Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,678
Nilisema hii timu ina mabwabwa wengi kocha among them. Hachukui hatua.Timu hii, itatutoa roho.. 😂
Nimetizama kipindi kimoja tu nikapata mashaka kama tunaweza ambulia pointi..
Martinelli, saka.. Ni wakati wa kuletewa changamoto zaidi.
under Arteta na kina Saka basi kutakuwa na tatizo la akili somewhere HAPPY NEW YEAR GUYS!