mfano
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 670
- 1,132
Arteta ana matatizo yake na hiyu mwamba akianani tenapancha tenaView attachment 2892721
Arteta ana matatizo yake na hiyu mwamba akianani tenapancha tenaView attachment 2892721
Hakua ivyo Kabisa kwa SimioneAnaonekana haishi ki professional....Ronaldo de Lima...Wilshere ni type ya aina hyo ya wachezaji....hata dirisha kubwa kumuuza itakuwa kwa bei ya chini sana maana watu washaona huu ni mkebe
Wale Luton hawafai kabisa aiseeNilisema hapa Luton atawaumbua wengi
Hii ngoma, umri ushagota, na ajichunguze maisha yake nje ya uwanja sio bure.pancha tenaView attachment 2892721
Liverpunda anakufa 2 kavukweli mmejikatia tamaa hatukuwazoea hivi wakati hapa mdomo ungekuwa unapigwa kweli kweli
Hapa hamiss akitoa vitu vyake,pale mkorea nae akidakia.
lakini kimya.
Fulham na Aston villa wamstosha kuusimamaisha kasi huu uzi.kweli mmejikatia tamaa hatukuwazoea hivi wakati hapa mdomo ungekuwa unapigwa kweli kweli
Hapa hamiss akitoa vitu vyake,pale mkorea nae akidakia.
lakini kimya.
Hii hopeless fcFulham na Aston villa wamstosha kuusimamaisha kasi huu uzi.
Na wasijiroge wakatangulia kutufunga, hizo hasira zake....Liverpunda anakufa 2 kavu
Akija vibaya au akijaribu kupishana, fedheha itamkuta
Huyu tumuhesabu kama siyo mchezaji wetupancha tenaView attachment 2892721
Ata huko kututangulia sidhani, sioni wakicheza mpira wowote leoNa wasijiroge wakatangulia kutufunga, hizo hasira zake....
Ukae kwa kutulia Bibi, leo Mtakufa 2 tuHesabu wenyewe tuwachape ngapi
Baadaye msikimbieAta huko kututangulia sidhani, sioni wakicheza mpira wowote leo
Wawe na adabu tu, tutafanya vile itakavyo tupendeza
