Arteta kaitengeneza timu vizuri sana, pale mbele tu ndio kunahitaji Striker wa kiwango kukamilisha timu.Game plane klop amezidiwa na Arteta
Kama unafatilia mpira utagundua Arteta ni master plan mzuri Sana
Uhakikaliverpunda anakufa hii game
Sub ya trossad kwa Kai, Leo naona Kai amepoa Sana. Na ndio mtu ambae anatakiwa aimalize hii game
#COYG
2H aingie Nketiah game inamuhitaji.
Liva wanaacha gaps sana.
liverpunda anakufa hii game
