Ila we Jamaa ni zaidi ya KEROJe wajua arsenal AKA Wenger orphans wanatimiza miaka 20 bila kombe la EPLView attachment 2858965

Hamis77 ni nyumbu piwa huoni huwa hakauki kwenye uzi wa Manchester United? huwa anawazuga tu Arsenal FC fans na kiingereza cha Rasi Simba "Overload, Set pieces, dribbling"Kuna huyu kijana anayejiita hamis77 ukimuona anavyowadanganya wenzake utaishia kucheka tu.
UpiHakuna excuse, quality huamua matokeo. Sema wanachukulia poa sana kucheza na hizi timu. Hawa underdogs wao wanakuja kwa kujitoa mwanzo mwisho, mkileta ubishoo inakula kwenu. Ndicho kinamkuta Arsenal, intensity ya game hakuna kabisa.
Pumbafu sana hawa jamaa, haya ma mpira bora kuachana nayo tu. Tubakie kwenye uzi pendwa![]()
The audacityHappy new year washika mitutu wa London
![]()











Buloo, matusi na kutukanana siwezi. I was in F3 in 1984.Kunya boga
Kijana anamtusi mtu mwenye umri sawa na baba yake.Buloo, matusi na kutukanana siwezi. I was in F3 in 1984.
Hahahaha hii nimecheka balaaAsenali ndio kubwa jinga lililotufungia mwaka 2023.
Christmaslinaongoza ligi halafu kabla hata mwaka kuisha linajikuta liko nafasi ya 4 huko.