Raul Gimenez kasha wanyuka hawa nyetoz boysFulham mpuuzi tu
Kocha mjinga anampenda Raya, na hizo qualities hana.Mechi ya leo angemuachia Ramsdale
Mlianza kumsema beki Gabriel miaka kadhaa nyuma hapo. Kawaprove wrong, leo mmehamka kwa kiungo fundiEti mnataka ubingwa kungo tegemezi Odegaaard mnachekesha sana




Kiungo la dunia Havertz aka forward la dunia aka full back aka kiraka ameanza leo ?Players wamelegea sana today wakiguswa na Defender (Rastaman)chali
Unatengeneza bomu , Joginho ni livivu sana kwenye kufanya marking na kukaba , liko vizuri kwenye kutuliza temper ya mchezo ,kuusoma mchezo na kupiga passHivi haiwezekani kiufundi kwa declan rice na jorginho kucheza pamoja?
Mueshimu pia mpinzaniWachezaji wamechoka? Uwezo wa kocha umeishia hapo?
Joginho habadiliki kuondoa huo ugonjwa wake ,tangia akiwa Chelsea , ukitaka kumfaidi Joginho ,acheze na kiungo mapafu ya mbwa mithili ya Kante , ambaye anakimbia ,mwenye nguvu na kasi ya kukaba eneo kubwa la uwanja ( kiungo punda )Hivi haiwezekani kiufundi kwa declan rice na jorginho kucheza pamoja?
Akiyanani😂Spurs, AsV, na nyie ni wasindikizaji tu tumewaalika mjiunge nasi kama send-off. May mzigo tunabeba sisi. Wakutuzuia ni sisi wenyewe na wenge letu
Akiyanani😂Spurs, AsV, na nyie ni wasindikizaji tu tumewaalika mjiunge nasi kama send-off. May mzigo tunabeba sisi. Wakutuzuia ni sisi wenyewe na wenge letu
Ukishaona mchezaji ameanza ku bleach manywele hakuna mchezaji tena hapoSaka pamoja na kufunga goli, uwezo wake umepungua by 50%
Tunakutana FA tunawapiga KO moja matataAkiyanani😂
Fungu la kukosa
Mwaka jana tukawaacha angalau msafishe nyota
Ila mlivyo vilaza mkashindwa
Hakuna kikombe mtapata.
Spurs, AsV, na nyie ni wasindikizaji tu tumewaalika mjiunge nasi kama send-off. May mzigo tunabeba sisi. Wakutuzuia ni sisi wenyewe na wenge letu