999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 874
- 1,627
Wamekalili maisha haoKwahiyo kwa hii misimu miwili kila Liver akikutana na Arsenal ndo anakuwa na siku mbaya? Huu ni msimu wa pili Liverpool hajapata matokeo ya ushindi dhidi ya Arsenal. Je tuendelee kuamini maneno yako kwamba liver alikuwa na siku mbaya????