Mjusi_kafir
JF-Expert Member
- Dec 4, 2023
- 299
- 518
Wale Luton hawafai kabisa aiseeNilisema hapa Luton atawaumbua wengi
Wale Luton hawafai kabisa aiseeNilisema hapa Luton atawaumbua wengi
Hii ngoma, umri ushagota, na ajichunguze maisha yake nje ya uwanja sio bure.pancha tena [emoji2956] View attachment 2892721
Liverpunda anakufa 2 kavukweli mmejikatia tamaa hatukuwazoea hivi wakati hapa mdomo ungekuwa unapigwa kweli kweli[emoji16][emoji16][emoji16]
Hapa hamiss akitoa vitu vyake,pale mkorea nae akidakia.
lakini kimya.
Fulham na Aston villa wamstosha kuusimamaisha kasi huu uzi.kweli mmejikatia tamaa hatukuwazoea hivi wakati hapa mdomo ungekuwa unapigwa kweli kweli[emoji16][emoji16][emoji16]
Hapa hamiss akitoa vitu vyake,pale mkorea nae akidakia.
lakini kimya.
Hii hopeless fcFulham na Aston villa wamstosha kuusimamaisha kasi huu uzi.
Na wasijiroge wakatangulia kutufunga, hizo hasira zake....Liverpunda anakufa 2 kavu
Akija vibaya au akijaribu kupishana, fedheha itamkuta
Huyu tumuhesabu kama siyo mchezaji wetupancha tena [emoji2956] View attachment 2892721
Ata huko kututangulia sidhani, sioni wakicheza mpira wowote leoNa wasijiroge wakatangulia kutufunga, hizo hasira zake....
Ukae kwa kutulia Bibi, leo Mtakufa 2 tuHesabu wenyewe tuwachape ngapi
Baadaye msikimbie[emoji23]Ata huko kututangulia sidhani, sioni wakicheza mpira wowote leo
Wawe na adabu tu, tutafanya vile itakavyo tupendeza
Hesabu goli 5 kuendeleaUkae kwa kutulia Bibi, leo Mtakufa 2 tu