Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hamna timu pana ninyi, asingecheza Saka hiyo assist angetoa nani? RW angecheza nani
Na hii ndiyo itakayoifanya Arsenal msimu huu mshindwe hata kubaki top 4, mkikumbwa na majeruhi kama yetu ndipo akili yenu itaelewa maana ya deep squad
Game na City Saka hakucheza na Jesus aliubonda vizuri tu tena zaid ya anavyokuaga namba 9 au mpira hukuangailia?? timu pana tunayo tena vizuri tu ila kuna maeneo kila kitu hayanaga upana hata ufanyeje,

Leo chelsea alikua bora zaid yetu wala hakuna kingine
 
Screenshot_20231022_000026_All%20Goals.jpg
 
Hamna timu pana ninyi, asingecheza Saka hiyo assist angetoa nani? RW angecheza nani
Na hii ndiyo itakayoifanya Arsenal msimu huu mshindwe hata kubaki top 4, mkikumbwa na majeruhi kama yetu ndipo akili yenu itaelewa maana ya deep squad
Msimu huu tuna iyo timu inasaka matokeo muhimu ina

Ode out
Zinny out
Martinel out
Jesus out

Hii msimu ulioisha tulikua hatuna uwezo huo hata kidogo ila saivi sub zinafanyika na wanaoingia wanaenda kutupa tunachoitaj kuanzia game ya carabao na city,ligi na city, ligi ya United na hata game ya chelsea ya leo..
Kwaiyo huwez kusema hatuna upana wa kikosi wakati kila kitu kinajionyesha
 
Tukija emirate tutawalamba lamba yani tunawapakia nkongo😂😂😂
We hujielewi kweli. Yani umeshindwa kumaliza mechi nyumbani kwako ukiwa mbele kwa mabao 2 halafu unategemea uje kuifunga Arsenal Emirates?

Ukitaka jibu nenda kawaulize Man City walichokutana nacho.
 
Arsenal iliyokatika peak ambayo ina wachezaji hatariii zaidi na verstalite, inayorusha jezi juu kupata first eleven inashangilia draw against Chelsea ambayo ipo katika hali mbaya kuliko kipindi chochote kile . Hapo utajua kwanini hii team ni ya ma false hopers.
Chelsea imetukosea sana kurudishiwa yale magoli 2 na nafasi za wazi za palmer na jackson.
 
Nafikiri arteta anataka kujenga timu ambayo partey asiwe tegemeo pekee,
Kwa aseno ilipo ni bora jorginho aanze halafu partey aingie baadae na sio kinyume chake 😂😂😂.....
Hapa umeandika pumba tupu. Timu inajiandaa kuwa off-load wachezaji kama Jorginho halafu wewe unataka apewe game time ili azoee, azoee nini sasa?

Jiulize kati ya Jorginho na Partey nani ana umri mkubwa?

Kwahiyo unataka Partey ambae mfumo umemkubali aingie sub, nafasi awepe Jorginho ili kocha ajenge timu isiyomtegemea Partey?

Mkuu umelewa??
 
Tutakuja kuwanywa kama uji hapo kwenu subirini
Sio uongo mmecheza vyema despite ya matokeo lakini msijidanganye kama performance hii mtakuja kui display tena mkija Emirates..

Leo mmeshindwa kutumia home advantage kutufunga, mkiwa mbele kwa mabao 2, wakati huo huo Arsenal ikiwa kwenye kiwango kibovu inatoka nyuma na kupata sare.

If I were you, I'd never have such idea.
 
Jamaa mlijikabidhi hadi kombe mkaanza kuifananisha Arsenal hii na ile ya invincible 😂
Yaani hii timu ina makombe ya kufikirika , wanakuambia kule UEFA hakuna wa kuwasumbua zaidi ya man city na walivyobahatisha kwa man city ndo kabisa akaja humu mtu mmoja anakuambia hakuna kombe jepesi kuchukua kama UEFA 😂.

Ukimuuliza kama ni jepesi mnayo makombe mangapi ? Hana jibu , unaona kabisa humu ndani ni sehemu ya kupeana false hope.
Kabla ya game ya leo chelsea alikuwa kashakufa goli 5 , mpira si maneno hatimaye team zikaingia uwanjani tumeona wote maana mpira ni mchezo wa wazi kabisa .
 
Arteta nae aelewe anapoambiwa unfit Partey ni bora kuliko fully fit Jorginho.

Sijasema kama Jorginho kacheza vibaya ila tunakosa mambo mengi tukimkosa Partey.
 
Game na nyumbu au kenge hua hainisumbui

Nilijiamini kiasi kwamba hata kuangalia mechi sikutaka

Nikaenda kuzurura na kunyapia takwimu fotmob

Mara naona 1 penalty, kisha 2

Mwisho 2 kwa 2

Ila standards kwa Arsenal ni kubwa. Arsenal hatakiwi kusuluhu au kufungwa hivyo kila mtu anakosoa.

Swala langu ni lile lile miaka yote.

Kwanini hatujui kupress advantage? Ushindi wa leo unatuweka kwenye kukaa nafasi ya kwanza kwanini timu ikahofia kutake chances? Kwanini kikosi kilikua cha kimiyeyusho?

Jorginho derby mbili na hakuna aliyoona ushindi na kiwango anachodisplay kinatia shaka.

Kwanini kocha haachi? Anataka aone nini kingine?
 
Unapelekewa pumzi ya moto na Chelsea hii imejichokea halafu unajiita title contender?
Chelsea imejichokea? Waulize liverpool wakuambie msako ulivyokuwa.

Chelsea msimu huu ana advantage kubwa sana ya kufanya zaidi na kumaliza kwenye nafasi za juu tofauti na msimu uliopita kwa sababu hayupo kwenye michuano mingi kama uefa.
 
Chelsea imejichokea? Waulize liverpool wakuambie msako ulivyokuwa.

Chelsea msimu huu ana advantage kubwa sana ya kufanya zaidi na kumaliza kwenye nafasi za juu tofauti na msimu uliopita kwa sababu hayupo kwenye michuano mingi kama uefa.
Yamekua hayo tena nyie kabla ya game si mlijidai mkisema itafikia kipindi hatagusa mpira kwa kiungo cha Ode,Mchele, na Babu 😂. Kwamba mpaka half time atakufa goli 5😂
 
Title contender anashangilia draw dhidi ya Chelsea dhaifu😂
Tulikua tumefungwa lakini.. Tungefungwa mngesemaje?

City kafungwa na Wolves lakini hatujaona fujo kiasi hiki, Arsenal mpaka sasa haijafungwa.

Leo tumetoa sare kwenye game ambayo tulistahili kufungwa kutokana na uchezaji wetu, still mnasema tunashangilia sare!😂
 
Back
Top Bottom