verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Pamoja na kwamba Rice anatimiza majukumu yake kwa kiasi defensively, ila bado tunamiss zile risk and aggressive/line breaking passes za Octopus Thomas Partey
Kuna waliokua wakisema Partey yuko aggressive sana hana utulivu kwenye kuchagua pasi zake, ila ukweli ni kwamba ile aggressiveness yake ndo ilikua inafanya forward line yetu iwe bora kwenye kuvunja mistari ya ulinzi ya timu pinzani
Kuna waliokua wakisema Partey yuko aggressive sana hana utulivu kwenye kuchagua pasi zake, ila ukweli ni kwamba ile aggressiveness yake ndo ilikua inafanya forward line yetu iwe bora kwenye kuvunja mistari ya ulinzi ya timu pinzani



