababu sio Jorginho , kwamba uwepo wa namba 6 wawili Jorginho na Rice ndio ulifanya Zinny asiwe na sababu yoyote ya kuingia ndani kuwa kama kiungo ... la hasha , bali sababu ilikuwa :- MUUNDO WA PRESSING WA LIVERPOOL ( 4-1-4-1 ) . Kivipi ?

Hapo maana yake Liverpool watakuwa wanakabia juu kwa kutumia wachezaji watano ( Straika na viungo washambuliaji wanne nyuma yake ) : sasa kwanini huu muundo ufanye Arteta abadilishe build up structure yake ?

Muundo wao Arsenal mara nyingi ni 3-2 ( mabeki watatu wa nyuma White Saliba na Gabriel ) huku mbele yao ni Rice na Zinny ) kama wangefanya hivi maana yake ingekuwa 5v5 kwasababu Arsenal nyuma wangekuwa watano kitu ambacho ni risk .

KWAHIYO : Arteta akaamua kubadilisha build up structure yake kutoka 3-2 kuwa 4-2 ( White Saliba Gabriel na Zinny ) huku mbele yao ni Rice na Jorginho kwahiyo hapo inakuwa 6v5 , faida ya mchezaji mmoja ( hapo wanakuwa wametengeneza overload ) . Angalia goli la kwanza la Arsenal .

NOTE

Kwenye huo muundo juu walikuwa na namba 10 wawili Kai na Odegaard lakini sio mstari mmoja bali Kai alikuwa pembeni juu kidogo ya Odegaard ... kwanini ? Ili kushambulia space baina ya TAA na Konate .!

AMBANGILE View attachment 2895102
Sasa ukute mashabiki MAANDAZI wa JF wanavyomtukana Arteta! Utasema ni makocha nguli hapa duniani. Pumbafu kabisa.
 
Unataka kujua kwanini Jana Zinchenko hakuwa anaingia ndani kama ilivyozoeleka kwa Arsenal ( Inverted FB ) kuwa karibu na kiungo wa ulinzi Declan Rice ?

Well, sababu sio Jorginho , kwamba uwepo wa namba 6 wawili Jorginho na Rice ndio ulifanya Zinny asiwe na sababu yoyote ya kuingia ndani kuwa kama kiungo ... la hasha , bali sababu ilikuwa :- MUUNDO WA PRESSING WA LIVERPOOL ( 4-1-4-1 ) . Kivipi ?

Hapo maana yake Liverpool watakuwa wanakabia juu kwa kutumia wachezaji watano ( Straika na viungo washambuliaji wanne nyuma yake ) : sasa kwanini huu muundo ufanye Arteta abadilishe build up structure yake ?

Muundo wao Arsenal mara nyingi ni 3-2 ( mabeki watatu wa nyuma White Saliba na Gabriel ) huku mbele yao ni Rice na Zinny ) kama wangefanya hivi maana yake ingekuwa 5v5 kwasababu Arsenal nyuma wangekuwa watano kitu ambacho ni risk .

KWAHIYO : Arteta akaamua kubadilisha build up structure yake kutoka 3-2 kuwa 4-2 ( White Saliba Gabriel na Zinny ) huku mbele yao ni Rice na Jorginho kwahiyo hapo inakuwa 6v5 , faida ya mchezaji mmoja ( hapo wanakuwa wametengeneza overload ) . Angalia goli la kwanza la Arsenal .

NOTE

Kwenye huo muundo juu walikuwa na namba 10 wawili Kai na Odegaard lakini sio mstari mmoja bali Kai alikuwa pembeni juu kidogo ya Odegaard ... kwanini ? Ili kushambulia space baina ya TAA na Konate .!

AMBANGILE View attachment 2895102
Na hata Goli la kwanza lilipatikana Kwa sababu hiyo, kaangalie ile buildup ,
 
Kai aliimaliza game kwa kusababisha wawe pungufu

Sub niliyopendekeza imelipa, Trossad

Arteta ni technician mzuri Sana, ndio maana pep alimvuta afanye nae kazi, Respect that

Kai vs Trossard, Neli vs Trossard.
Unacheza na liverpoll beki Konate na VVD wote futi sita zaidi, option ya Trossard inafeli mara moja kuanza. Utahitaji mtu atakaehold mipira mirefu na kushindana nao physique, Kai ametick.

Nelli vs Trossard. Liverpool wana Trent na mbele yake ni Nunez/Jota, utahitaji mtu atakaewapunguza kwenda mbele kwa speed yake pia awe anakaba, Martinelli anawin mbele ya Trossard.

Unaongoza mbili utahitaji mtu anaehold mipira na accuracy ya goli ni Trossard supersub.
Unategemea Liverpool kipindi cha pili watarudi na moto kama kawaida yao, toa Zinny weka beki halisi Kiwior.

Jana Arteta tactical alimzidi Klop
Mnanishangaza sana mnaosema Kai ana physique
Ile incident yake na mac allister kama angekaza kidogo tu angeweza fanya chochote

NB Jana kacheza vizuri ila kwa price tag ile bado tunamdai
 
Back
Top Bottom