Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Baada ya matokeo ndiyo unasema hivyo?
Utasingizia Rice? aliingia dk 57
Au Viera ambae mara nyingi amekuwa akitupa matokeo timu ikiwa inamuhitaji?

Hamna cha kisingizio tukubali tuu hamna haya ya kujiaminisha kila mechi wakati hata timu nyingine zinahitaji matokeo.
Kuna watu humu kazi yao ni kusifia tuu hata kwenye ukweli hawakubali,
FACT
 
Sote tunajua Newcastle ni timu nzuri tangu msim uliopita ila bado sijaiona Newcastle ya kuifunga Arsenal inayotegemea kuchukua ubingwa msimu huu sote tunajua hawa vijana walikutana na Manjesta utd timu mbovu iliyojichokea sana msimu huu
Masingeli utauponza ujue shauri yako.
Vipi na Westham ya kuifunga Arsenyo hukuiona?
Masingeli hizo tambo zako ndio zinatufanya sisi tuwe tunashinda humu mkishachezea kipigo.
 
Baada ya matokeo ndiyo unasema hivyo?
Utasingizia Rice? aliingia dk 57
Au Viera ambae mara nyingi amekuwa akitupa matokeo timu ikiwa inamuhitaji?

Hamna cha kisingizio tukubali tuu hamna haya ya kujiaminisha kila mechi wakati hata timu nyingine zinahitaji matokeo.
Kuna watu humu kazi yao ni kusifia tuu hata kwenye ukweli hawakubali,
Ndugu yangu Smith Rowe humu ndani watu hawapendi kuambiwa ukweli ujue, sasa hivi wataanza kukuita mamluki shauri yako.
Ukiwa shabiki wa Arsenal hautakiwi kuwa open minded, muda wote unatakiwa uwe unasifia na kupongeza tu.
 
Maadui wa mgonjwa tunaamin leo mgonjwa hawez kupata nafuu lzm aende na maji .

Tumekuja hapa kwa mgonjwa kuweka kambi mapema tukitegemea baadae kutakua na pilau na vinywaj vya kutosha kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu.

Tunakutegemea Malaika mtoa roho (THE MAGPIES) usituangushe leo
 
Ndugu yangu Smith Rowe humu ndani watu hawapendi kuambiwa ukweli ujue, sasa hivi wataanza kukuita mamluki shauri yako.
Ukiwa shabiki wa Arsenal hautakiwi kuwa open minded, muda wote unatakiwa uwe unasifia na kupongeza tu.
Hahahaha kuna wachache hawakubali ukweli.
 
.........................Kai

Martinel..........ode............saka

.........Trossad.........Rice

Zinny.......Gab.....Saliba......white

Tukiingia hivi leo, itakua poa Sana
 
Mechi ya leo sijui kwanini nakosa imani, May God Proves me wrong
Coz umeshuhudia tukifungwa kizembe na nyukesto akishinda.

We never take our chances, nyukesto alipaki basi tukatoka suluhu akipaki tena tutahitaji shot taking iwe na % kubwa
 
Nataka huu ubishi uendelee
maxresdefault(1).jpg
 
Back
Top Bottom