Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

️ | Declan Rice via his IG after 2-2 draw with Chelsea.

“We never give up. ️”

The Gunners midfielder scored a stunning goal to get his side back into the game. #AFC #CHEARS
20231022_093348.jpg
 
Crucial goals against Man United & Chelsea plus a commanding performance against defending champions Manchester City last week, Declan Rice is showing every one why Arsenal paid 100M+ to sign him last summer. He has been PL summer signing of the season so far, a proper baller.
 
Kama Partey ndo angeshika dimba, Chelsea wasinge tushika kiasi kile, uwezo wa Partey mkubwa sana kwenye ku win duel na kupandisha timu kwa ku pass through na long ball zenye macho, kitu ambacho kinge wafungua chelsea na kuwapa uhuru ode na forward line kufanya yao. Kukosekana kwake kukafanya znchenko kutumia mda mwingi kati na kusababisha kuchelewa ku recover nafasi yake so kukawa njia thanks kwa sub ya mapema ya Tomiyasu. Ila kiukweli under perfomance ya joginho n chanzo ya yote.

Sijajua adi sahv sababu ya arteta kutomchezesha kabsa Partey. Lakin ukweli uko waz Partey ndo Cheat code yetu ya kufungua mabano pale kati, kama tukishindwa kufungua na yupo ndani hapo ndo naamn game tumeshikwa.

joginho n mchezaj mzur game ikimkubali ila jana alichemka sana, sub yake ilitakiwa iwe sambamba na ya znchenko.
 
Tulikua tumefungwa lakini.. Tungefungwa mngesemaje?

City kafungwa na Wolves lakini hatujaona fujo kiasi hiki, Arsenal mpaka sasa haijafungwa.

Leo tumetoa sare kwenye game ambayo tulistahili kufungwa kutokana na uchezaji wetu, still mnasema tunashangilia sare!😂
Mmetoa mimba nyie acheni kujitapa
 
Kama Partey ndo angeshika dimba, Chelsea wasinge tushika kiasi kile, uwezo wa Partey mkubwa sana kwenye ku win duel na kupandisha timu kwa ku pass through na long ball zenye macho, kitu ambacho kinge wafungua chelsea na kuwapa uhuru ode na forward line kufanya yao. Kukosekana kwake kukafanya znchenko kutumia mda mwingi kati na kusababisha kuchelewa ku recover nafasi yake so kukawa njia thanks kwa sub ya mapema ya Tomiyasu. Ila kiukweli under perfomance ya joginho n chanzo ya yote.

Sijajua adi sahv sababu ya arteta kutomchezesha kabsa Partey. Lakin ukweli uko waz Partey ndo Cheat code yetu ya kufungua mabano pale kati, kama tukishindwa kufungua na yupo ndani hapo ndo naamn game tumeshikwa.

joginho n mchezaj mzur game ikimkubali ila jana alichemka sana, sub yake ilitakiwa iwe sambamba na ya znchenko.
Hakuwa fit
 
Naona akili imeanza kuwakaa sawa ligi bado mbichi lolote linaweza kutokea Man U utashangaa tukamaliza juu ya Arsenal
Manjesta hii ambayo inahangaika had kwa promoted teams

Yenye kocha 7hag na kipa pazia onana?

Au ipi hiyo
 
Humu false hopes nyingi ila ukiangalia kwa ukaribu utakuja gundua katika timu za top 4 Asenane ndiye aliyecheza game nyepesi wakati wengine wanapitia njia ngumu.

Asenyani bado hajacheza big match na Liverpool, Brighton, Newcastle, West Ham nk.

Game kubwa alizocheza ametoa draw na Tottenham, Chelsea, na pia Fulham.

Maana yake kama Arse8 anadondosha point kizembe hivi kwenye big match tutegemee kuona akidondosha point nyingi zaidi hapo mbeleni akikutana na wakubwa wengine
Wakubwa gani unongea pumba

Manjesta kala kipondo

Mama cita kala kipondo

Spurs Safe

Kenge FC sare


Aliyebaki liVARpool


"Our worst performance and Spurs couldn't beat us"
"Our worst performance and City couldn't beat us"
"Our worst performance and Chelsea couldn't beat us"
 
Kuna vitu vinachekesha ila ndiyo hivyo.

Wapinzani msimu uliopita walituwekea standard.

Kwamba Arsenal hamtakiwi kufungwa.

Msimu huu standards ni Arsenal hamtakiwi kufungwa wala kusuluhu.


Umeona
 
Arsenal ina timu mbili ambazo ikicheza nazo sihofii.

Nyumbu na kenge. Mmoja kashatema points mwingine kapaki basi katoroka na points 2
Wanashangilia sare hawajui wapo kwenye regelation battle
 
Game na City Saka hakucheza na Jesus aliubonda vizuri tu tena zaid ya anavyokuaga namba 9 au mpira hukuangailia?? timu pana tunayo tena vizuri tu ila kuna maeneo kila kitu hayanaga upana hata ufanyeje,

Leo chelsea alikua bora zaid yetu wala hakuna kingine
City ya sasa bila De Bruyne wanapata matokeo kwa shida na zaidi bila Rodri hakuna viungo pale, so msijitape sana kwa hapo
 
Arsenal fans: “that’s our worst performance in so long”

Chelsea fans: “We’re back, best performance in months”

Score: 2-2
 
City ya sasa bila De Bruyne wanapata matokeo kwa shida na zaidi bila Rodri hakuna viungo pale, so msijitape sana kwa hapo
Wewe jamaa una hoja dhaifu sana

Unajua community shield walikuwepo hao na walipakishwa Basi Kama nyie Jana wakatema bungo


Je unajua Arsenal hatukuanza na key players wanne hiyo last week


Arsenal fans: “that’s our worst performance in so long”

Chelsea fans: “We’re back, best performance in months”

Score: 2-2
 
Alichokifanya Rice ndio Jesus alitakiwa akifanye dhidi ya Spurs, opponent akifanya error muadhibu ajutie.
 
Kuona mamluki wakijazana humu kwenye jukwaa letu kunaashiria ukubwa tulionao, mechi imeisha sare lakini wapinzani wanahesabu tumefungwa.

Mpaka mashabiki wa Chelsea wameliacha jukwaa lao likiwa tupu na kuhamia huku.

Wakiongozwa na timu nyengine zote ikiwemo Man Utd, Man City, Spurs na Liverpool.

Na hapo hatujafungwa!

Sasa naamini kweli Arsenal inawaumiza watu wengi.
 
Hao full timu kina Nani

Nyie hamna timu ya kuifunga Arsenal ,na hapo ulikuwa home
So timu yetu ni Cucu na Gusto, wewe unajua vifaa vilivyo nje ya timu ni akina nani wacha upofu

------------Nkunku-------------

Sterling ----Gallagher -----Palmer

-----Caicedo --------Enzo--------

Chilwell ----Colwill ---Fofana ---James

-------------Sachez---------------
 
Wewe jamaa una hoja dhaifu sana

Unajua community shield walikuwepo hao na walipakishwa Basi Kama nyie Jana wakatema bungo


Je unajua Arsenal hatukuanza na key players wanne hiyo last week


Arsenal fans: “that’s our worst performance in so long”

Chelsea fans: “We’re back, best performance in months”

Score: 2-2
Arsenal ni timu ndogo sana, mlibahatisha msimu uliopita tu, weka kumbukumbu huu utumbo wangu na mtaniambia mwisho wa msimu kuwa ninyi ni very very small team
 
Back
Top Bottom