Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna upepo mbaya unapota
images (8).jpeg
 
Timu yetu ni wapi imekosea?

Timu ambayo imepata ushindi wake wa kwanza dhidi ya City, toe to toe na Liver mbona ghafla inaonekana kama vile haitakuja ondoka na chochote?

Tunafungwa magoli ya namna gani? Ni set pieces na hizi long balls. Kocha wa set pieces anafocus na offensive ya set pieces kuliko defense.

Tunatengeneza chances ila hatuna scorer. Best shooter hana service, our ST's strength siyo kuscore. Our best scorer anahitaji chances 3 kuscore goli 1.

Tunaamini tunahitaji ST na atasajiliwa January, ila Arteta kasema hana mpango wa kusajili. Mchezaji tunayehusishwa naye tunaambiwa tunatakiwa kulipia karibu na 80M. Huyu mchezaji hajacheza kwa mwaka mzima.

Hizi defeats ni blessings in disguise? Kwamba kwa tunachofanywa itawafosi Arsenal kusajili? Au ni haijalishi?
Different mind same thinking.naona unachoona mkuu.haya matokeo yana faida mnooo
 
Ukiachana na Kutengeza XG karibu 6.7 kwenye match 3 zilizopita ila tumefunga goal 1

Hoja yangu Leo ipo hapa Arsenal Siraha yao kubwa wakiwa hawana mpira ni Aggressive Man to pressing

Ndio Msingi mkubwa kujilinda Arsenal sasa endapo mpinzani akifanikiwa Kubeat hii press uwa tunakuwa kwenye hatari kubwa kuruhusu Goals

Tunapunguza Threats za mpinzani endapo anacheza mpira wa pass fupi fupi hapa kubeat press yetu uwa ni ngumu

Ila Mpinzani akianza tumia mipira mirefu hapa tunapata shida sana kujilinda Angalia game jana Second half Liver walivyo anza piga mipira mirefu

Walifanikiwa sehemu kubwa kubeat press yetu hivyo basi tunatakiwa kufanyia kazi kiulinzi pia namna kujilinda kwenye Transitions za namna hiyo

Mwisho tujitathimin Najua pengine fatigue sababu UCL uwa hakuna rotation kama Europa wachezaji wamecheza game nyingi mfululizo wale wale ila tunatakiwa badilika mashambulizi yetu yasiwe machachari yawe hatari

Amigos
 
Ukiachana na Kutengeza XG karibu 6.7 kwenye match 3 zilizopita ila tumefunga goal 1

Hoja yangu Leo ipo hapa Arsenal Siraha yao kubwa wakiwa hawana mpira ni Aggressive Man to pressing

Ndio Msingi mkubwa kujilinda Arsenal sasa endapo mpinzani akifanikiwa Kubeat hii press uwa tunakuwa kwenye hatari kubwa kuruhusu Goals

Tunapunguza Threats za mpinzani endapo anacheza mpira wa pass fupi fupi hapa kubeat press yetu uwa ni ngumu

Ila Mpinzani akianza tumia mipira mirefu hapa tunapata shida sana kujilinda Angalia game jana Second half Liver walivyo anza piga mipira mirefu

Walifanikiwa sehemu kubwa kubeat press yetu hivyo basi tunatakiwa kufanyia kazi kiulinzi pia namna kujilinda kwenye Transitions za namna hiyo

Mwisho tujitathimin Najua pengine fatigue sababu UCL uwa hakuna rotation kama Europa wachezaji wamecheza game nyingi mfululizo wale wale ila tunatakiwa badilika mashambulizi yetu yasiwe machachari yawe hatari

Amigos

eti na ka emoji ka kuandika we una drama sana
Kama umeandika vya kueleweka vile kwahio apo ndo umechambua si ndio
 
Ukiachana na Kutengeza XG karibu 6.7 kwenye match 3 zilizopita ila tumefunga goal 1

Hoja yangu Leo ipo hapa Arsenal Siraha yao kubwa wakiwa hawana mpira ni Aggressive Man to pressing

Ndio Msingi mkubwa kujilinda Arsenal sasa endapo mpinzani akifanikiwa Kubeat hii press uwa tunakuwa kwenye hatari kubwa kuruhusu Goals

