Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Kama hawez mchezesha partey Dm basi muweke Rice Dm fullstopIla partey n wa muhimu sana pale kati,
Kama hawez mchezesha partey Dm basi muweke Rice Dm fullstopIla partey n wa muhimu sana pale kati,
Kabisa sasa hua nashangaa watu wanamvaa bwana Hamis et ooh unatuaminisha hivi na hivi, upuuzi tu yan mtu aje akushikilie Akili na wewe upo tu alf ni baba wa familiaKweli aisee, ni mawazo yake anaamini ktk kushinda tu, so lazima hufate maoni yake Amini kivyako..

Chelsea wametu outplay hakuna kingineImekuaje mkacheza ovyo mkuu?
.Hivi Odegaard leo kacheza??Kevin Campbell
“We haven’t seen him(Declan Rice) enough besides Thomas Partey yet. But I think when those two play a number of games together they are just going to get better and better and better.”View attachment 2783494
Asenyau mejifunza kushabikia hii timu msimu huu naona, mfupa uliomshinda Wenga mtauweza?Points ngapi tunabeba hapa, mkorea
Arteta aweke full kikos , tunataka kuona WIN WIN WIN WIN
Dharau zimekuwa nyingi View attachment 2783510
Nafikiri arteta anataka kujenga timu ambayo partey asiwe tegemeo pekee,Hii timu kadri siku zinavyozidi kwenda tunapiga hatua moja mbele kisha hatua moja na nusu nyuma
Kwanini alianza Jorginho badala ya Partey?
Saka hakua fit kwanini kumuwahisha?
Zinchenko...?
Øde.....?
Ila wewe ni boya kweli kweli, umehubiri sana kwenye majukwaa ya wengine kumbe litimu lenyewe ni hili la Kina Jesus wa Sao Paulo? Na mna bahati sana leoChelsea wanavyodanganyana wanatuchukulia sawa na kina manjesta ,Luton, Burney
Arsenal Ni best team mentally,tactically
Kibaya zaidi msimu huu hatujawahi kucheza tukiwa full squad ,vs Chelsea tutakuwa full Squad kasoro Jurrien Timber tu
Shughuli yetu wanaijua hasa manjesta ,
Dakika 100 walipata Kona 2, waliingia box la Arsenal Mara chache zaidi katika historia toka msimu wa 2006/2007
Walikuwa hawawezi kupiga pass 10 eneo la kiungo Cha Arsenal
Walipiga pass 200 kwenye eneo Lao
Expectation tutaingia na kikos hiki
Labda yatokee majeruhi huko mazoezini View attachment 2786409
Nauliza tena hivi Odegaard kacheza kweli?Hawa jamaa hawajui kabisa wanakutana na timu ya aina gani wanadhani tunatoa vipigo kwa kubahatisha
Mbaya zaidi wanakutana na best Trio Midfield in the world
Hapa unapata Radha zote
Ufundi,tackling, athleticism,chance creation,high passing ability, press resistance, View attachment 2786595
January siti wakiruhusu biashara,arteta akambebe Kavin Philips amfufue😆Dakika kumi za mwsho ndo ilionekana kama nyuki wamefunguliwa.... Georginho hamna kitu mule....watu wanapita tu kati...akawa anawapa wakati mgumu mabeki
Mefanywa kwa nyuma leo na huyo mnayemdharau hamna akili nyieKenge zinapata wapi nguvu ya kuingia humu?View attachment 2786755
Tutakuja kuwanywa kama uji hapo kwenu subiriniHome advantage itawasaidia kupunguza idadi ya mabao.
Huyo Omar aliyekuwa anatumwa na Asenyau kule kwenye jukwaa letu nilimuuliza mliwaambia Arsenal ukweli kuhusu mechi ya kwanza na Liverpool. Nadhani alikuja kuwadanganya, hakuwaambia ukweli. Leo wangebana tusingewafunga za mapema, ile wamefungua kama Nguruwe aliyeko kwenye heat period tukaweka, Mudryk akaweka tenaKabla ya kuingiza timu uwanjani mungemuiliza mwenzenu Liverkuku kilichomkuta pale , tulimkimbiza mchakamchaka na kichura chura hakuamini
Ww jamaa mda mwengine upunguze mdomo na ujue kumheshimu mpinzani wako mpira unachezwa uwanjani sio mdomoni haya matokeo ni sawa na ushindi kwenuWanashangilia sare
Na Leo tulikuwa chini ya kiwango
Wewe ndie kenge OG, umekimbia jukwaa baada ya kusawazisha ndio unakuja na DOMO KAYAIngekuwa aibu kufungwa na timu mbovu kama Kenge fc
Angalau matumaini ya kupanda top 4 sasa inaonekana wazi, Pochettino ashighulike na Sanchez maana namuona kama chizi vile, hayuko seriousMistake za Sanchez kama Raya naye alivyofanya , sema game imekuwa fresh sana ,na mpira ndio unatakiwa uwe hivi mperapera mwanzo mwisho ,hamna kupaki basi ,bonge moja la mechi ,kama tunavyocheza na Liverpool
Asenyeto nadhani mmejifunza kitu ,kidomo domo kipungue na dharau ziishe
Chances nyingi sana tumepata tungekuwa na makali pale mbele mlikuwa mnatoboka mkono kabisa
Mtuheshimu kaka zenu The blues
Weka takwimu hapa za kucontrol mechezoKati yenu nasisi nani alicontrol mechi nyie mlifanya kutuvizia sisi tukatulia tukaanza kuwatafuta ingekuwa dharau kupoteza dhidi ya vijana wanaosuka mabutu kichwani
Hamna timu pana ninyi, asingecheza Saka hiyo assist angetoa nani? RW angecheza naniHii timu kadri siku zinavyozidi kwenda tunapiga hatua moja mbele kisha hatua moja na nusu nyuma
Kwanini alianza Jorginho badala ya Partey?
Saka hakua fit kwanini kumuwahisha?
Zinchenko...?
Øde.....?