Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Maoni yangu ni haya na hayatendelea kubadilika kama die hard fans mnaamini Arsenal atabeba EPL or champions league trophy under Arteta na kina Saka basi kutakuwa na tatizo la akili somewhere HAPPY NEW YEAR GUYS!

Umeanza kuishabikia Arsenal 2019?
 
Mimi ni Gunners mpaka Card ya Uanachama nilinunuaga wakati nasoma PhD UK,lakini kila siku huwa nampinga huyu mpuuzi HAMIS na uongo wake humu,hata leo alipoandika humu kwamba tunashinda nilimwambia aache uhuni wake tuna Timu mbovu tena ya KICHOKO,na ndicho kilichotokea,hii ni Timu lainilaini,nina wasiwasi hawa wachezaji watakuwa wanafirana sio bure

Lakini huu sio muandiko wa PhD ya UK umekaa zaidi kama mwandiko wa SAUT na GPA ya 2.6 hivi.
 
Mwaka huu mapema tu 😂😂😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20231231_202905_Instagram.png
    Screenshot_20231231_202905_Instagram.png
    525.3 KB · Views: 13
At some point injury zimefanya sajili zetu ziwe kama tume downgrade from last season

Hopefully tutajifunza kitu Kutoka kwenye hizi back to back defeats

Game ya leo hatukucreate enough chances, game iliyopita hatukua clinical enough
20230804_064320.jpg
 
Pamoja na kwamba Rice anatimiza majukumu yake kwa kiasi defensively, ila bado tunamiss zile risk and aggressive/line breaking passes za Octopus Thomas Partey

Kuna waliokua wakisema Partey yuko aggressive sana hana utulivu kwenye kuchagua pasi zake, ila ukweli ni kwamba ile aggressiveness yake ndo ilikua inafanya forward line yetu iwe bora kwenye kuvunja mistari ya ulinzi ya timu pinzani
20230416_114852.jpg
 
Back
Top Bottom