Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hapa tupambane angalau tupate hata Draw,tuache kuamini matumaini ya kisenge anayotupaga huyu Mhuni HAMIS,kila siku huwa nampinga humu,lakini akianzaga kuwajaza upepo humu utadhani wachezaji wa Arsenal wana miguu mitano na wapinzani miwili,halafu anajiita mchambuzi nguli kumbe mchambuzi NYUMBU tu
Wala hakulazimishi kuamini yeye anaongea kama yeye wala hamshiki mtu kichwa kwa kumlazimisha anachokiamin yeye na mwengine aamini, yeye anaamin kwenye timu kushinda tu je na wanaoamin timu kwenye kufungwa wanawaminisha pia na wao???
Sio kila kitu unakibeba mzee
Think Think Think
 
Chelsea kakaza sana leo ila kutoa kwetu sare kumedhihilisha tumemzidi uwezo,
 
Wala hakulazimishi kuamini yeye anaongea kama yeye wala hamshiki mtu kichwa kwa kumlazimisha anachokiamin yeye na mwengine aamini, yeye anaamin kwenye timu kushinda tu je na wanaoamin timu kwenye kufungwa wanawaminisha pia na wao???
Sio kila kitu unakibeba mzee
Think Think Think
Kweli aisee, ni mawazo yake anaamini ktk kushinda tu, so lazima hufate maoni yake Amini kivyako..
 
Hata haya matokeo bdo wanatupiga mkwara[emoji1783][emoji1783][emoji1783]...maadui ni wengi kwakwli...tujitahidi kutembea kwa makundi hasa nyakati za usiku

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hamisi anasemaje?

Mpaka dk 20 watakuwa mbele kwa magoli 3. Ikaweje sasa[emoji2371]
 
Chelsea leo walicheza kama team iliyokuwa imekuja kuprove a point. Kwa kweli leo walikuwa motivated kwelikweli. Nadhani hawakustahili kufungwa.

Arsenal leo nao baada ya miaka mingi kupita, at least wameonyesha maturity na aura ya title challenger kusecure walau draw kwenye match ambayo hawakucheza vizuri kuanzia dk ya kwanza. "If you cannot win don't lose" aliwahi kusema Mourinho. We are up for the next game. COYG!
Nakubali ulichokiongea bro,,

Yan arsenal ya leo ilivyokua inacheza alafu chakushangaza haijapoteza game daaah ni jambo la kushangaza sana, kila mchezaji alikua off yan ni Rice na Nell pekee walikua angalau wanaonyesha kitu baada ya kipindi cha pili Saka akaamka zaid,


Tuwape safi zao chelsea wametu outplay kabisa leo


Ila sielewi elezi hii sare tumeipataje aisee chelsea angekua na timu ya uakika leo zilikua ni 5 easily kabisa ila kwakua hawana team na kocha ana mentality za uoga za team ndogo akaona game kashaimaliza..

Kuna game zingine sio lazima twende na Ode aisee tuna viungo wengi sana kwenye nafasi ile na team ina move vizuri tu
 
Kweli aisee, ni mawazo yake anaamini ktk kushinda tu, so lazima hufate maoni yake Amini kivyako..
Kabisa sasa hua nashangaa watu wanamvaa bwana Hamis et ooh unatuaminisha hivi na hivi, upuuzi tu yan mtu aje akushikilie Akili na wewe upo tu alf ni baba wa familia[emoji16]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom