
Hatushangilii ila ninyi mnashangalia kuchomoa tena dakika za lala salama. Mimba ilishatunga mka abort, pumbaf kabisaCheltako mnashangalia draw
Mmetoa mimba nyie acheni kujitapaTulikua tumefungwa lakini.. Tungefungwa mngesemaje?
City kafungwa na Wolves lakini hatujaona fujo kiasi hiki, Arsenal mpaka sasa haijafungwa.
Leo tumetoa sare kwenye game ambayo tulistahili kufungwa kutokana na uchezaji wetu, still mnasema tunashangilia sare!😂
Hakuwa fitKama Partey ndo angeshika dimba, Chelsea wasinge tushika kiasi kile, uwezo wa Partey mkubwa sana kwenye ku win duel na kupandisha timu kwa ku pass through na long ball zenye macho, kitu ambacho kinge wafungua chelsea na kuwapa uhuru ode na forward line kufanya yao. Kukosekana kwake kukafanya znchenko kutumia mda mwingi kati na kusababisha kuchelewa ku recover nafasi yake so kukawa njia thanks kwa sub ya mapema ya Tomiyasu. Ila kiukweli under perfomance ya joginho n chanzo ya yote.
Sijajua adi sahv sababu ya arteta kutomchezesha kabsa Partey. Lakin ukweli uko waz Partey ndo Cheat code yetu ya kufungua mabano pale kati, kama tukishindwa kufungua na yupo ndani hapo ndo naamn game tumeshikwa.
joginho n mchezaj mzur game ikimkubali ila jana alichemka sana, sub yake ilitakiwa iwe sambamba na ya znchenko.
Hao full timu kina NaniChelsea B vs Arsenal A: 2-2
Tungecheza na Full team A mngelamba vumbi hadi mvimbiwe


Manjesta hii ambayo inahangaika had kwa promoted teamsNaona akili imeanza kuwakaa sawa ligi bado mbichi lolote linaweza kutokea Man U utashangaa tukamaliza juu ya Arsenal
Na Mimi nitaongeza laki 1 wakimaliza ndani ya top 4Mkimaliza juu ya ARSENAL NIPIN KWENYE HII POST NIKUPE HELA LAKI MBILI NTAKUWEKEA KWA WAKALA…
Wakubwa gani unongea pumbaHumu false hopes nyingi ila ukiangalia kwa ukaribu utakuja gundua katika timu za top 4 Asenane ndiye aliyecheza game nyepesi wakati wengine wanapitia njia ngumu.
Asenyani bado hajacheza big match na Liverpool, Brighton, Newcastle, West Ham nk.
Game kubwa alizocheza ametoa draw na Tottenham, Chelsea, na pia Fulham.
Maana yake kama Arse8 anadondosha point kizembe hivi kwenye big match tutegemee kuona akidondosha point nyingi zaidi hapo mbeleni akikutana na wakubwa wengine
Kuna vitu vinachekesha ila ndiyo hivyo.
Wapinzani msimu uliopita walituwekea standard.
Kwamba Arsenal hamtakiwi kufungwa.
Msimu huu standards ni Arsenal hamtakiwi kufungwa wala kusuluhu.






Wanashangilia sare hawajui wapo kwenye regelation battleArsenal ina timu mbili ambazo ikicheza nazo sihofii.
Nyumbu na kenge. Mmoja kashatema points mwingine kapaki basi katoroka na points 2
City ya sasa bila De Bruyne wanapata matokeo kwa shida na zaidi bila Rodri hakuna viungo pale, so msijitape sana kwa hapoGame na City Saka hakucheza na Jesus aliubonda vizuri tu tena zaid ya anavyokuaga namba 9 au mpira hukuangailia?? timu pana tunayo tena vizuri tu ila kuna maeneo kila kitu hayanaga upana hata ufanyeje,
Leo chelsea alikua bora zaid yetu wala hakuna kingine
Wewe jamaa una hoja dhaifu sanaCity ya sasa bila De Bruyne wanapata matokeo kwa shida na zaidi bila Rodri hakuna viungo pale, so msijitape sana kwa hapo
Arsenal fans: “that’s our worst performance in so long”
Chelsea fans: “We’re back, best performance in months”So timu yetu ni Cucu na Gusto, wewe unajua vifaa vilivyo nje ya timu ni akina nani wacha upofuHao full timu kina Nani
Nyie hamna timu ya kuifunga Arsenal ,na hapo ulikuwa home
Arsenal ni timu ndogo sana, mlibahatisha msimu uliopita tu, weka kumbukumbu huu utumbo wangu na mtaniambia mwisho wa msimu kuwa ninyi ni very very small teamWewe jamaa una hoja dhaifu sana
Unajua community shield walikuwepo hao na walipakishwa Basi Kama nyie Jana wakatema bungo
Je unajua Arsenal hatukuanza na key players wanne hiyo last week
Arsenal fans: “that’s our worst performance in so long”
Chelsea fans: “We’re back, best performance in months”
Score: 2-2