Game ya leo, kila mtu anaitakaMikel Naomba hiki kikosi Leo tumechoka dharau za Hawa Kenge FC
Tuwapeleke chini zaidi wapambanie kushuka daraja
View attachment 2788242




Hili la Jorginho kuanza nililiona. Kwa kweli kumuamini Jorginho kwenye big matches kama hizi huwa nashindwa kuelewa.ARSENAL XI
Raya
White
Saliba
Gabriel
Zinchenko
Jorginho
Rice
Ødegaard
Saka
Jesus
Martinelli
Partey anaanzia benchi
Partey tunamuhitaji Sana , for the rest of season ,Hili la Jorginho kuanza nililiona. Kwa kweli kumuamini Jorginho kwenye big matches kama hizi huwa nashindwa kuelewa.
Against small teams, fine! Ila sio kwenye London derby huku tukitaka kukaa juu ya msimamo.
Sawa, acha tumuamini kocha ila kiukweli unfit Partey ni bora kuliko fully fit Jorginho.
Jifunze kumheshimu Mpinzani,acha kuaminisha watu ujinga humu,hao wote ni wanaume 22 wenye miguu miwili kila mmoja,hata wale LENS uliaminisha watu ujinga mwisho wa siku tukagongwa,jifunze kumheshimu Mpinzani wakoHalafu wanatupigia kelele kwa hii timu View attachment 2788405
Afadhali Nketiah kaanza njeArsenal XI: Raya; White, Saliba, Gabriel, Zinchenko; Jorginho, Rice, Ødegaard; Saka, Jesus, MartinelliView attachment 2788401