Huyu na Partey wametufanya tuwe nafasi ya sasa tulipo daily visingizio vya majeruhi this is too much hawawezi kuplay 5 to 10 games in a row bila kwenda hospitalGabriel Jesus yeye ni trip shamba trip garage, kashaumia.

Partey wa kuuza tu apishe Kiungo mwingine wa uhakika, Jesús pia anatakiwa awe 2nd Striker...Huyu na Partey wametufanya tuwe nafasi ya sasa tulipo daily visingizio vya majeruhi this is too much hawawezi kuplay 5 to 10 games in a row bila kwenda hospital![]()
Saliba kujiamini kumezidi. Ujinga sanaTumekuwa kama malaya tunagawa magoli hovyo hovyo
Sababu Management ni wabishi let's wait and see Arsenal tatizo ni kutia goli nyavuni itacheza sexy footballFour big chances.
3 missed
Same na mechi yetu iliyopita.
You look at us na inaonyesha wazi anahitajika striker
️ ila kuweka kambani ni tatizo INAUMA SANA na Saliba hadi muda huu ameshaleta tatizo kubwa sana labda Mungu awe upande wetu leo

Na kipa nae amechangia mkuu, anaona Saliba kashamzuia Diaz anachelewa kutoka.saliba sijui alikuwa anawaza nini pale.. utazani yupo uwanja wa mazoezi.
Hata kipa kafanya ukuda tu pale.. Kama umeamua kutoka toka haraka... Sio unasitasita.saliba sijui alikuwa anawaza nini pale.. utazani yupo uwanja wa mazoezi.