Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Inaboa sana aseee tunashindwa kuscore magoli mepesi tunaruhusu magoli mepesi hili ni tatizo la kukosa wachezaji wenye mentality ya ushindani huwezi mlaumu COACH hapo

Mfano yellow card ya benwhite niyakujitakia tu jitu linarusha mpira baada ya dakika1 kuanzsha faulu anataka analize dk1

TUNAHITAJI WACHEZAJI WENYE MENTALITY YA KUSHINDA MATAJI MAKUBWA NA WAO KUWA WACHEZAJI WAKUBWA
FACTS umemaliza MJADALA
 
Game plane klop amezidiwa na Arteta
Kama unafatilia mpira utagundua Arteta ni master plan mzuri Sana

Uhakika liverpunda anakufa hii game

Sub ya trossad kwa Kai, Leo naona Kai amepoa Sana. Na ndio mtu ambae anatakiwa aimalize hii game

#COYG
Tukijitahidi sare hatuna mentality ya kupambana kushinda mechi hizi muhimu kaka hata baada ya kupata goli tazam wachezaji wamesharidhika
 
Game plane klop amezidiwa na Arteta
Kama unafatilia mpira utagundua Arteta ni master plan mzuri Sana

Uhakika liverpunda anakufa hii game

Sub ya trossad kwa Kai, Leo naona Kai amepoa Sana. Na ndio mtu ambae anatakiwa aimalize hii game

#COYG
Arteta kaitengeneza timu vizuri sana, pale mbele tu ndio kunahitaji Striker wa kiwango kukamilisha timu.

2H aingie Nketiah game inamuhitaji.

Liva wanaacha gaps sana.
 
Tukijitahidi sare hatuna mentality ya kupambana kushinda mechi hizi muhimu kaka hata baada ya kupata goli tazam wachezaji wamesharidhika

Nafasi kibao tunapoteza, hii timu bana kuna mechi unaona ile spirit ya upambanaji. Nyingine unaona mipango tu bila nguvu.
 
Inaboa sana aseee tunashindwa kuscore magoli mepesi tunaruhusu magoli mepesi hili ni tatizo la kukosa wachezaji wenye mentality ya ushindani huwezi mlaumu COACH hapo

Mfano yellow card ya benwhite niyakujitakia tu jitu linarusha mpira baada ya dakika1 kuanzsha faulu anataka analize dk1

TUNAHITAJI WACHEZAJI WENYE MENTALITY YA KUSHINDA MATAJI MAKUBWA NA WAO KUWA WACHEZAJI WAKUBWA
Kocha wa kulaumiwa ndio, sasa Trossard ni wazi ana winning mentality unamuacha bench alafu unaenda muanzisha havertz unatarajia nini?

Arteta is killing the team kwa ujuaji mwingi.
 
Kuna mtu yoyote ana lalamika kuhusu kumkosa mudryk🤣😆😆
FB_IMG_17070711765297475.jpg
 
Back
Top Bottom