NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,764
- 4,272
Naona kila shabiki la Asenyani likitoa mfano rejea inakua mechi ya kipara. Hiyo game ya kipara inawapa upofu siyo kipimo sahihiTulikua tumefungwa lakini.. Tungefungwa mngesemaje?
City kafungwa na Wolves lakini hatujaona fujo kiasi hiki, Arsenal mpaka sasa haijafungwa.
Leo tumetoa sare kwenye game ambayo tulistahili kufungwa kutokana na uchezaji wetu, still mnasema tunashangilia sare!😂
. Kwamba mpaka half time atakufa goli 5
Asenyani bado hajacheza big match na Liverpool, Brighton, Newcastle, West Ham nk.