Tunapunguza Threats za mpinzani endapo anacheza mpira wa pass fupi fupi hapa kubeat press yetu uwa ni ngumu

Ila Mpinzani akianza tumia mipira mirefu hapa tunapata shida sana kujilinda Angalia game jana Second half Liver walivyo anza piga mipira mirefu

Walifanikiwa sehemu kubwa kubeat press yetu hivyo basi tunatakiwa kufanyia kazi kiulinzi pia namna kujilinda kwenye Transitions za namna hiyo

Mwisho tujitathimin Najua pengine fatigue sababu UCL uwa hakuna rotation kama Europa wachezaji wamecheza game nyingi mfululizo wale wale ila tunatakiwa badilika mashambulizi yetu yasiwe machachari yawe hatari

Amigos

Lakini mwamba wakati mwengine kwa hivi unavyoandika unataka utukanwe na washabiki wenzako kwa makusudi.
 
Ni vile nchi inaruhusu uhuru wa kujieleza lkn kama sio ivo.. Jamaa ilibid awe ameshapewa kesi ya utapeli wa maneno na porojo.
Ila tuache utani Masingeli amelichangamsha sana hili jukwaa, bila ya uwepo wake humu hili jukwaa hua halinogi kabisa, tatizo lake huyu jamaa hua ana roho nyepesi sana timu ikifungwa.
Akianzaga zile story zake za aerial duel, Pressing na Overloading, positional interchange na flexibility akamalizia na zile story za Super Computer hua anaikusanya na kuiteka misukule mingi sana humu.
Jamaa hua linajua sana kucheza na akili za mafalse hopers ya humu, tena wale chawa wake kina arsenal2004 na mkorea ndio huwaambi kitu kuhusu Masingeli maana kashawaamisha kua yeye ni Chambuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi.




Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app
 
Ukiachana na Kutengeza XG karibu 6.7 kwenye match 3 zilizopita ila tumefunga goal 1

Hoja yangu Leo ipo hapa Arsenal Siraha yao kubwa wakiwa hawana mpira ni Aggressive Man to pressing

Ndio Msingi mkubwa kujilinda Arsenal sasa endapo mpinzani akifanikiwa Kubeat hii press uwa tunakuwa kwenye hatari kubwa kuruhusu Goals

Tunapunguza Threats za mpinzani endapo anacheza mpira wa pass fupi fupi hapa kubeat press yetu uwa ni ngumu

Ila Mpinzani akianza tumia mipira mirefu hapa tunapata shida sana kujilinda Angalia game jana Second half Liver walivyo anza piga mipira mirefu

Walifanikiwa sehemu kubwa kubeat press yetu hivyo basi tunatakiwa kufanyia kazi kiulinzi pia namna kujilinda kwenye Transitions za namna hiyo

Mwisho tujitathimin Najua pengine fatigue sababu UCL uwa hakuna rotation kama Europa wachezaji wamecheza game nyingi mfululizo wale wale ila tunatakiwa badilika mashambulizi yetu yasiwe machachari yawe hatari

Amigos
Angalau umekuja kuwachambulia wenzio wajue wapi timu ilikosea.

Ila jamaa mnamtukana bure tu ila ameandika ukweli.

Ila msisingizie fatigue
Hata sisi wachezaji wetu wanachoka.
 
Watu walishaona kama fashion kumtukana jamaa.
Hili group bwana 😂 yani watu wanahisi kumtukana hamis77 ndiyo suluhisho la matatizo ya Arsenal.
Kuna jamaa yeye aliingia online tu anakuja kumtukana hamis77 bila sababu yoyote 😂
Kwani kutumia uhuru wake wa kutoa maoni ni Uadui jamani? 😂
.
Kuna muda anaandika ukweli
Kuna muda ushabiki unamzidi
 
Mafanikio yenu msimu huu ni kudraw na Liver Anfield.
Nje na hapo hakuna kikombe chochote mtapata.
 

Attachments

  • IMG_20230317_133330.jpg
    IMG_20230317_133330.jpg
    59.8 KB · Views: 17
Back
Top Bottom