Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sio uongo mmecheza vyema despite ya matokeo lakini msijidanganye kama performance hii mtakuja kui display tena mkija Emirates..

Leo mmeshindwa kutumia home advantage kutufunga, mkiwa mbele kwa mabao 2, wakati huo huo Arsenal ikiwa kwenye kiwango kibovu inatoka nyuma na kupata sare.

If I were you, I'd never have such idea.
Sio kwamba mlikuwa na kiwango kibovu sema sisi Ndio tumewafanya muwe wabovu tumeshinda mechi tatu mfululizo sio kwa bahati mbaya kabla ya kukutana na nyie nyinyi mkawa na picha kwasababu ya nafasi yetu tunayoshika kwenye table wakati team ilishabadilika tulikuwa compact tukaziba space na tulikuwa tunawin mipira ya kugombania most sasa nyinyi mnashinda against ya team ambayo ipo open Ndio ubora Wenu unaonekana
 
Title contender anashangilia draw dhidi ya Chelsea dhaifu😂
Chelsea sio wabovu kama unavyofikiri wanashindwaga ni kwenye kumalizia tu nafasi basi but wanapiga mpira mkubwa sana hivi uliona dhidi ya Liverpool walivyokuwa wanapigwa msako wa maana kipindi vyote walimiliki waa, walitengeneza nafasi nyingi sana za goal but the end mechi inaisha draws but kama wangetumia nafasi liverpool alikuwa anapigwa hata 6
 
Ila nyi jamaa, haiwezekani jukwaa zima muwe mnasikiliza ushauri wa watu watatu, masingeli na chawa zake. Amkeni nyinyi. Kataeni utumwa.


Zero UCL
Zero EUROPA

Mjitahidi next year mwende CONFERENCE league, japo tunajua na kule mtatia aibu tuu.
Watumwa
 
Hawa mashabiki wa ukengeni wamekuwa na kelele kashfa,mdomo mrefu

Hivi Kuna mashabiki walikuwa na mdomo Kama wa manjesta?

Tuliahidi kuliteka jukwaa Lao na Sasa limekuwa Gofu


Sasa Ni zamu ya hawa Kenge wa Darajani

Operation inaanza leo ,kuhakikisha jukwaa la ukengeni fc linakuwa Domant

Dharau zimezidi Sana
Balaa MC
 
Ni time ya Ramsdale kurejea golini sioni ambacho Raya kamzidi sana Ramsdale naye apewe game time sasa maana wote kwa kutoa maboko hawajambo but naona Raya katika game 4 za mwisho katoa maboko mengi sana Arteta ampe game time Ramsdale vs Sevilla
 
Ni time ya Ramsdale kurejea golini sioni ambacho Raya kamzidi sana Ramsdale naye apewe game time sasa maana wote kwa kutoa maboko hawajambo but naona Raya katika game 4 za mwisho katoa maboko mengi sana Arteta ampe game time Ramsdale vs Sevilla

Siwezi laumu sana Raya kwa goli la pili; hata mfungaji Ali- gamble from that position
 
Saka hayuko fit lakini ametoa Assist mbele ya Cucurella aliyemkamia!

Leo nimeamini Chelsea fans hawajui mpira kwahiyo Cucurella kamficha Unfit Saka with Assist
 
Declan Rice:

"All the subs that came on today were outstanding. It's a massive team effort.

It's about the team always and I think we showed today great heart and character." [sky]
 
Back
Top Bottom