Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,093
- 95,761
Mechi ni saa ngapi wakuu??
Saa moja na nusu jioniMechi ni saa ngapi wakuu??
Basi nita angaliaSaa moja na nusu jioni
Sawa Sheikh Yahaya.Matokeo ya Mechi ya Simba na Ahly yawe fundisho kwa mechi ya kesho ya Arsenal na Chelsea,wengi walijua Simba atafungwa magoli mengi lakini haikuwa hivyo,sasa matumaini ya KIPUUZI tunayoaminishwa na kina Hamis humu kwamba eti kesho ni USHINDI kirahisirahisi tu kana kwamba wachezaji wa Chelsea wana mguu ni vema yapuuzwe,Mpira una matokeo ya ajabu sana
Hapa ni mwendo wa kuenjoy tu, pole sn nyumbu.. coyg..
Kumbe we ni lishabiki wa Arsenal Duh! Hivi ulikosa kabisa team za kushabikiaVipi mme acha kufuga Rasta hapo darajani🤣😆
We waache tu ,wala usiwasanue wakione cha mtema kuni leo pale Stamford BridgeSkizeni nyie matakataka muna timu nzuri ila kwa mpira tutaopiga leo kawaulizeni livakuku wanajua nini tunafanya.
ASENANE NI MTOTO MDOGO KWETU THE BLUES ,CHAMA LA WANA ,CHAMA KUBWA .Nawaambia nyie Arsenane huyo @Hamis7 anawaingiza mkenge alafu mambo yakiwa mabaya anawakimbia kwenye jukwaa Leo Ndio mwanzo wakuwarudisha kwenye nafasi yenu halisi the rest team watacopy kwetu kwa namna tutavyowakalisha na baada ya hapo vichapo vitawasubiri
Sio mechi, sema mazoezi ya kujiandaa na game ya SevillaMechi ni saa ngapi wakuu??
kaka upo?!Asee leo matakataka mujiandae tunawalala bao mbili bila
Nawaambia nyie Arsenane huyo @Hamis7 anawaingiza mkenge alafu mambo yakiwa mabaya anawakimbia kwenye jukwaa Leo Ndio mwanzo wakuwarudisha kwenye nafasi yenu halisi the rest team watacopy kwetu kwa namna tutavyowakalisha na baada ya hapo vichapo vitawasubiri
Nasema hivi nalitaka jukwaa lenuNawaambia nyie Arsenane huyo @Hamis7 anawaingiza mkenge alafu mambo yakiwa mabaya anawakimbia kwenye jukwaa Leo Ndio mwanzo wakuwarudisha kwenye nafasi yenu halisi the rest team watacopy kwetu kwa namna tutavyowakalisha na baada ya hapo vichapo vitawasubiri
kondoo hata usiogope.A sign of fear..
Mikel Arteta’s Arsenal in 2023/24 in the Premier League so far:
- 6 Wins
- 2 draws
- 0 losses
- 16 goals scored
- 6 goals conceded
Arsene Wenger’s invincibles in 2003/04 in the Premier League:
- 6 Wins
- 2 draws
- 0 losses
- 16 goals scored
- 6 goals conceded
The Arsenal Invincibles 9th game of the season was Chelsea.
Identical.