Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Liverpunda hiki kikombe lazima akinywe
IMG-20240204-WA0022.jpg
 
Kai false #9

Kiungo: odegard Rice. Joginho

Ukuta; Bermuda triangle
Screenshot_20240204-184016.jpg
 
Arteta akili kisoda, Zinchenko na Jorginho unawaweka mbele ya liverpool? Leo tunaenda kuaibika vibaya sana.
 
Arteta akili kisoda, Zinchenko na Jorginho unawaweka mbele ya liverpool? Leo tunaenda kuaibika vibaya sana.
Joginho ni holding mzuri Sana

Rice na joginho wapo dimba la chini. Hapo kiungo kinakua solid sana

Dimba la juu yupo odegard
 
Sijajua kocha ana mpango gani, ila confidence yangu ya game imepungua baada ya kuiona hii starting lineup. Wacha niangalie match, huenda kocha ataniprove wrong kwenye kile nnahisi kinaweza kutupata.
Ulitaka kuwe na marekebisho gani mkuu?
Atoke Nani aingie Nani? Tueleweshe
 
Jorginho huwa anastuck sasa kwa kasi ya liverpool lazima tulie. Huyo Odegaard umewahi kumuona lini akifanya cha maana kwenye mechi kubwa?
Odegard na joginho tuwatoe
Unaona Nani wanafaa kuanza?
 
Back
Top Bottom