computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
FACTS umemaliza MJADALAInaboa sana aseee tunashindwa kuscore magoli mepesi tunaruhusu magoli mepesi hili ni tatizo la kukosa wachezaji wenye mentality ya ushindani huwezi mlaumu COACH hapo
Mfano yellow card ya benwhite niyakujitakia tu jitu linarusha mpira baada ya dakika1 kuanzsha faulu anataka analize dk1
TUNAHITAJI WACHEZAJI WENYE MENTALITY YA KUSHINDA MATAJI MAKUBWA NA WAO KUWA WACHEZAJI WAKUBWA![]()

liverpunda anakufa hii game