mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Ilikua hatari hii, maana sijui unawaambia nini raiaAusio e bhana ndiooo![]()
Ilikua hatari hii, maana sijui unawaambia nini raiaAusio e bhana ndiooo![]()
Mkuu watatutukana usiku wa leo, ila laiti tungefungwa Sasa

Hata haya matokeo bdo wanatupiga mkwara🤠🤠🤠...maadui ni wengi kwakwli...tujitahidi kutembea kwa makundi hasa nyakati za usikuMkuu watatutukana usiku wa leo, ila laiti tungefungwa Sasa![]()
Tumecheza hovyoo, yani hovyoo hata draw sielewi tumepataje.
Wala hakulazimishi kuamini yeye anaongea kama yeye wala hamshiki mtu kichwa kwa kumlazimisha anachokiamin yeye na mwengine aamini, yeye anaamin kwenye timu kushinda tu je na wanaoamin timu kwenye kufungwa wanawaminisha pia na wao???Hapa tupambane angalau tupate hata Draw,tuache kuamini matumaini ya kisenge anayotupaga huyu Mhuni HAMIS,kila siku huwa nampinga humu,lakini akianzaga kuwajaza upepo humu utadhani wachezaji wa Arsenal wana miguu mitano na wapinzani miwili,halafu anajiita mchambuzi nguli kumbe mchambuzi NYUMBU tu
Nyie kombe Lenu ni la statistics tu za big chances created, aerial duel, inverted pass.
Mjirekebishe na huyu hamis77 Anawaponza sana
Kweli aisee, ni mawazo yake anaamini ktk kushinda tu, so lazima hufate maoni yake Amini kivyako..Wala hakulazimishi kuamini yeye anaongea kama yeye wala hamshiki mtu kichwa kwa kumlazimisha anachokiamin yeye na mwengine aamini, yeye anaamin kwenye timu kushinda tu je na wanaoamin timu kwenye kufungwa wanawaminisha pia na wao???
Sio kila kitu unakibeba mzee
Think Think Think
Hii timu kadri siku zinavyozidi kwenda tunapiga hatua moja mbele kisha hatua moja na nusu nyuma
Kwanini alianza Jorginho badala ya Partey?
Saka hakua fit kwanini kumuwahisha?
Zinchenko...?
Øde.....?
Kwaiyo hatakiwi kabisa kutoa sare,kufungwa ndo bingwa anapatikana ivyo au sijaelewa kitu hapa?Siwez kuumia.
Bila utani, arsenal na makombe bado sana
Tumecheza hovyoo, yani hovyoo hata draw sielewi tumepataje.
Kocha wkt mwingine anazingua na upangaji wa timu aisee..Ila partey n wa muhimu sana pale kati,
Hata haya matokeo bdo wanatupiga mkwara...maadui ni wengi kwakwli...tujitahidi kutembea kwa makundi hasa nyakati za usiku




Nakubali ulichokiongea bro,,Chelsea leo walicheza kama team iliyokuwa imekuja kuprove a point. Kwa kweli leo walikuwa motivated kwelikweli. Nadhani hawakustahili kufungwa.
Arsenal leo nao baada ya miaka mingi kupita, at least wameonyesha maturity na aura ya title challenger kusecure walau draw kwenye match ambayo hawakucheza vizuri kuanzia dk ya kwanza. "If you cannot win don't lose" aliwahi kusema Mourinho. We are up for the next game. COYG!