Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tukijitahidi sare hatuna mentality ya kupambana kushinda mechi hizi muhimu kaka hata baada ya kupata goli tazam wachezaji wamesharidhika

Nafasi kibao tunapoteza, hii timu bana kuna mechi unaona ile spirit ya upambanaji. Nyingine unaona mipango tu bila nguvu.
 
Inaboa sana aseee tunashindwa kuscore magoli mepesi tunaruhusu magoli mepesi hili ni tatizo la kukosa wachezaji wenye mentality ya ushindani huwezi mlaumu COACH hapo

Mfano yellow card ya benwhite niyakujitakia tu jitu linarusha mpira baada ya dakika1 kuanzsha faulu anataka analize dk1

TUNAHITAJI WACHEZAJI WENYE MENTALITY YA KUSHINDA MATAJI MAKUBWA NA WAO KUWA WACHEZAJI WAKUBWA[emoji2357][emoji2357]
Kocha wa kulaumiwa ndio, sasa Trossard ni wazi ana winning mentality unamuacha bench alafu unaenda muanzisha havertz unatarajia nini?

Arteta is killing the team kwa ujuaji mwingi.
 
Kuna mtu yoyote ana lalamika kuhusu kumkosa mudryk🤣😆😆
FB_IMG_17070711765297475.jpg
 
Denied penalty and we still did it

Kahesabu on target za liva

Nipo hapa nasubiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom