Naendelea kuangalia new movies Netflixnaangalia Movie
Netflix sitaki headache tangia tulose game 2 mfululizo nimekata tamaa kabisa ya kuona Arsenal anabeba one among major trophy
season hii nyie endeleeni kuburudika na football
️
endeleeni kubishana na mipira yenu ya Arsenal team inapambwa sana na fake blood fans tukiongea naked truth kuwa tean haina coach wala good players tunatukanwa safi sana kungutweni hadi Akili ziwarudi STUPID!Nadhani anataniaJana Arteta kasema hatarajii kusajili January
Maumivu yakizidi muone daktariMatokeo ya kuumiza sana
Wenger orphansKuna mtu atakuambia tumetoka ili tufocus na tournaments zingine.
Kawaida mkuu.matokeo ya kuumiza ila yana faida logicallyMaumivu yakizidi muone daktari
Inawezekana mkuuKocha mjinga sana huyu.
UCL mavi matupu.Wenger orphans
Carabao cup out
FA out
EPL 4
hafu kuna mjinga kazi yake ni kuja kupiga kelele kwenye jukwaa la man u kwamba ten hag hafai wakati arteta msimu wa 5 huu mna dalili zote za kwenda trophres
Kila mtu huwa mjinga katika kipindi fulani cha maishaInawezekana mkuu
Sbr kama utamuona hapa huyu tapeli.Huyu jamaa ni TAHIRA sana
Kwamba mmepunguza idadi ya mechi hivyo wachezaji watapumzika?Kawaida mkuu.matokeo ya kuumiza ila yana faida logically
Relax mkuuHamna timu hapa nyie kuku, wakwambia wanaanza ligi january
Ni tafsiri yako tu mkuuKwamba mmepunguza idadi ya mechi hivyo wachezaji watapumzika?
Hii ndio Arsenal tunayoijua