Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Game na City Saka hakucheza na Jesus aliubonda vizuri tu tena zaid ya anavyokuaga namba 9 au mpira hukuangailia?? timu pana tunayo tena vizuri tu ila kuna maeneo kila kitu hayanaga upana hata ufanyeje,Hamna timu pana ninyi, asingecheza Saka hiyo assist angetoa nani? RW angecheza nani
Na hii ndiyo itakayoifanya Arsenal msimu huu mshindwe hata kubaki top 4, mkikumbwa na majeruhi kama yetu ndipo akili yenu itaelewa maana ya deep squad
Leo chelsea alikua bora zaid yetu wala hakuna kingine
