Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kweli aisee, ni mawazo yake anaamini ktk kushinda tu, so lazima hufate maoni yake Amini kivyako..
Kabisa sasa hua nashangaa watu wanamvaa bwana Hamis et ooh unatuaminisha hivi na hivi, upuuzi tu yan mtu aje akushikilie Akili na wewe upo tu alf ni baba wa familia
 
Leo Chelsea wamekamia sana sababu ni london derby na walikuwa vizuri kwenye pressing na arsenal dimba la kati leo liliyumba sana tukawa tunapitika kirahisi hivyo kuipa pressure kubwa back 3 yetu.

All in all we learn from mistakes,Tukumbuke kila team inajipanga kushinda hasa ikiwa nyumbani hivyo basi kwa ugumu wa mechi ya leo bado natoa pongezi kwa wachezaji wetu kupambana na kupata point 1 japo leo kuna wachezaji wengi walikuwa chini ya kiwango jorgi,ode, etc..Aluta Continua .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii timu kadri siku zinavyozidi kwenda tunapiga hatua moja mbele kisha hatua moja na nusu nyuma

Kwanini alianza Jorginho badala ya Partey?

Saka hakua fit kwanini kumuwahisha?

Zinchenko...?

Øde.....?
Nafikiri arteta anataka kujenga timu ambayo partey asiwe tegemeo pekee,
Kwa aseno ilipo ni bora jorginho aanze halafu partey aingie baadae na sio kinyume chake 😂😂😂.....

Pochetino anaendelea kujitafuta na sio kocha mzembe mzembe
 
Chelsea wanavyodanganyana wanatuchukulia sawa na kina manjesta ,Luton, Burney

Arsenal Ni best team mentally,tactically

Kibaya zaidi msimu huu hatujawahi kucheza tukiwa full squad ,vs Chelsea tutakuwa full Squad kasoro Jurrien Timber tu

Shughuli yetu wanaijua hasa manjesta ,

Dakika 100 walipata Kona 2, waliingia box la Arsenal Mara chache zaidi katika historia toka msimu wa 2006/2007

Walikuwa hawawezi kupiga pass 10 eneo la kiungo Cha Arsenal

Walipiga pass 200 kwenye eneo Lao

Expectation tutaingia na kikos hiki

Labda yatokee majeruhi huko mazoezini View attachment 2786409
Ila wewe ni boya kweli kweli, umehubiri sana kwenye majukwaa ya wengine kumbe litimu lenyewe ni hili la Kina Jesus wa Sao Paulo? Na mna bahati sana leo
 
Dakika kumi za mwsho ndo ilionekana kama nyuki wamefunguliwa.... Georginho hamna kitu mule....watu wanapita tu kati...akawa anawapa wakati mgumu mabeki
January siti wakiruhusu biashara,arteta akambebe Kavin Philips amfufue😆

Jorginho ni bora kwa kusambaza mipira asipokuwa na presha ila kwa mechi za vurugu vurugu ujiandae kwa lolote😂
 
Kabla ya kuingiza timu uwanjani mungemuiliza mwenzenu Liverkuku kilichomkuta pale , tulimkimbiza mchakamchaka na kichura chura hakuamini
Huyo Omar aliyekuwa anatumwa na Asenyau kule kwenye jukwaa letu nilimuuliza mliwaambia Arsenal ukweli kuhusu mechi ya kwanza na Liverpool. Nadhani alikuja kuwadanganya, hakuwaambia ukweli. Leo wangebana tusingewafunga za mapema, ile wamefungua kama Nguruwe aliyeko kwenye heat period tukaweka, Mudryk akaweka tena
 
Mistake za Sanchez kama Raya naye alivyofanya , sema game imekuwa fresh sana ,na mpira ndio unatakiwa uwe hivi mperapera mwanzo mwisho ,hamna kupaki basi ,bonge moja la mechi ,kama tunavyocheza na Liverpool
Asenyeto nadhani mmejifunza kitu ,kidomo domo kipungue na dharau ziishe
Chances nyingi sana tumepata tungekuwa na makali pale mbele mlikuwa mnatoboka mkono kabisa
Mtuheshimu kaka zenu The blues
Angalau matumaini ya kupanda top 4 sasa inaonekana wazi, Pochettino ashighulike na Sanchez maana namuona kama chizi vile, hayuko serious
 
Hii timu kadri siku zinavyozidi kwenda tunapiga hatua moja mbele kisha hatua moja na nusu nyuma

Kwanini alianza Jorginho badala ya Partey?

Saka hakua fit kwanini kumuwahisha?

Zinchenko...?

Øde.....?
Hamna timu pana ninyi, asingecheza Saka hiyo assist angetoa nani? RW angecheza nani
Na hii ndiyo itakayoifanya Arsenal msimu huu mshindwe hata kubaki top 4, mkikumbwa na majeruhi kama yetu ndipo akili yenu itaelewa maana ya deep squad
 
Back
Top Bottom