computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Kwa mpira wa Newcastle na hao watu niliowataja tunaweza pata aibu kama ya West hamJorginho sio wa kumuweka katikati akabiliane na kina Bruno G,
Option iliyopo ni kumuweka Rice kama 6 tu na Vieira ama LT19 LCM basi kinyume na hapo ni maumivu.


.

