mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,694
- 19,545
Game ya leo, kila mtu anaitakaMikel Naomba hiki kikosi Leo tumechoka dharau za Hawa Kenge FC
Tuwapeleke chini zaidi wapambanie kushuka daraja
View attachment 2788242
Vyanzo vyangu vya kuaminika nimesikia Leo zitarushwa jezi Kama kawaida. Hofu yangu nketiah anaweza akawai yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]