Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Wazee mujiangalie munapocheza na hawa vibonde hii round ya lala salama hakuna anayetaka kushuka daraja
Game tinashinda hii, ila Kuna chemistry flani Kama haijakaa sawa
Njoo uvae njumui aisee ilaa kile kikosi labda mshinde njaaa...Game tinashinda hii, ila Kuna chemistry flani Kama haijakaa sawa



Kwangu ni bora uwe na jorginho na declan rice kuliko kuwa na midfield ya havertz na odegaard ndani ya mechi moja na wakati huo huo zinchenko ni majeruhiJoginho habadiliki kuondoa huo ugonjwa wake ,tangia akiwa Chelsea , ukitaka kumfaidi Joginho ,acheze na kiungo mapafu ya mbwa mithili ya Kante , ambaye anakimbia ,mwenye nguvu na kasi ya kukaba eneo kubwa la uwanja ( kiungo punda )
Organic chemistry au Physical Chemistry?Game tinashinda hii, ila Kuna chemistry flani Kama haijakaa sawa
Nasoma tu comments zenu wachambuzi humu Jukwaani!


yani ukianza kuona hamis77 kaponguza kuja jukwaani ujue ameanza kunusa dalili mbaya jamaa ni muoga sana aise.View attachment 2858676


