IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,735
- 7,080
Ashindwe fundi Fábregas kuwapa ubingwa aje aweze Odegaard nyie mna vichaa 


Asenali ukiwaambia ukweli wanachukia ila kiukweli haka katimu bado sana kwenye masuala ya kushinda ubingwa hasa huu wa ligikuu.Mourinho was RIGHT️akaonekana HATER!
Banda umiza Arsenal fans wanamwita Saka Kinyambi. Wamekasirika hao humu
Maoni yangu ni haya na hayatendelea kubadilika kama die hard fans mnaamini Arsenal atabeba EPL or champions league trophyunder Arteta na kina Saka basi kutakuwa na tatizo la akili somewhere HAPPY NEW YEAR GUYS!
Banda umiza Arsenal fans wanamwita Saka Kinyambi
Tumenyooshwa
Nilishamaliza mjadala hapa, Arteta must be fired immediately. Kuna uwezekano hata top 4 timu haitaingia.Itunze vizuri.
Msimu uliopita kulikuwa na progress kiasi kwamba nilianza kuamini timu inaenda mahali pazuri only tukarudi tulikotoka kwenye michezo nane ya mwisho.
Tangu msimu uliopita uishe nikawa nimeshaelewa arteta ni average coach ambaye hawezi kufika popote. Hana mentality ya ubingwa na hana mbinu za kupigania makombe makubwa.
He must be fired immediately, Arsenal yake ilifikia peak last year, sasa hivi inashuka tu.
Masingeli huyo. Kawakimbia wenzake tayariKuna mdau humu alituambia Real Madrid and Manchester City pekee ndio washindani wa Arsenal kwenye Champions league au alikuwa anatania ?