DahAser8 akicheza mashabiki wake duniani kote wanapita mtaani na kanga moja imelowana huku wanatingisha wowowoo na kusema chukua yote yako.





DahAser8 akicheza mashabiki wake duniani kote wanapita mtaani na kanga moja imelowana huku wanatingisha wowowoo na kusema chukua yote yako.





Mbona maneno makali mkuu. Sisi na mamacita ndiyo tunausaka huu ubingwa ingawa sisi ujinga umetuzidi. Wa kutuzuia sisi ni ujinga wetu wenyewe. Ila nyie tumewaalika tu mtusindikize kama wapambe kwenye send-off. Mwisho wa siku mzigo tunabeba sie.



Tunarudi mzigoni kesho
Tutashinda ,hatupo mbali na 1st place Hilo ndio muhimu pamoja na figisu zote








Sasa wewe ukiwa mshabiki wa nyumbu au sisi chelkenge si ndio utajinyonga kabisaMimi ni Gunners mpaka Card ya Uanachama nilinunuaga wakati nasoma PhD UK,lakini kila siku huwa nampinga huyu mpuuzi HAMIS na uongo wake humu,hata leo alipoandika humu kwamba tunashinda nilimwambia aache uhuni wake tuna Timu mbovu tena ya KICHOKO,na ndicho kilichotokea,hii ni Timu lainilaini,nina wasiwasi hawa wachezaji watakuwa wanafirana sio bure




? Maana hizi timu zinachofanya uwanjani ni zaidi ya comedy Arsenal tunapiga mpira mkubwa bhn, tukiwa na full squad fit hakuna takataka ya kucheza na sisi.



Mpira ni pesa, hata Pep Kipara akija Arsenal FC hatafanya lolote ikiwa mtakuwa mnampatia pesa za kuunga unga kiusajili wa Wachezaji, ndiyomaana Jurgen Klopp atabakia kuwa Kocha bora kwangu wa karne maana ana Wachezaji wa kawaida ila anatembea nao vizuri tu.Huyu Arteta anachomzidi 10Hag labda nywele tu.
Kesho tutamfunga fulham nzala wote wataondoka humu, sisi tunapiga mpira wao wanapiga domo.
Tunarudi mzigoni kesho
Tutashinda ,hatupo mbali na 1st place Hilo ndio muhimu pamoja na figisu zote
Sasa wewe ukiwa mshabiki wa nyumbu au sisi chelkenge si ndio utajinyonga kabisa? Maana hizi timu zinachofanya uwanjani ni zaidi ya comedy
Ligi ngumu mkuu pia ,ushindani umeongozeka sana msimu huu , nani alitarajia kuona timu kama Luton ikigawa dozi kwa timu kubwa na kuzivuruga ? ,Kiufupi hizi midteams sio za kuziletea masikhara kabisa unavyocheza nazo msimu huu ,tofauti na misimu ya nyuma huko
Leo hii kwenye hii epl hata mburuza mkia anauwezo wa kuwabonda na kuwadhalilisha wanaoongoza ligi



Imekuuma, kafie mbele huko mjinga wewe. whitemoneywe nae ficha ushamba wako,mambo gani sasa ya kutaka kujaza page kwa maemoji ya kifala