Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu na Partey wametufanya tuwe nafasi ya sasa tulipo daily visingizio vya majeruhi this is too much hawawezi kuplay 5 to 10 games in a row bila kwenda hospital
Partey wa kuuza tu apishe Kiungo mwingine wa uhakika, Jesús pia anatakiwa awe 2nd Striker...

Sijui kwanini tuliachana na Toney.
 
Four big chances.

3 missed

Same na mechi yetu iliyopita.

You look at us na inaonyesha wazi anahitajika striker
 
Four big chances.

3 missed

Same na mechi yetu iliyopita.

You look at us na inaonyesha wazi anahitajika striker
Sababu Management ni wabishi let's wait and see Arsenal tatizo ni kutia goli nyavuni itacheza sexy football ️ ila kuweka kambani ni tatizo INAUMA SANA na Saliba hadi muda huu ameshaleta tatizo kubwa sana labda Mungu awe upande wetu leo
 
Game plane klop amezidiwa na Arteta
Kama unafatilia mpira utagundua Arteta ni master plan mzuri Sana

Uhakika liverpunda anakufa hii game

Sub ya trossad kwa Kai, Leo naona Kai amepoa Sana. Na ndio mtu ambae anatakiwa aimalize hii game

#COYG
 
Inaboa sana aseee tunashindwa kuscore magoli mepesi tunaruhusu magoli mepesi hili ni tatizo la kukosa wachezaji wenye mentality ya ushindani huwezi mlaumu COACH hapo

Mfano yellow card ya benwhite niyakujitakia tu jitu linarusha mpira baada ya dakika1 kuanzsha faulu anataka analize dk1

TUNAHITAJI WACHEZAJI WENYE MENTALITY YA KUSHINDA MATAJI MAKUBWA NA WAO KUWA WACHEZAJI WAKUBWA
 
Back
Top Bottom