Sio kwamba mlikuwa na kiwango kibovu sema sisi Ndio tumewafanya muwe wabovu tumeshinda mechi tatu mfululizo sio kwa bahati mbaya kabla ya kukutana na nyie nyinyi mkawa na picha kwasababu ya nafasi yetu tunayoshika kwenye table wakati team ilishabadilika tulikuwa compact tukaziba space na tulikuwa tunawin mipira ya kugombania most sasa nyinyi mnashinda against ya team ambayo ipo open Ndio ubora Wenu unaonekanaSio uongo mmecheza vyema despite ya matokeo lakini msijidanganye kama performance hii mtakuja kui display tena mkija Emirates..
Leo mmeshindwa kutumia home advantage kutufunga, mkiwa mbele kwa mabao 2, wakati huo huo Arsenal ikiwa kwenye kiwango kibovu inatoka nyuma na kupata sare.
If I were you, I'd never have such idea.
